The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Alijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.Dini ni kwa ajili ya kushape tabia za watoto.....😁
qauli thabeet
Pole kwa kufiwaAlijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.
Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.
Kwenye picha hapo chini kipenzi chetu cha dhati Imaam akimuaga mara ya mwisho kabla ya umauti mke wake wa mwisho Shaharbanu bint Yezdegerd the ni ya Imam Ali Al-Sajjad, peace be upon him.
View attachment 3063963
adriz Malaria 2 Code 255 Titicomb ephen_ dronedrake
Acha bhangii🙄Alijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.
Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.
Kwenye picha hapo chini kipenzi chetu cha dhati Imaam akimuaga kwa mara ya mwisho kabla ya umauti mke wake wa mwisho Shaharbanu bint Yezdegerd ni mama ya Imam Ali Al-Sajjad, peace be upon him.
View attachment 3063963
adriz Malaria 2 Code 255 Titicomb ephen_ dronedrake
Wakati vinachapishwa sayari nyingine hazikuwa zimezaliwa!Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.
Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.
Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.
Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Yani wee acha tu huu ni mwezi wa Ashura bado hatujamaliza arobaini.Pole kwa kufiwa
Sasa mkuu hapo ndio reasoning yako ndio imeishia au umechagua flow ya ku justify your conclusionsUko sahihi sana.
Dini ni tool ya kucontrol masses.
Period.
Ni mtu mjinga tu ndiye ana miaka 18+ na anaamini nyoka aliongea, mvua inaweza kunyesha dunia nzima na kuleta mafuriko dunia nzima kwa wakati mmoja au kwamba Kuna sehemu hewani inaitwa mbingu ambapo watu wataenda kunywa pombe mitoni na kuzagamua mabikira 70+ .
Hebu tuwe na akili kidogo, tuache kuact utoto wakati tumeshakuwa watu wazima.
Kwahiyo anakula tu vitu 72 sahiviYani wee acha tu huu ni mwezi wa Ashura bado hatujamaliza arobaini.
Mwamba kipenzi chetu cha dhati anaendelea tu kupata qauli thabeet za kutosha huko firdaus na jannah.
Nipe reasoning yako mkuu.. let's share ideas.Sasa mkuu hapo ndio reasoning yako ndio imeishia au umechagua flow ya ku justify your conclusions
Panga litamkata kashikaje 😅 😅 😅Alijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.
Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.
Kwenye picha hapo chini kipenzi chetu cha dhati Imaam akimuaga kwa mara ya mwisho kabla ya umauti mke wake wa mwisho Shaharbanu bint Yezdegerd ni mama ya Imam Ali Al-Sajjad, peace be upon him.
View attachment 3063963
adriz Malaria 2 Code 255 Titicomb ephen_ dronedrake Yazidi Salim
Habari ROOM 47
Umemaliza kila kitu.
Soma post #34Umemaliza kila kitu.
Wewe nilisha kuignore muda sana kwani huwa unanichosha. Sayari, solar system, water circle n.k zimetajwa kwenye Biblia.Soma post #34
Ok sawa hongera..Wewe nilisha kuignore muda sana kwani huwa unanichosha. Sayari, solar system, water circle n.k zimetajwa kwenye Biblia.