Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

Akili za mtu mweusi zipo kuhisi kuonewa tu. Mtu umepauka lakini unataka eti kuoa mtoto wa mtu ambaye hata shida hazijui kisa dini? Mwanamke kwa mujibu wa dini ya Kiislam anahitaji kupewa ulinzi, makazi, chakula na mavazi, Sasa ndugu zetu nyinyi hamtaki kutafuta hela ila mnalazimisha kuoa kwa waarabu eti kisingizio ni dini. Wapo watu wameoa waarabu tena bila shida.
Ukitaka waarabu tu nenda hata Palestine, Syria wapo, ila kama unataka Bakhersa na wa aina yake wakuozeshe wewe kapuku unakosea, Hata kina Kikwete, Kimei, Mwinyi, Makame, Mengi hawawezi kukupa watoto wao kama wewe ni hohehahe
Kidini imekaaje mbna wazung huolewa na niggers kibao tu?
 
Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani[emoji120]

Ndio uelewe mtu kukuletea dini haimaanishi anakupenda saana, ni kwamba dini inatumika kama nyenzo ya kukulainisha ujione mnyonge ili utawalike kwa urahisi.
 
Tukubal sasa wao si mfano wa kuigwa katka dini
Kwenya dini ya Kiislamu kuna miongozo ambayo na Quran na Sunna na sio watu, unataka kuiga nini kutoka kwa Waarabu?? Quran na Sunna havikotoshi? Na kuoa si katika jambo la kulazimisha ila ni jambo la makubaliano baiana ya watu wawili kwa kufata taratibu zote za kidini, Sasa niambie ni kipengele gani cha dini kimekiukwa kwa muarabu kukataa kuolewa na mmatumbi? Wakati dini imekumbia oa/olewa na unayempenda, mweny uwezo wa kulisha/ kukulisha, nasaba yake.
 
Tukubal sasa wao si mfano wa kuigwa katka dini
Nani kasema kuwa wao ni mfano wa kuigwa katika dini?

Quran imeteremshwa kwa lugha ya kiarabu, na Mtume Muhammad -swalla llahu allaihi wa sallam- alikwa mwaarabu, lakini hiyo haina maana kuwa waarabu wote ni waislamu na kila anachokifanya mwaarabu ni uislamu.

Ubaguzi kwa waarabu upo kama vile ulivyokuwepo kwa mataifa mengine, na huo wote Uislamu umeukemea.

Hivyo ukizungumzia ubaguzi wa muarabu basi umzungumzie kama muarabu na hauna mafungamano yoyote na Uislamu.
 
Mbona huku kwetu wapo waarabu wengi wakikirsto na wenyew hawataki tuwaoe,nafikiri liende kimlengo wa Utamaduni wao na Si kidini
 
Jamaa kwenda world cup qatar imekuuma sana. Umasikini unasababisha makasiriko.
Jana ulivuliwa nguo hadharani, badala ya kuchutama umekomaa kukaza misuli ya shingo!

Kila mtu aje na the same argument kuhusu wewe, wote wanakuonea wivu? Who the fuc*k are you kila mtu akusingizie...
 
Unafikiri dini inaangalia kufanana kwenu kiimani, Dini nayo imezungumza uwezo pia wa kiuchumi, nasaba na uwezo pia wa kula hiyo kitu. Sasa wewe hilo la nasaba unalijua?
kama dini imeweka kizuiz basi dini hyo itakuwa batili[emoji120]
 
Unajidhalilisha kulialia kuoa sehemu hutakiwi....anyway nimeishi na izo race sana na kweny contacts zangu za simu wapo ila naona kawaida wanajali sana pesa wapo kibao choka mbaya wameolewa na jamaa kadhaa.
Pesa tu, ukiwa nayo unaoa sana hao..
 
Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani[emoji120]
Si kweli Nchi hii na Hata bara la Africa na watu weusi kwa Ujumla wameoa waarabu wengi tu.


Raisi mstaafu mwinyi mke wake bibi siti mwarabu, Karume mke wake Mbulushi/muoman kama sijakosea same kwa watu wengine maarufu kama Wabunge.

UKija Africa babu Alpha Blondy juzi tu kaoa mwarabu hapa

Alpha20Blondy-31-720x600.jpg

Wakina Mbape hao mama zao waarabu, na kuna list kubwa tu ya wachezaji mpira weusi wenye wake waarabu.

List yoote hiyo niliyotaja ina kitu kimoja in common, wote ni watu wenye pesa na uwezo, wapo waarabu wenye dini wanaweza kukupa mke, kuna imam huku Tanga anasoma Quran vizuri ameozeshwa mke wa kiarabu ila hii ni mara chache sana, most of time inahitajika hela, maana mahari tu kawaida kutajiwa milioni 20.
 
Jana ulivuliwa nguo hadharani, badala ya kuchutama umekomaa kukaza misuli ya shingo!

Kila mtu aje na the same argument kuhusu wewe, wote wanakuonea wivu? Who the fuc*k are you kila mtu akusingizie...
Ni dhahiri hili jambo una manufaa nalo ndio maana umelileta tena hapa. Mimi nipo hapa ununio dar es salaam.

Sijui kwanini waislamu mmeumia sana kwa jamaa champion kwenda world cup Qatar. Ni sehemu tu ya maisha, tukubali kwamba level zinatofautiana maishani.

Labda na wewe nikuombe unipe ushahidi unaokufanya uamini madai yale. Just that simple.
 
Kwenya dini ya Kiislamu kuna miongozo ambayo na Quran na Sunna na sio watu, unataka kuiga nini kutoka kwa Waarabu?? Quran na Sunna havikotoshi? Na kuoa si katika jambo la kulazimisha ila ni jambo la makubaliano baiana ya watu wawili kwa kufata taratibu zote za kidini, Sasa niambie ni kipengele gani cha dini kimekiukwa kwa muarabu kukataa kuolewa na mmatumbi? Wakati dini imekumbia oa/olewa na unayempenda, mweny uwezo wa kulisha/ kukulisha, nasaba yake.
weny kutuletea din sisi wamanyema na wa matumbi hawana point ya kutushawishi kwa kigezo hicho acha tuoe wazungu tu wao wametukubal na umatumbi wetu[emoji120]
 
Back
Top Bottom