Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Aiseh wakuu ninafuraha isiyo ya kawaida... Nimeona jina la mdogo wangu ....furaha niliyokuwa nayo ni kubwa sana....

Ilifika kipindi naomba Mungu mimi nikose yeye apate.. leo Mungu amemfanyia miujiza ameona jina lake.

Tusikate tamaa wakuu.... Dogo alikuwa hana kazi wakike anashinda tu nyumbani kinamuda unaumia sana.....nimeomba sana kwaajili yake na Mungu amejibu Tena hata kabla yangu.
 
Tips za watu wote kuhusu Oral ndizo nilizomuelekeza maana hakuwahi kufanya kabisa interview...pia hakutaka apply nafasi ikabidi nimuombee na kuelekezana possible za oral na jinsi ya kujibu maswali..

Nimefurahi sana sana ...nimeona inawezekana kabisa kupata nafasi sehemu za serikali kupitia psrs
 
Tips za watu wote kuhusu Oral ndizo nilizomuelekeza maana hakuwahi kufanya kabisa interview...pia hakutaka apply nafasi ikabidi nimuombee na kuelekezana possible za oral na jinsi ya kujibu maswali..

Nimefurahi sana sana ...nimeona inawezekana kabisa kupata nafasi sehemu za serikali kupitia psrs
Hongera Sana Kwa dogo Kila la kheri kwake
 
Aiseh wakuu ninafuraha isiyo ya kawaida... Nimeona jina la mdogo wangu ....furaha niliyokuwa nayo ni kubwa sana....

Ilifika kipindi naomba Mungu mimi nikose yeye apate.. leo Mungu amemfanyia miujiza ameona jina lake.

Tusikate tamaa wakuu.... Dogo alikuwa hana kazi wakike anashinda tu nyumbani kinamuda unaumia sana.....nimeomba sana kwaajili yake na Mungu amejibu Tena hata kabla yangu.
Hongereni aisee.. wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
 
Aiseh wakuu ninafuraha isiyo ya kawaida... Nimeona jina la mdogo wangu ....furaha niliyokuwa nayo ni kubwa sana....

Ilifika kipindi naomba Mungu mimi nikose yeye apate.. leo Mungu amemfanyia miujiza ameona jina lake.

Tusikate tamaa wakuu.... Dogo alikuwa hana kazi wakike anashinda tu nyumbani kinamuda unaumia sana.....nimeomba sana kwaajili yake na Mungu amejibu Tena hata kabla yangu.
Mkuu wewe ni shujaa na Una moyo na upendo wakweli, nakuombea Kwa Mungu na wewe ukapate kazi, hongera Sana kwake
 
Mkuu wewe ni shujaa na Una moyo na upendo wakweli, nakuombea Kwa Mungu na wewe ukapate kazi, hongera Sana kwake
Asante mkuu.... Na nitajitahidi sana namimi nilete ushuhuda hapa..... Kuna quote uliniquote kuhusu oral kwenye mwezi wa 11, ulinielekeza maandalizi yake Asante pia... So kilasiku nikawa naenda nyumbani baada ya kutoka kazini tunasoma pamoja almost week nzima....

Ni kama nimepata mimi kazi na hata nisipopata sahizi nimejua Mungu anajibu kwawakati.
 
I feel her happiness..

Fikiria dogo alikua desperate to extent wewe ndio ukawa unamfanyia application..

Hapo analia kwa furaha kwa mkuu..

Na wewe Mungu akuinue pia.. inshallah!!
Mkuu Amin.... Tuzidi kuapply na kuomba kibali... mwenyezi Mungu atafanya .......tukkapate nafasi na kufanyika baraka kwa wengine
 
Aiseh wakuu ninafuraha isiyo ya kawaida... Nimeona jina la mdogo wangu ....furaha niliyokuwa nayo ni kubwa sana....

Ilifika kipindi naomba Mungu mimi nikose yeye apate.. leo Mungu amemfanyia miujiza ameona jina lake.

Tusikate tamaa wakuu.... Dogo alikuwa hana kazi wakike anashinda tu nyumbani kinamuda unaumia sana.....nimeomba sana kwaajili yake na Mungu amejibu Tena hata kabla yangu.
Hongera sana kwake.

Kila la kheri, akawe mtimishi mwema
 
Habar, Alhamdulillah Mungu ni mwema nami jina langu Leo limetoka usaili wa oral nilifanya tareh 20.1.2024 Mungu ameniona Leo, Mungu awatangulie jaman msikate tamaa
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
 
Aiseh wakuu ninafuraha isiyo ya kawaida... Nimeona jina la mdogo wangu ....furaha niliyokuwa nayo ni kubwa sana....

Ilifika kipindi naomba Mungu mimi nikose yeye apate.. leo Mungu amemfanyia miujiza ameona jina lake.

Tusikate tamaa wakuu.... Dogo alikuwa hana kazi wakike anashinda tu nyumbani kinamuda unaumia sana.....nimeomba sana kwaajili yake na Mungu amejibu Tena hata kabla yangu.
Hongera kwake na kwako .
 
Nna ndugu zangu wawili wamebahatika kupata kazi waliitwa ule mkeka wa tarehe 2. Mmoja ualimu na mwengine amepata u legal officer halmashauri za kusini huko anauliza maisha ya wanasheria inakuwaje. Nikamwambia sina uzoefu maana mimi ni mfanyabiashara Kkoo huku sijui mambo ya halmashauri.
Kuhusu mishahara, posho, au ajitafutie na vitega uchumi maana ana watoto wawili anataka ajipange kabla haja hamia na mke na watoto huko.
 
Back
Top Bottom