Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna pdf wanalotoa weekend hawa wajinga.Leo ni siku nyingine tena, ndugu jobless. Tuendelee kuwa wapole wakati tunasubiri pdf na tunaosubiri kuitwa kwenye usaili. Neema inakuja soon.
ukiona mpaka wanawasha vimulimuli walivyovizima ujue pakame ukoUtumishi"hili joto mnalotupitisha vijana wenu mbona kali sanaaa...
Utumishi"hili joto mnalotupitisha vijana wenu mbona kali sanaaa...
Hivi vigezo ni kwa watoto wa masikini au kwa Watoto wao wameongezewa umri mara 2Subra. Umri bado mdogo kwanza, you still have a lot of time kujitafuta.
Hivi vigezo ni kwa watoto wa masikini au kwa Watoto wao wameongezewa umri mara 2
acha tu ndugu yangu yaani sahivi nigekua nafatwafatwa na nyuki tu..Ila PSRS🙌🙌mngepiga ila mikeka back to back km ya July mwanang El marabiosh angekuw kwenye dimbwi la asali muda huu
1T karibu chai na vitumbua
Hizo zote asali grade one popote utakapoenda una uhakika wa kutoka na kisukari😂😂Nasubiria chai ya TCRA pale chini kwenye bufee ingawa nao awataki kutuita interview sijui wanasubiri watuite pamoja na eGA.
Na wakifanya ivyo iyo siku utaambia chagua sehemu moja ya kufanya kama ni eGA au TCRA.
Hapo kwenye kuchagua lazima mtu uchanganykiwe
Kwa neema za Mungu utafikiwa tu bro na utapanda zako kimbinyiko chap kufata Ile barua ambayo chini inamalizia "Tafadhali mpokee na kukamilisha taratibu za ajira yake"acha tu ndugu yangu yaani sahivi nigekua nafatwafatwa na nyuki tu..
Zitakuwa siku tofauti inshallahNasubiria chai ya TCRA pale chini kwenye bufee ingawa nao awataki kutuita interview sijui wanasubiri watuite pamoja na eGA.
Na wakifanya ivyo iyo siku utaambia chagua sehemu moja ya kufanya kama ni eGA au TCRA.
Hapo kwenye kuchagua lazima mtu uchanganykiwe
Hizo zote asali grade one popote utakapoenda una uhakika wa kutoka na kisukari😂😂
Sasa hapo unaambiwa tu kuchagua usaili sio kazi unachanganyikiwa mtaalamu wa TEHAMA. Umenikumbusha hadithi ya fisi aliyekuwa anavizia misosi kwenye hafla mbili tofauti mwishowe akaambulia kappa. Best wishes, Hata sisi wengine kazi zetu hatujui tutaitwa lini usaili. Dah!Nasubiria chai ya TCRA pale chini kwenye bufee ingawa nao awataki kutuita interview sijui wanasubiri watuite pamoja na eGA.
Na wakifanya ivyo iyo siku utaambia chagua sehemu moja ya kufanya kama ni eGA au TCRA.
Hapo kwenye kuchagua lazima mtu uchanganykiwe
Sasa hapo unaambiwa tu kuchagua usaili sio kazi unachanganyikiwa mtaalamu wa TEHAMA. Umenikumbusha hadithi ya fisi aliyekuwa anavizia misosi kwenye hafla mbili tofauti mwishowe akaambulia kappa. Best wishes, Hata sisi wengine kazi zetu hatujui tutaitwa lini usaili. Dah!
"Afisa Tehama TCRA kuna asali wa nyuki wakubwa" although eGA na TAA nao sio wakuwachukulia poa. Vipi TCRA na eGA umeomba category ipi mkuuNi kweli hapo utaambiwa uchague usaili.
eGA siwajui vizuri ila TCRA kuna siku walikua na semina kwa kampuni zinazofanya kazi za IT ofn kwangu wakanichagua nikawakilishe, daah! Wale jamaa wana good life sana aisee, kila unae kutana nae ana ng'aa 😂😂.
Kwa neema za Mungu utafikiwa tu bro na utapanda zako kimbinyiko chap kufata Ile barua ambayo chini inamalizia "Tafadhali mpokee na kukamilisha taratibu za ajira yake"
"Afisa Tehama TCRA kuna asali wa nyuki wakubwa" although eGA na TAA nao sio wakuwachukulia poa. Vipi TCRA na eGA umeomba category ipi mkuu