Kwanini Waafrika hatulimi matunda yetu ya asili?

Lakini hata matunda ya kuja kama maembe, mananasi na machungwa nayo ni ya msimu.
 
Huku kijiji yapo baadhi mfano tope tope, maparachichi ya asili tokea enzi, mapera, strawberry za asili , kuna mengine nayajua kwa kilugha sijui kiswahili chake

sema wameshaleta miparachichi eti wanayaita ya kizungu, michungwa ya kizungu yaani full uzungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…