Mwendazake alikuwa anapapenda kwasababu ya cheap mademu wa chuo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkapa alikuwa na utaratibu huo kila mwisho wa Mwaka,
Hadi leo Mwinyi yupo Msasani, bora hata akitaka kurusha picha mtandaoni anasogeaga Msoga kupata picha za shamban anakwanyua Hindi kwny Mti huku ana mawani yake ya kibishoo na Travolta mguuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo ulitaka akapange foleni pale Ifm Airport kama kina Hemed PHD?
[emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaaahWambeya wengi walikuwa wanafuatilia movements hata akikatiza mitaa ya tegeta
Tako wwMwendazake alikuwa anapapenda kwasababu ya cheap mademu wa chuo
Nani kasema pabaya?dodoma pazuri acheni uchawi wenu hapa
Mbona jiwe alipokuwa anakimbilia Chattle hamkuwa mnalalamika?Nauliza tu maana Dodoma wamebakia akina mzee Mgaya na mzee Ndugai wengine wote wametimkia Dar es salaam kula sikukuu ya Eid El Fitr.
Ni kwamba Dodoma ni padogo au bado ni mashambani hakufai kusherehekea sikukuu zenye amsha amsha?!!
Eid Mubarak!
Kuna ofs bado baadhi ya mabox waliyofungia files hawajayafungua zaidi ya 3 Yrs sasa. Sijui wana plan nn!Sio viongozi tu, hata wasaidizi wa viongozi wanalalamika sana kuishi Dodoma.
πππ labda wanadhani wataambiwa nyuma geuka!Kuna ofs bado baadhi ya mabox waliyofungia files hawajayafungua zaidi ya 3 Yrs sasa. Sijui wana plan nn!
wanasema social life ni ngumu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini sasa?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wasijaribu hata kuestablish bwawa artifical kina Job watajifia kwenye maji kwa ushamba wa kuogelea....Dodoma kuna bahari?
Daaah ila Dom maisha ya kule siyawezi kwa kweli.wanasema social life ni ngumu.
Lazima ujue Eid inaliwa Pwani na Christmas inaliwa Moshi. Dodoma nyie subirini sikukuu za kisiasaNauliza tu maana Dodoma wamebakia akina mzee Mgaya na mzee Ndugai wengine wote wametimkia Dar es salaam kula sikukuu ya Eid El Fitr.
Ni kwamba Dodoma ni padogo au bado ni mashambani hakufai kusherehekea sikukuu zenye amsha amsha?!!
Eid Mubarak!