Uchaguzi 2020 Kwanini Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimeanguka vibaya sana katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani

Hahahaaa, kwa uelewa wako.

Kama sijasahau, tume ilikataa tena ilitoa tangazo wiki moja kabla kuwa, haitawezekana mtu kupiga kura(hata ya uRais) sehemu ambayo hakujiandikishia.
oooh, ukilipata niwekee h
 

Excellent. Sina la ziada.
 
Ila wa tz wengne Bado hawajatambua thamani ya Uhuru wa0 nA utawAla wa kisheria
NB:-siku zinakuja watalpa thamani ya ujinga wa0 na kuwakumbuka ata kwakusema kitu

Mungu ni weTu sote(Mungu ibark Tz)
 
What a joke! Hata kushangilia unyang'anyi roho zenu zinawasuta. Mko kimya kama mmefiwa:

View attachment 1616743
What a joke! Hata kushangilia unyang'anyi roho zenu zinawasuta. Mko kimya kama mmefiwa:

View attachment 1616743
UKIWAONA HAWA KATIKA MAANDAMANO, ANDAMANA!!
---------------------------------

1. Ukimuona Dudley, mtoto wa kwanza na Freeman Mbowe na wadogo zake wakiongoza maandamano nawe andamana. Freeman Mbowe pekee hatoshi, yeye hawezi kupigwa risasi hata moja. Nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama kikuu cha Upinzani nchini inamlinda, ni jicho la Dunia anatazamwa, hakuna risasi inayoweza kuelekezwa kwake hata moja. Pale Mkwajuni Kinondoni risasi ilimkwepa Mbowe ikamuua Akwiline Akwelina. Wazazi wake wanalia hadi sasa, hakuna kitu. Usipowaona watoto wa Freeman Mbowe usiandamane!!

2. Ukimuona Alicia Magabe na watoto wake wa damu andamana. Alicia ni mke wa Tundu Lissu ambae Urais wa Lissu unamhusu zaidi kuliko mimi na wewe. Ukimuona Tundu Lissu peke yake usidanganyike kuandamana. Lissu ndie aliegombea Urais kwa Chama kikuu cha upinzani akiungwa mkono na ACT Wazalendo, huyu ni icon ya uchaguzi, ndie mwanamkakati ktk maandano hayo. Dunia yote ipo kwake, akifa hakuna cha kujificha, mission INATIKI.

Hakuna Askari mpumbavu anaweza kulenga shabaha ktk mwili wa Lissu, risasi zitaelekezwa kwako. Utakufa na si ajabu usifahamike, taarifa zako hazitofika popote, utakufa kama Mbwa, utazikwa siku inayofuata ktk kabuli la futi mbili au usizikwe kabisa. Usipomuona Alicia na wanawe, usiandamane!!

3. Ukimuona Bi Fourtuna Salehe na Bi Aweina Sinani na watoto wao katika maandamano andamana. Hii ni familia ya Maalim Seif ambayo inasemwa kuwa imepelekwa Oman mafichoni tayari. Wanasema watu wameuawa Zanzibar lkn hakuna jina la mtoto wa Maalim Seif wala wa mtoto wa Jussa hata moja. Usiwe mjinga, hukuzaliwa kuwa chambo, hukuzaliwa kwa ajili ya Urais wa Maalim au Lissu. Wakiwa Marais wewe haitokusaidia chochote. Usipomuona mtoto wa Maalim Seif, wake zake na familia yake jilalie zako nyumbani hauna cha kupoteza.

4. Ukimuona Anna Bwana, Wiza na Josina ktk maandamano yaliyoitishwa na wewe ungana nao, andamana kwa moyo mkunjufu kabisa. Hii ni familia ya Zitto Kabwe, akiwa peke yake muache aendelee na kazi yake. Zitto Kabwe ni Kiongozi wa Chama cha upinzani (KC), ni jicho la Dunia hawezi kupigwa risasi taratibu za kuzuia maandamano zinamtambua na kumlinda. Usipomuona mke wake, watoto na ndugu zake wengine achana na kazi hiyo haina faida itakupeleka kuzimu bure.

5. Ukimuona Askofu Bagonza na mkewe, na watoto wake wote ktk maandamano andamana. Akiwa peke yake muombee kwa Mungu, usijiunge nae. Ukimuona Lema na watoto wake, Sugu na mke wake na watoto zake, Msigwa na wadogo zake kutoka Iringa, Heche na mkewe na watoto wake andamana.
Ukiwaona wao peke yao usiandamane, Ubunge na Urais wao hauna maana yoyote kwako. Maisha yako ni ya kwako peke yako, pambana!!
#USIANDAMANE!!
 
Hili tanga
Tangazo la hii poster ni la kubumba tu, chanzo chake siyo sahihi maana CHANNEL 10 walishalikataa kuwa siyo la kwao. Nimeona hata ma activists wengi wa mtandaoni kama akina Kigogo, Karume, Sarungi na wapinzani wengi wameruka nalo sana na kudai ni la kweli. Ila ukweli ni kwamba hata wewe unaweza kutengeneza poster kama hii na ikaenda sana VIRAL kwenye social medias.

Acheni kudanganya umma.
 
Anayekulipa kufanya propaganda za kumtetea shetani mwambie wamekataa. Amri za Mungu na sheria za nchi zinakataza wizi. Wewe unakuja hapa unatetea unyang'anyi na wizi na kutisha watu. Kama siyo shetani wewe ni nani. Hata pale busitanini Hawa hakujua kuwa naongea na shetani. Alifikiri anaongea na nyoka. Lo and behold! The rest is history. CCM haina legitimacy tena. Mmebaki na matumizi ya nguvu na vitisho na mauaji tu.
 
Dah...mie nadhani Hawa mbogamboga na tunguri zilitumika pia....kuna best wangu mmoja pingapinga sana...Ila alivyotoka kupiga kura akaniambia nimeona nimpe tu Jiwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kula tano boss wangu.
 
Kumbukeni Mnyika alilia kujua karatasi za kupigia kura zimechapishiwa wapi na kudai wapewe kopi na hawa kupewa, dhumuni ni ili wakafeki na hizo feki walizozionyesha kwenye press yao hawawezi hata kupeleka police zikalinganishwe wanajua hilo
Ukweli uchaguzi huu wapinzani wamepigika kikwelikweli ndiyo maana wanahaha kwani ulikuwa wa wazi kiasi kwamba hata kura yako yaweza kufuatiliwa kujua ulimpigia nani hatumwagi ubuyu ila kama beberu ana dau basi twende kwenye mkeka
Wamshindwa vibaya kihistoria
 
Zote nzuri hoja zako mkuu,ila na 8 nimeielewa zaidi na hyo ndo base ya anguko lao
 
Mleta mada unataka kutuambia kabisa nafsi yako haikuhukumu kwa haya uliyoandika hapa. Yaani hujui kwa nini hawakushinda wakati kila kitu kiko wazi. Mimi si mshabiki wa chama na haitatokea. Kwenye ukweli tuseme ukweli. Hata raisi aliyechaguliwa anasema msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Sasa ninakuuliza wewe ni mpenzi wa Mungu au wa shetani. Jibu unalo wewe kutoka kwenye nafsi yako. Tufike mahali tuache mihemko ya kisiasa tuwe wa kweli na tuseme ukweli. Yanayoendelea hapa kwetu tungekuwa wa kweli kila mtu angekuwa na amani. Unfrtunately amani imetoweka kwa wengi na chuki inaongezeka kwa wengi. Mungu tunakuomba ponya nchi yetu na uponye mioyo ya watu walioumizwa na haya matokeo ya uchaguzi.
 

 
Upumbavu wako peleka kwa mumeo.
 
Yani chadema nawafananisha na harakati za pimbi. muda Sana hapa jukwani nilishasema majimbo yote yaliyowahi kushikwa na upinzani kwa miaka minji wananchi wake waliwashitukia jamaa si watu watu wazuri

Nakilichotokea Ni hili ambalo hata mla konyagi hamini,anatetemeka wapi ataendeleza makulaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…