Hahahaaaa......!
Kama vipi warudi darSio viongozi tu, hata wasaidizi wa viongozi wanalalamika sana kuishi Dodoma.
Mama ana hekalu Mbweni hapo jirani na chuo cha wavaa suti na miwani meusiSikukuu unakula ukiwa Nyumban sio Kazini
Dodoma ni Kazini na Dar ni Nyumban
Kambarage alikuwa sikukuu anaila akiwa kwao Butiama
Mzee Mwinyi alikuwa anailia 'kwao' Msasani
Mkapa akiwa Kwao Lupaso
Jakaya alikuwa anailia kwao Msoga
Samia anailia kwao Znz japo sina hakika kama ni Makunduchi maana Makunduchi kule ni Platform iliyomleta kwny Bunge la Jamhuri ni asili ya Baba yake
Labda kwake ni Kijitoupele au Jia la Uzi (njia kuu ya kupitishia Nyaya za Umeme) au Kiembe samaki ( Seaview ya Znz)
Baada ya Mwendazake kumaliza Mwendo sasa hivi ofisi za Wizara za Dar es salaam zimeanza kufufuliwa mdogo mdogo wenyewe wamesibatiza jina 'Ofisi ndogo ya Wizara' wameanza ku beep kuja kufanyia visemina Uchwara Dar vya wiki mbili mbili ili angalau wawe karibu na Familia zao
Mzee alikuwa anapenda sana kushadadia yale mambo ya kukomoa komoa tu
Kama sasha saa zote yupo dar tusijeona anafuta sheria ya dodoma kua mji mkuu. Kupokea hati mabalozi kaja dar kuhutubia wazee kaja dar utafikiri dodoma hakuna wazeeππ. Ikiwa mabalozi wanafuatwa dar je wataona haja ya kuhamia dodoma? Au tufanye dar zaidi ya biashara ni mji wa mabalozi? ..sijui kama huo utaratibu upo ππNauliza tu maana Dodoma wamebakia akina mzee Mgaya na mzee Ndugai wengine wote wametimkia Dar es salaam kula sikukuu ya Eid El Fitr.
Ni kwamba Dodoma ni padogo au bado ni mashambani hakufai kusherehekea sikukuu zenye amsha amsha?!!
Eid Mubarak!
Watatulostisha sana watu wa Dodoma πKama vipi warudi dar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwendazake alikuwa anapapenda kwasababu ya cheap mademu wa chuo
Tutake radhi88% makusanyo yapo Dar....usidanfanyike Dar ndio Tanzania ndio kila kitu........Dom upuuzi tuuu
Kumbe mwinyi kwao ni Msasani,halafu Hugo mkapa kweli alikuwa anenda huko kijijini LupasoMzee Mwinyi alikuwa anailia 'kwao' Msasani
Mkapa akiwa Kwao Lupaso
Kumbe mwinyi kwao ni Msasani,halafu Hugo mkapa kweli alikuwa anenda huko kijijini Lupaso
Kama hawataki waache kazi dom mbona pako poa pametulia sio Kama dar vurugu daily saa kumi upo Barabarani kuwai folen kwenda ofisin , unatoka Saa 9 kazi nyumbani unafika saa tatu usiku,Sio viongozi tu, hata wasaidizi wa viongozi wanalalamika sana kuishi Dodoma.
Kwani sikukuu wanakula kuofisi au kifamilia?Nauliza tu maana Dodoma wamebakia akina mzee Mgaya na mzee Ndugai wengine wote wametimkia Dar es salaam kula sikukuu ya Eid El Fitr.
Ni kwamba Dodoma ni padogo au bado ni mashambani hakufai kusherehekea sikukuu zenye amsha amsha?!!
Eid Mubarak!
Kwahiyo ulitaka akapange foleni pale Ifm Airport kama kina Hemed PHD?
Ndiyo Ukweli WenyeweDar ndio Tanzania bwashee! Huko kwengine mwachie "dugai" tu.
ππ πππππNgoja wale wenye uzi 'DAR ITAPAUKA BAADA YA SERIKALI KUHAMIA DODOMA" waje watie neno hapa
Nauliza tu maana Dodoma wamebakia akina mzee Mgaya na mzee Ndugai wengine wote wametimkia Dar es salaam kula sikukuu ya Eid El Fitr.
Ni kwamba Dodoma ni padogo au bado ni mashambani hakufai kusherehekea sikukuu zenye amsha amsha?!!
Eid Mubarak!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwendazake alikuwa anapapenda kwasababu ya cheap mademu wa chuo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini sasa?Sio viongozi tu, hata wasaidizi wa viongozi wanalalamika sana kuishi Dodoma.