MrfursaTZA
Member
- Jul 26, 2024
- 29
- 94
- Thread starter
-
- #41
Great mind zinawaza streight bila woga wala wasiwasi kwa vitu vya kuambiwa, tatizo tunaambiwa vitu vingi mno vya kututisha ili tukubaliUko sahihi sana.
Dini ni tool ya kucontrol masses.
Period.
Ni mtu mjinga tu ndiye ana miaka 18+ na anaamini nyoka aliongea, mvua inaweza kunyesha dunia nzima na kuleta mafuriko dunia nzima kwa wakati mmoja au kwamba Kuna sehemu hewani inaitwa mbingu ambapo watu wataenda kunywa pombe mitoni na kuzagamua mabikira 70+ .
Hebu tuwe na akili kidogo, tuache kuact utoto wakati tumeshakuwa watu wazima.
Tena watto ambao sio great thinkersDini ni kwa ajili ya kushape tabia za watoto.....😁
Jibu murua kwa mleta mada. Anaanzisha thread bila kufanya uchunguzi kwanza?🤣🤣
CHukua Pepsi Baridi Na Kitimoto Kilo moja na Ndizi mbili nakuja KukulipiaDini ni kwa ajili ya kushape tabia za watoto.....😁
Hakika.Great mind zinawaza streight bila woga wala wasiwasi kwa vitu vya kuambiwa, tatizo tunaambiwa vitu vingi mno vya kututisha ili tukubali
Wewe ili useme jambo hili ni jema au baya unaangalia nini? Ulijuaje? Ndo maana neno **** kwa kiswahili ni tusi ilaQuran sijui Ila Biblia inahusu Dunia maana ndio ilizingua. Kuna sayari nyingi tena zrnye viumbe wema zaidi ya decilion mara decilion
Kuna mambo mtoto anakuuliza unabaki kujikanyaga tu.Tena watto ambao sio great thinkers
Nimerudia kuangalia ID yako mara mbili mbili, umeandika kama FaizaFoxyNa wewe unauhakika gani hizo sayari zipo km sayansi inadanganya?
Km tu umbo la dunia ni debate mpaka leo
Baharini binadamu hajaifikia kuijua hata theruthi moja?
Mabara tu hajamaliza uchunguzi kagoogle bara la aktic
Vya hewani sayansi itaviweza?
Kwa kujua juu ya sayari nyingine, kumekufanya ukaishi huko? Sayansi imezigundua, mbona hatuoni faida zake?Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.
Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.
Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.
Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Uko wapi....😊CHukua Pepsi Baridi Na Kitimoto Kilo moja na Ndizi mbili nakuja Kukulipia
Umepaniki, kama wewe ni mwalimu wa madras wanafunzi wako wakiuliza haya maswali itakuwa unawadunda bakora vibaya sana.Kwa kujua juu ya sayari nyingine, kumekufanya ukaishi huko? Sayansi imezigundua, mbona hatuoni faida zake?
Sisi tupo ardhi ya ngapi?Vitabu vya dini vimeeleza kwamba kuna mbingu saba na ardhi saba
Mbingu ndio nini?Mungu ndiye aliyeumba mbingu na ardhi....so anajua kila kitu...nazungumzia hao walioandika.
Maneno yako hayana uhusiano na mchango wangu.Wewe ili useme jambo hili ni jema au baya unaangalia nini? Ulijuaje? Ndo maana neno **** kwa kiswahili ni tusi ila
Kuna mahali halina
Maana yyte. Hao waliokuambia mema na mabaya ndo mastermind wa dunia sasa ili waweze kukucontrol
Hakuna mtu anaweza kukujibu hilo, Ulimwengu wote unakadiriwa kuwa na galaxies zaidi ya bilioni 200, galaxy yetu pekee ya Milk way inakadiriwa kuwa na sayari zaidi ya bilioni 100.Hivi ni sayari gani nyingine inaweza kusupport life.
Tupo ardhi ya juu kabisa, ila hatupo mbinguni tupo duniani/ardhiniSisi tupo ardhi ya ngapi?
Mbinguni ni wapi?
Kuna msemo Mmoja huwa naupenda sana kuutolea Mfano...Hakuna mtu anaweza kukujibu hilo, Ulimwengu wote unakadiriwa kuwa na galaxies zaidi ya bilioni 200, galaxy yetu pekee ya Milk way inakadiriwa kuwa na sayari zaidi ya bilioni 100.
Really ?Na wewe unauhakika gani hizo sayari zipo km sayansi inadanganya?
Km tu umbo la dunia ni debate mpaka leo
Baharini binadamu hajaifikia kuijua hata theruthi moja?
Mabara tu hajamaliza uchunguzi kagoogle bara la aktic
Vya hewani sayansi itaviweza?