macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kuna mtu anajua haya kiswahili yanaitwaje? Porini tumeyala sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hayo siyo ya asili.
Lakini hata matunda ya kuja kama maembe, mananasi na machungwa nayo ni ya msimu.Mara nyingi, matunda ya asili yanaweza kuwa magumu kupatikana katika maeneo fulani au msimu fulani wa mwaka na yanaweza kuwa ghali mno kulingana na eneo na msimu. Bei ya juu inaweza kufanya iwe vigumu kwa watu wengi kuwa na upatikanaji wa kutosha wa matunda haya katika lishe yao ya kila siku.
Katika baadhi ya maeneo, watu hawana uelewa wa kutosha juu ya umuhimu wa matunda ya asili katika lishe yao.
Katika baadhi ya maeneo, kuna hatari ya matunda ya asili kuambukizwa na magonjwa au viuatilifu vilivyozidi kiasi hata hivyo mabadiliko ya maisha ya kisasa yanaweza kusababisha watu kugeukia vyakula vya kusindika au visivyo vya asili, kama vile vyakula vyenye sukari nyingi au vyakula vyenye mafuta mengi.
Hili ni bonge la tunda. Ingepatikana mashine iyapigepige hadi ibaki asali tupu ingekuwa poa sana.
Unaweza lima na kuyabrand na kupiga pesa nyingi tu. Umeona wasouth walivyoyabrand maamarula?Matunda ya kienyeji hayana tija, kwa sasa lengo ni pesa sio afya yako.
Wanaitaga Mafurahisha 😀Kuna mtu anajua haya kiswahili yanaitwaje? Porini tumeyala sana
View attachment 2979110
Wanaitaga Mafurahisha 😀Kuna mtu anajua haya kiswahili yanaitwaje? Porini tumeyala sana
View attachment 2979110
Weee mi sio mwanao kama ndo una mambo hayo...😄 kuyafumua si kuyala mwanangu poor brain
Ova
Siku hizi yameadimika sana, yalipigwa na korona hatari.View attachment 2979096hili tunda daaaah lipo underrated sana. ila nalikubali sana.
Umenikumbusha mbali sana mpaka lile eneo kulikuwa na mti tukitoka shule tunapita hapo back in 96!
Haya zamani nilijua ni ya asili, kumbe siyo.
Na haya yapo huku kijiji
Hizi ni CACTUS asee ni tamu balaaKuna mtu anajua haya kiswahili yanaitwaje? Porini tumeyala sana
View attachment 2979110
Kumbe siyo ya asili? Mkoa wa Kilimanjaro yapo mengi sana.Haya zamani nilijua ni ya asili, kumbe siyo.
Bila shaka utakuwa uko Kilimanjaro wewe kwa sababu yapo mengi sana.Na haya yapo huku kijiji