Mnanje Boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 395
- 1,195
Aisee pole sana Mkuu
Sasa mtu ajifanye Sikio la kenge maana halisikii mpaka litoe damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee pole sana Mkuu
Jamaa hawacheki na wowote🥹🥹
Oyaaa sasa unatakiwa kujifunza hapo unaweza kosa koteJamaa hawacheki na wowote🥹🥹
Tunawaambia wanaleta ubishi omba sehemu moja yenyewe utakuwa nondoAisee pole sana Mkuu
Sasa mtu ajifanye Sikio la kenge maana halisikii mpaka litoe damu
Ndio ivoo mkuu omba sehem mojaDah pole….
Huu ni mfano hai kabisa alafu kesho mtu anaanza kusema bila connection utoboi kumbe sisi wenyewe tunafanya vitu ambavyo vinatutoa kwenye mchezo mapemaTunawaambia wanaleta ubishi omba sehemu moja yenyewe utakuwa nondo
Ndio ivoo mkuu omba sehem moja
Ndio mkuu Tin Number si unaipata online tu mkuukuna kipengele cha kujaza TIN namba ulijaza.?
sor kuna option ya kucancel application?Mkuu ningekushauri uombe moja tu. Siku hizi hawachek na kima interview zinafanyika siku moja na mda mmoja mimi kwenye io pdf naweza kuomba sehemu 3 lkn kilichotokea BOT kinaenda tokea TRA
Wanasema ukitumia level moja ya elimu sio shida.
Ila ukiomba nafasi moja ya Degree na nyingine ya Diploma wanapita na wewe.
nimeomba Lab technician ii na laboratory officerNi course gani mkuu inayokubali nafasi zote hizo
Basi nishaharibu kazi nimejaribu kucancel application moja imeshindikanaHuu ni mfano hai kabisa alafu kesho mtu anaanza kusema bila connection utoboi kumbe sisi wenyewe tunafanya vitu ambavyo vinatutoa kwenye mchezo mapema
Baaaasiiii nishaharibu kazi hvi naweza kucancel???Ndio ivoo mkuu omba sehem moja
😂sema faza na ww ulizidisha yani application 05
Leonce jr Mkuu ukiwa mwalimu mkuu wewe watu wapata shida sana 😂😂Tunawaambia wanaleta ubishi omba sehemu moja yenyewe utakuwa nondo
Oral maswali yalikuwaje katik hio KadaHizi Nafasi (ASSISTANT AIRPORTS SECURITY OFFICER)zilikuwa Tano mwaka jana june zilizotangazwa...
Leo Database imechomoa mara 3 ya Idadi...
Hongereni Mliolamba Asali
Vipi kama ume apply mbili tu. Hapo utakuwa NOT SHORTLISTED?
Kuna ambao tuliomba position mbili, tokea mwezi wa 8 mwaka jana lakini bado hatuja itwa kwenye interview. Je, tutakuwa not shortlisted? Naomba majibuTunawaambia wanaleta ubishi omba sehemu moja yenyewe utakuwa nondo
Mzima kichwani kweli?wakuu ambaye hajafanikiwa mpaka sasa kuomba ajira za TRA anitafute kwa tsh 7000/=
Hao ajira za mchongo washawaweka vijana wao huko wewe miezi 10 unaenda mwaka unasubiria interview tangu mwezi wa 8 mwaka jana 2024 huu mwezi wa 2 unaenda wa 3 mwaka 2025 interview hakuna wewe hesabu hakuna kitu hapo washaweka watoto wao huko na mkiitwa interview ni ushahidi tu ila kazi watu wameshapewa, Nchi imeshabadiri mfumo sasa hivi connection ndio kila kitu huna connection endelea kulamba lambiAcha tu mkuu kweli yataka moyo TAA BOT na nyingine zilifata lkn MDAs na LGAs wap
Mkeka umechanika chwaaa