Ytoday
Senior Member
- Sep 24, 2022
- 199
- 216
😂 Kwani we hutaki yatoke jumatatu, huyo jamaa me namuamini kmmkTunaijua hiyo ww mwenyewe mchumia jua.
Pdf hazitoki hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Kwani we hutaki yatoke jumatatu, huyo jamaa me namuamini kmmkTunaijua hiyo ww mwenyewe mchumia jua.
Pdf hazitoki hivyo
Nimepitia post zake namuona muongo tu.[emoji23] Kwani we hutaki yatoke jumatatu, huyo jamaa me namuamini kmmk
Toa hela wwWanajamvi,
Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
Wameita baadhi ya kada hawa, sijuà ndo wanaita tena mwakani kada nyingine 🤔TANAPA mje na ushuhuda
Unampa Nani hiyo Hela?Toa hela ww
Kulingana na chuo...sisi tulipewa 5 tu alafu slide uandae 10presentation huwa ni dk ngapi
Level ipi ya Elimu??Degree au diploma?Kuna dogo hapa anauliza mshahara wa NIMR Ukoje? Naomba kwa anyejua
Leta post ya uongo tuone apaNimepitia post zake namuona muongo tu.
Relax🤣Tunaijua hiyo ww mwenyewe mchumia jua.
Pdf hazitoki hivyo
wengine wanachomekwaTubadilishane mawazo Wakuu
Tanapa wametoa Tangazo Nafasi (5) kitengo X...
Vijana wanapamba mpaka hatua ya mwisho kupigania nafasi tano inakuja kutoka ni moja tu kapangiwa...
Hii Imekaaje ....
😀😀😀.....Alafu wanakuja kuongea kwa vijana Data base inakaa mwaka mmoja...wengine wanachomekwa
mapumbavu kweli yaani...😀😀😀.....Alafu wanakuja kuongea kwa vijana Data base inakaa mwaka mmoja...
Wanakuja na maneno yao "Vijana sio wavumilimu" kwa mwendo huu tutafika kweli....mapumbavu kweli yaani...
Unakuta wengine hawakufaulu Oral Mkuu na kwa Psrs hivyo ni vitu vinatokea Sana,mfano mwaka huu Kuna interview tulifanya ilikuwa inahitajii watu (7) tukapiga written, practical Hadi oral tukaingia watu 20 ila waliitwa kazini watu wawili(02) tuu,nafasi wakaongeza zingine wakarudia kuzitangaza upya so kuingia oral interview haimaniishi kuwa hakuna kufelii,,,,,ila sema Psrs hawana huruma kabisaaTubadilishane mawazo Wakuu
Tanapa wametoa Tangazo Nafasi (5) kitengo X...
Vijana wanapamba mpaka hatua ya mwisho kupigania nafasi tano inakuja kutoka ni moja tu kapangiwa...
Hii Imekaaje ....
Kwahiyo maana yake pale kada nyingine ambazo hazipo hapo zimefeli zotee??au wataziita nazo huko baadaeUnakuta wengine hawakufaulu Oral Mkuu na kwa Psrs hivyo ni vitu vinatokea Sana,mfano mwaka huu Kuna interview tulifanya ilikuwa inahitajii watu (7) tukapiga written, practical Hadi oral tukaingia watu 20 ila waliitwa kazini watu wawili(02) tuu,nafasi wakaongeza zingine wakarudia kuzitangaza upya so kuingia oral interview haimaniishi kuwa hakuna kufelii,,,,,ila sema Psrs hawana huruma kabisaa
Tafakari Kiongozi...Unakuta wengine hawakufaulu Oral Mkuu na kwa Psrs hivyo ni vitu vinatokea Sana,mfano mwaka huu Kuna interview tulifanya ilikuwa inahitajii watu (7) tukapiga written, practical Hadi oral tukaingia watu 20 ila waliitwa kazini watu wawili(02) tuu,nafasi wakaongeza zingine wakarudia kuzitangaza upya so kuingia oral interview haimaniishi kuwa hakuna kufelii,,,,,ila sema Psrs hawana huruma kabisaa
Nafikiri wataziita baadaye mkuu,Kwahiyo maana yake pale kada nyingine ambazo hazipo hapo zimefeli zotee??au wataziita nazo huko baadae
Kiukwelii mkuu hili jambo la kuweka matokeo ya Oral wazii kuonyesha kama mtu alifeli au alifaulu ingesaidia saana lkn mara zote ukiuliza Psrs wanadai kwamba ukiona kwamba umefaulu halafu upo database utaacha kufanya usailii halafu baadaye database iexpire hujapata nafasi utawalalamikia ndiyo sababu zao ambazo naona kwangu Mimi sikubaliani nazoTafakari Kiongozi...
Kama wriitten ukifaulu kuna status inakuonyesha...
Practical ukifauli kuna status inakuonyesha...
Kwanini Oral iwe siri na wakati mambo yote yapo kidigital yanaenda
Kutupotezea mda tu watoto masikini tunaotafuta ela ya nauli kwa shida kuinua Familia wakat watoto wao wamekaa nyumbani wanaitwa kazini