Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Great mind zinawaza streight bila woga wala wasiwasi kwa vitu vya kuambiwa, tatizo tunaambiwa vitu vingi mno vya kututisha ili tukubali
 
Yawezekana hujasoma

Biblia imetaja dunia inaelea angani miaka mingi mno kabla hata ya sayansi

Biblia imetaja mzunguko wa maji kabla hata sayansi haijaelewa na kutaja

Biblia itaja umbo la dunia kabla ya sayansi

N.k.
 
Great mind zinawaza streight bila woga wala wasiwasi kwa vitu vya kuambiwa, tatizo tunaambiwa vitu vingi mno vya kututisha ili tukubali
Hakika.
Ni muda wa watu kuachana na hofu walizopandikizwa na wahubiri, mapadre, walezi na waimba injili toka utotoni.
Mara ohh.. utachomwa moto, utapata mabalaa, kulia na kusaga meno ..
Aiseeh ..
 
Quran sijui Ila Biblia inahusu Dunia maana ndio ilizingua. Kuna sayari nyingi tena zrnye viumbe wema zaidi ya decilion mara decilion
Wewe ili useme jambo hili ni jema au baya unaangalia nini? Ulijuaje? Ndo maana neno **** kwa kiswahili ni tusi ila
Kuna mahali halina
Maana yyte. Hao waliokuambia mema na mabaya ndo mastermind wa dunia sasa ili waweze kukucontrol
 
Na wewe unauhakika gani hizo sayari zipo km sayansi inadanganya?

Km tu umbo la dunia ni debate mpaka leo

Baharini binadamu hajaifikia kuijua hata theruthi moja?

Mabara tu hajamaliza uchunguzi kagoogle bara la aktic

Vya hewani sayansi itaviweza?
Nimerudia kuangalia ID yako mara mbili mbili, umeandika kama FaizaFoxy
 
Kwa kujua juu ya sayari nyingine, kumekufanya ukaishi huko? Sayansi imezigundua, mbona hatuoni faida zake?
 
Wewe ili useme jambo hili ni jema au baya unaangalia nini? Ulijuaje? Ndo maana neno **** kwa kiswahili ni tusi ila
Kuna mahali halina
Maana yyte. Hao waliokuambia mema na mabaya ndo mastermind wa dunia sasa ili waweze kukucontrol
Maneno yako hayana uhusiano na mchango wangu.
 
Hakuna mtu anaweza kukujibu hilo, Ulimwengu wote unakadiriwa kuwa na galaxies zaidi ya bilioni 200, galaxy yetu pekee ya Milk way inakadiriwa kuwa na sayari zaidi ya bilioni 100.
Kuna msemo Mmoja huwa naupenda sana kuutolea Mfano...

The Eyes can not see What the Mind is Not!

kama Ubongo wako Haujui kitu hata ukuonyeshwa huwezi kujua Ni nini hicho...

Katika Karne hizo hakuna mtu aliyekuwa anajua kuwa Kuna sayari nyingine na ndo maana maandiko yote yalideal na Dunia peke yake..

Hakuna mtu atakuonyesha Any proof kutoka katika Biblia Uwepo wa sayari zingine..

Kuna sayari zaidi ya 1Mil + na galaxy zaidi ya 500 na kila galaxy ina Star system yake..

So Unafikiri kwanini Galileo aliuliwa na Kanisa na kupewa Adhabu??

Baada ya kusema Dunia Inazunguka Jua Kinyume cha Biblia..
 
Na wewe unauhakika gani hizo sayari zipo km sayansi inadanganya?

Km tu umbo la dunia ni debate mpaka leo

Baharini binadamu hajaifikia kuijua hata theruthi moja?

Mabara tu hajamaliza uchunguzi kagoogle bara la aktic

Vya hewani sayansi itaviweza?
Really ?

Unajua kitu kinaitwa Telescope ? Au maana ya Sayari ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…