Leonce jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,815
- 2,651
Yeah venue zitakuwa open lkn sijui vyuo vyote kama vimeanza kufanyisha mitihan wanafunzi waoWatumie hii likizo kutuita venue nying zitakuwa free
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah venue zitakuwa open lkn sijui vyuo vyote kama vimeanza kufanyisha mitihan wanafunzi waoWatumie hii likizo kutuita venue nying zitakuwa free
NihatariTusubiri usiku mana ndo mida yao siku hizi.
Ngoja tusubir na zile za January mwakan duhHizi naongelea zile elfu sita walizotoa mwaka jana mwezi wa nane trh 3 , walishaita kada kama afisa usafirishaji,afisa maendeleo ya Jamii, afisa maendeleo msaidiz n.k bado afisa mazingira,afisa utalii,afisa uvuvi, afisa hesabu, madereva n.k
Ndio nahisi wanafata hao maana ndio ajira za watu wengi zilizobaki ukitoa afya na waalimu.
Inakuandikiaje??Wakuu msaada anajua kujisajili mfumo wa TAESA naona kwangu unanigomea hallo
Hao majamaa ni matapeliWakuu msaada anajua kujisajili mfumo wa TAESA naona kwangu unanigomea hallo
Dah hii ndo inauma, ila afadhali alikupa moyo kidogo may be next time itakuwa bahati yako..I agree mkuu
Nakumbuka nilipomaliza kumwaga vitu mule ndani wakati natoka yule katibu ambae ndie alikuwa anatuita kuingia interview room alinambia hongera kijana mimi ndio HR wa hapa umetokea wapi...Nikamjibu kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana, akanambia ukipata kazi tutaonana ofisini kwangu
Nikahisi lolote linaweza tokea matokeo yake pdf la placement limetoka nimeliwa kichwa so far waliyemchukua ndie alituongozea written so panelist walikuwa fair tu kumpa yule kazi maana kwa written mm nilikuw mtu wa 3
Kwanini mkuu. Vip wana issue ganiHao majamaa ni matapeli
Kivipi mkuu fafanua coz nimeshuhudia watu walionufaika na hiyo TaesaHao majamaa ni matapeli
Uwe unarudià rudia kila wakati itakubali tu,usiwe na harakqWakuu msaada anajua kujisajili mfumo wa TAESA naona kwangu unanigomea hallo
Ameachiliwa Jana kwa dhamana ... Kosa ni kuanzisha umoja au chama kisichokuwa na usajilinaskia wazee neto wamenza kudakwa mmoja mmoja na mapolisi.
kwahiyo walitakiwa wajisajili 🤣 🤣 🤣Ameachiliwa Jana kwa dhamana ... Kosa ni kuanzisha umoja au chama kisichokuwa na usajili
Ndio mkuu 🤣kwahiyo walitakiwa wajisajili 🤣 🤣 🤣
dah hii nchi tutafika tumechokaNdio mkuu 🤣
Mkuu hiyo ilofutwa unayo? kwa faida ya tusiyoionawamejishtukia wamefuta moja
sikukadownloa kalikua kafupi kama hako sjui walikatoa mara 2Mkuu hiyo ilofutwa unayo? kwa faida ya tusiyoiona