mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
moja ya mafanikio kwa kijana wa kiislam ni kuoa kapemba keupe.Mbona wao hawalilii kuoa kwenu? Acha kujidhalilisha na kujishusha hivyo, hata wewe ni binadamu kama wengine una mama na baba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
moja ya mafanikio kwa kijana wa kiislam ni kuoa kapemba keupe.Mbona wao hawalilii kuoa kwenu? Acha kujidhalilisha na kujishusha hivyo, hata wewe ni binadamu kama wengine una mama na baba!
Mwarabu ni mbaguzi wa asili, ukishakuwa mweusi hata uwe na pesa au mcha-dini kiasi gani hung'owi jiko kwenye familia yake! Kwao kuolewa na mtu mweusi ni mkosi! Mtu wa hivyo anapata wapi ujasiri wa kunishawishi niiamini dini/imani yake?Habari za majukumu wakuuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?
Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?
Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.
Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?
Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?
Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.
Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani[emoji120]
Habari za majukumu wakuuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?
Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?
Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.
Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?
Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?
Najua hata mabeberu (wazungu) ni baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.
Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au di fulani[emoji120]
Waafrika ni wabaguzi zaidi hata machotara hubaguliwau waulize CCMMwarabu ni mbaguzi wa asili, ukishakuwa mweusi hata uwe na pesa au mcha-dini kiasi gani hung'owi jiko kwenye familia yake! Kwao kuolewa na mtu mweusi ni mkosi! Mtu wa hivyo anapata wapi ujasiri wa kunishawishi niiamini dini/imani yake?
Uongo mi dadangu nimemuozesha mswahili Tena mi ndo nilikuwa nasimamia mwamba asiwekewe vikwazo vyovyote.Jamaa Huwa anajikubali sana.Ata uwe na pesa bado tu hawatak black
Kaanzishe uzi wako, tunawajadili waarabu hapa. Kwanini hawapendi ndugu/dada zao kuolewa na mtu mweusi?Waafrika ni wabaguzi zaidi hata machotara hubaguliwau waulize CCM
Chai ya jioni hii.Uongo mi dadangu nimemuozesha mswahili Tena mi ndo nilikuwa nasimamia mwamba asiwekewe vikwazo vyovyote.Jamaa Huwa anajikubali sana.
Ni kwa sababu miafrika ni mijitu mibaguzi, inabagua mpaka machotara , Kama CCMKaanzishe uzi wako, tunawajadili waarabu hapa. Kwanini hawapendi ndugu/dada zao kuolewa na mtu mweusi?
Habari za majukumu wakuuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?
Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?
Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.
Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?
Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?
Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.
Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani[emoji120]
Basi sawaChai ya jioni hii.
Siyo kweli, hata ukiwa na pesa hung'oi mtoto wa kiarabu labda utaambulia michotara ya uswahilini.tafuta pesa utaoa Mwarabu umtakaye, wale viumbe wapo makini sana hawataki watoto wao kugeuzwa fursa
Kwan dini ya kiislam inasema nn kuhsu usawa?
Kwani waarabu huwa wanakatazwa kuoa wabongo?
Kwahio Umeamua utunyweshe chai ya rangi usiku huuUongo mi dadangu nimemuozesha mswahili Tena mi ndo nilikuwa nasimamia mwamba asiwekewe vikwazo vyovyote.Jamaa Huwa anajikubali sana.
Mkuu Sina uwezo wa kukuaminisha.Kwahio Umeamua utunyweshe chai ya rangi usiku huu
Kwanini msiwaoe Dada zenu wakimatumbi?? Mnaishia kuwazalisha na kuwaacha halafu mnalilia kuoa Waarabu😂 Ni aibu kubwa kwa Mvlana/Mschana Wa kiarabu kuzaa nje ya Ndoa ila kwenu ni kawaida mnaiga Wazungu!! Ni aibu Kubwa kwa Mschana wa Kiarabu kuvaa nguo za nusu uchi ila kwenu ni kawaida mnaiga wazungu!! Ni aibu kubwa tabia ya ulevi ila kwenu ni kawaida mnaiga wazungu!! bado UCHAWI NA TABIA ZA KUGOMBEA MIRATHI Mh, Tabia zenu MBAYA NA USHIRIKINA ndizo zinawatisha! Waschana wa Kiswahili wanaishi na waume bila Ndoa ila Mschana wa kiarabu hathubutu kufanya hivo labda awe mjane aliepinda. Mschana wa Kiswahili anaweza kuolewa akaishi chumba kimoja ila mschana wa kiarabu its Impossible wanapenda privacy, Huoni hapo kuna Cultural differences?? Unahisi Ndoa inaweza kudumu hapo?Siyo kweli, hata ukiwa na pesa hung'oi mtoto wa kiarabu labda utaambulia michotara ya uswahilini.
Mwarabu ni mbaguzi wa asili, ukishakuwa mweusi hata uwe na pesa au mcha-dini kiasi gani hung'owi jiko kwenye familia yake! Kwao kuolewa na mtu mweusi ni mkosi! Mtu wa hivyo anapata wapi ujasiri wa kunishawishi niiamini dini/imani yake?