Kwanini 'Video' ya ngono ikivuja jamii haimuangalii vizuri mwanamke aliyeshiriki kwenye hiyo video tofauti na inavyokuwa kwa mwanaume?

Kwanini 'Video' ya ngono ikivuja jamii haimuangalii vizuri mwanamke aliyeshiriki kwenye hiyo video tofauti na inavyokuwa kwa mwanaume?

Mwanakondoo alijua kutuaibisha yule!!!! Yani alikua ameganda kanyooka kama rula hajitingishi.....askofu chidy anapiga viuno kondoo katulia tuliii, aaah mamaeeeh sana
Yule mwankondoo yawezekana alidanganywa anawekewa nguvu za roho mtakatifu... kumbe ilikuwa roho mtakavitu...

Akatulia utadhani tairi inajazwa upepo...

Chidy sengesengerema sana mamamamae zake
 
Video ya ngono iki leak mwanamke aliyomo kwenye hiyo video huwa haangaliwi vizr na jamii yake tofauti na mwanaume aliyehusika pia kwenye hiyo video.

Mwanamke atataniwa kwa aina ya matusi na utani na sometimes inaweza kumpelekea msongo wa mawazo mwisho kujiua lakini kwa upande wa mwanaume yeye anakuwa hajali kitu utafikiri hamna kilichotokea na kuna baadhi ya jamii anapongezwa kabisa.

Mfano video ya Kim kadashian na Ray j video ile ilimpa umaarufu Sana Ray j baadhi ya watu walimpa pongez za kutosha lakini tofauti kwa Kim kadashian yeye aliharibu heshima yake kwenye jamii na kufanya baadhi ya makampuni kujiondoa udhamini wao kwenye bidhaa za Kim. Hii imekaaje wadau.
Mmmmmmhmn ndugu hapo kwa kim Kardashian na Ray J kiukweli umeupiga mwingi.

Kim ni mtoto wa mzee Kardashian , wakili maarufu alie simamia kesi tata ya mauwaji iliyokuwa inamkabili black American maarufu aitwaye O.J Simpsons, mcheza American football maarufu huko marekani aliyetuhumiwa kumua kikatili mke wake mwenye asili ya kizungu.

Kim Kardashian , baada ya mkanda wake wa ngono na Ray J kuvuja, alipata umaarufu ambao ulipelekea jarida la playboy kumtafuta ili wafanye nae kazi ya kupiga picha za nusu utupu. Na hapo ndipo safari ya umaarufu na utajiri wake hadi leo ilipoanzia.

Kwa upande wa Ray J , umaarufu ulikuja baada ya kwanza kuonekana akimla binti wa wakili maarufu ila pili , wadada walizimikia dushe lake maana waliona ni size numbre uno.
Lakini pia kumbuka Ray J ni mdogo wa mwanadada Brandy Norwood ambae ni nguli kama sio moto wa kuotea mbali wa muziki wa R&B asie na mpinzani popote duniani kwa uimbaji wake mahiri na ubunifu. Hii pia ilichangia sana ile skendo kuwa kubwa.
 
Mwanakondoo alijua kutuaibisha yule!!!! Yani alikua ameganda kanyooka kama rula hajitingishi.....askofu chidy anapiga viuno kondoo katulia tuliii, aaah mamaeeeh sana
Wengi wenu mkiwa Bed mko hvyo Ila huku mitandaoni mnajikuta mafundi
 
Mmmmmmhmn ndugu hapo kwa kim Kardashian na Ray J kiukweli umeupiga mwingi.

Kim ni mtoto wa mzee Kardashian , wakili maarufu alie simamia kesi tata ya mauwaji iliyokuwa inamkabili black American maarufu aitwaye O.J Simpsons, mcheza American football maarufu huko marekani aliyetuhumiwa kumua kikatili mke wake mwenye asili ya kizungu.

Kim Kardashian , baada ya mkanda wake wa ngono na Ray J kuvuja, alipata umaarufu ambao ulipelekea jarida la playboy kumtafuta ili wafanye nae kazi ya kupiga picha za nusu utupu. Na hapo ndipo safari ya umaarufu na utajiri wake hadi leo ilipoanzia.

Kwa upande wa Ray J , umaarufu ulikuja baada ya kwanza kuonekana akimla binti wa wakili maarufu ila pili , wadada walizimikia dushe lake maana waliona ni size numbre uno.
Lakini pia kumbuka Ray J ni mdogo wa mwanadada Brandy Norwood ambae ni nguli kama sio moto wa kuotea mbali wa muziki wa R&B asie na mpinzani popote duniani kwa uimbaji wake mahiri na ubunifu. Hii pia ilichangia sana ile skendo kuwa kubwa.
Tuione Kwanza hiyo video ya kim
 
Back
Top Bottom