Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

sitaki kukumbusha ujinga wangu wa zamani, ila kwa mbaali sidhani kamani sahihi kuwaoa watu ambao akiinama chuma ulete unaona matundu mawili yote yamelegea. waarabu hata hao Qater, wanavyojifanya kupinga upunga n.k, ni unafiki tu, majority ya wanawake wa kiarabu hawana rinda. majority pia ya wanawake wa kiswahili waliowahi kuolewa au kutembea naw waarabu, hawana marinda, ushoga upo zaidi sehemu ambazo waarabu wapo eg. Tanga, Mombasa, Zanzibar na ukanda woote. hata mijini ni maeneo ya uswahilini. sikatai wazungu majority wanawake wao wanapenda aina hiyo ya ngono ndio maana wameisambaza hata bongo ila waarabu hiyo kitu wanaifanya kuliko hata wazungu ila wakitoka nje wanajifanya wanafuata sana dini.

Mungu anakataza ufiraji, ni dhambi na hakuna mfiraji yeyote atakayeurithi ufalme wa Mungu. hivyo hivyo na kwa wafirwaji. tupa kule uchafu huu.
Kuna maeneo ufiraji na ufirwaji umeenea mitaani hadi 'umepwakukia' majumba ya ibada na hatimae majumba ya ibada hayo yamejikuta hayana namna bali kuukubali tu na kuuhalalisha........sasa tunashuhudia ndoa kwa ajili ya kufirana tu zikifungishwa kila siku huku na wafungishaji nao siku moja moja nao wakiolewa.

Chuki dhidi ya waarabu na watu wa pwani (waislamu) na aina yoyote ya uzushi na uhuishaji wa mambo kwa lengo la kuwadhalilisha hauonyeshi dalili yoyote ya mafanikio. Kadiri dunia inavyozidi kufanywa kijiji na maendeleo ya teknolojia, ndivyo watu wanavyojua ukweli kuwa ni eneo gani la dunia limetawaliwa na ufiraji.......ulaya na marekani.

Tunaambiwa kwa waarabu hakuna watu weusi, lakini nimeiangallia timu ya taifa ya Qatar jana, weusi kibao tu. Bila shaka itasemwa kuwa ni watumwa, wanakuwa siyo watumwa tu ikiwa watachezea au kufanya kazi kwa wazungu. Nguvu zingeelekezwa katika kutatua hii changamoto na sio kutupiana mipira.......ongezeko hili la kutisha kabisa la ufungishwaji wa ndoa kwenye majumba ya ibada, liwe sababu tosha kabisa. Nawasilisha.
 
Kuna maeneo ufiraji na ufirwaji umeenea mitaani hadi 'umepwakukia' majumba ya ibada na hatimae majumba ya ibada hayo yamejikuta hayana namna bali kuukubali tu na kuuhalalisha........sasa tunashuhudia ndoa kwa ajili ya kufirana tu zikifungishwa kila siku huku na wafungishaji nao siku moja moja nao wakiolewa.

Chuki dhidi ya waarabu na watu wa pwani (waislamu) na aina yoyote ya uzushi na uhuishaji wa mambo kwa lengo la kuwadhalilisha hauonyeshi dalili yoyote ya mafanikio. Kadiri dunia inavyozidi kufanywa kijiji na maendeleo ya teknolojia, ndivyo watu wanavyojua ukweli kuwa ni eneo gani la dunia limetawaliwa na ufiraji.......ulaya na marekani.

Tunaambiwa kwa waarabu hakuna watu weusi, lakini nimeiangallia timu ya taifa ya Qatar jana, weusi kibao tu. Bila shaka itasemwa kuwa ni watumwa, wanakuwa siyo watumwa tu ikiwa watachezea au kufanya kazi kwa wazungu. Nguvu zingeelekezwa katika kutatua hii changamoto na sio kutupiana mipira.......ongezeko hili la kutisha kabisa la ufungishwaji wa ndoa kwenye majumba ya ibada, liwe sababu tosha kabisa. Nawasilisha.
Kumtetea mwarabu yakupasa uwe mdini au mwendawazimu.
 
sitaki kukumbusha ujinga wangu wa zamani, ila kwa mbaali sidhani kamani sahihi kuwaoa watu ambao akiinama chuma ulete unaona matundu mawili yote yamelegea. waarabu hata hao Qater, wanavyojifanya kupinga upunga n.k, ni unafiki tu, majority ya wanawake wa kiarabu hawana rinda. majority pia ya wanawake wa kiswahili waliowahi kuolewa au kutembea naw waarabu, hawana marinda, ushoga upo zaidi sehemu ambazo waarabu wapo eg. Tanga, Mombasa, Zanzibar na ukanda woote. hata mijini ni maeneo ya uswahilini. sikatai wazungu majority wanawake wao wanapenda aina hiyo ya ngono ndio maana wameisambaza hata bongo ila waarabu hiyo kitu wanaifanya kuliko hata wazungu ila wakitoka nje wanajifanya wanafuata sana dini.

Mungu anakataza ufiraji, ni dhambi na hakuna mfiraji yeyote atakayeurithi ufalme wa Mungu. hivyo hivyo na kwa wafirwaji. tupa kule uchafu huu.
Umesema kweli kabisa fuatilia hata mademu waliowahi kufanya kazi huko, wengi hawana marinda.Usiende mbali fuatilia walioenda kufanya kazi Mombasa
 
Waarabu issue ya kuoa ni nyeti haijalishi wewe ni Mzungu, Mchina, Mweusi ama hata mwarabu.

Kuna waarabu wanaume wanamaliza nyumba hawapewi wake, usije ukafikiri ni treatment ambayo ni exclusive anafanyiwa mtu mweusi.

Ingekuwa waarabu wanaolewa kirahisi na wazungu ama wachina na weusi wanabaniwa hapo ungekuwa na ground.

Na kuna uwezekano waarabu wanaolewa zaidi na weusi kuliko wazungu.
Wazungu wanaoa zaidi waarabu kuliko weusi wanavyowaoa
 
Kumtetea mwarabu yakupasa uwe mdini au mwendawazimu.
Hoja si kumtetea mwarabu; siwajui kwa chochote, hawanijui kwa lolote. Hoja ni kuwa tuwe wakweli.....tusimzidishie mtu wala tusimpunguzie kwasababu zetu, isitoshe sijazubgumzia waarabu tu mimi.

Anyway, ngoja tuonyeshe utimamu wa akili na kutokuwa wadini kwa kussuport ushoga a.k.a upinde wa mvua......mambo yasiwe mengi!
 
kumbe ni kwel ni wabaguz hivyo hatutakiw kuiga utamaduni wao ikiwemo dini walotuletea cyo?
Dini uislam au
kama una,ungumzia DINI ya UISLAM hawafanyi ubaguzi wanafata DINI inavyotaka na mwanamke ndo mchaguzi wa mwisho
Lbda useme TAMADUNI zao lakini kidini wako sahihi

Uislam unamtaka mwanaume AOE

Kwa
NASABA ya mwanamke
DINI yake
Uzuri wake
Mali yake

Kinyume chake pia MWANAMKE anapoletewa POSA ni lazima wazazi wake
wajiridhishe hayo mambo manne pia kwa huyo mletaji POSA kidha wanamshauri bint yao kisha yeye binti ndo uamua kama amempenda NDOA hufungwa

Hvyo kama wao WAZAZI hawajaridhika na
NASABA ya ukoo wako
Eidha DINI yako
Tabia yako mbaya
Na binti pia ajakupenda kwakua sio mnzuri (sio HANDSOME) au sio mweupe kama yeye
Au wazazi wakamuambia huyu sio katika NASABA tunazozitaka sisi hawakosei KIDINI
Hawajakosea KIDINI wako sawa kumshauri BINTI yao Asiolewe na wewe MZARAMO mpiga MADOGORI
Au BINTI kakukataa wewe kwa kuwa wewe mmatumbi lakini ELIMU ya dini unayo hajakosea KIDINI 7bu NASABA yako hawajaipenda

Lakini kama BINTI MWARABU kakupenda wewe hvyohvyo MSUKUMA MSHAMBA hata wakikataa hawawezi kumfanya CHOCHOTE ataolewa tu na wewe na hata wakitoa RADHI haimpati
 
Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani[emoji120]
Kwani weusi wenzako wana shida gani?
 
sikatai wazungu majority wanawake wao wanapenda aina hiyo ya ngono ndio maana wameisambaza hata bongo ila waarabu hiyo kitu wanaifanya kuliko hata wazungu ila wakitoka nje wanajifanya wanafuata sana dini.
Unazo data zozote za kuthibitisha haya au ndiyo mrengo wa kidini umekukamata?
 
Wazungu wanaoa zaidi waarabu kuliko weusi wanavyowaoa
Una proof? Sina data kuthibitisha ila eye test nikiangalia ndugu jamaa na marafiki interacial ya waarabu na weusi ni kubwa kuliko race yoyote ile,

Unaangalia world cup sasa hivi angalia Qatar tu ile muingiliano wake, na Qatar si maarufu sana Nchi kama Oman, Yemen, Saudi etc kuna mixture kubwa sana ya watu weusi.
 
Kati ya Race ambayo haina systematic racism ni waarabu, mwarabu hafikirii kwamba mweusi hana uwezo wa kuwa dokta ama ana IQ ndogo etc.

Angalia Nchi hii waarabu wanakaa wapi, wengi wapo vijijini na local wamejimix, huwezi wakuta waarabu kama wahindi wanakaa sehemu fulani wao tu bila kujimix.

Hata Nchi za kiarabu mfano kama hawa Qatar walikuwa na uwezo wa kuchukua Wabrazil ama wa Argetina, ila wamekuja Africa kuchukua Vipaji vya timu ya taifa hii inaonesha hawana prejudice kwa wa Africa.

Tafuta mtu ambaye amewahi kukaa Nchi za kiarabu miaka ya 80 na 90 atakwambia kati ta watu weusi na wahindi nani anathaminiwa na waarabu

Black Sniper
Dah, kiongozi hiyo point ya mwisho kuna mtu aliishi Oman miaka ya hivi karibuni 2015-2018, na mwingine 2016-hadi leo yupo huko Dubai na stori walizoniambia ni hiko unachokisema wewe, kuwa wahindi hawana hadhi kabisa kule kwa waarabu.....yaani mtu mweusi ana thamani zaidi ya muhindi.
 
sitaki kukumbusha ujinga wangu wa zamani, ila kwa mbaali sidhani kamani sahihi kuwaoa watu ambao akiinama chuma ulete unaona matundu mawili yote yamelegea. waarabu hata hao Qater, wanavyojifanya kupinga upunga n.k, ni unafiki tu, majority ya wanawake wa kiarabu hawana rinda. majority pia ya wanawake wa kiswahili waliowahi kuolewa au kutembea naw waarabu, hawana marinda, ushoga upo zaidi sehemu ambazo waarabu wapo eg. Tanga, Mombasa, Zanzibar na ukanda woote. hata mijini ni maeneo ya uswahilini. sikatai wazungu majority wanawake wao wanapenda aina hiyo ya ngono ndio maana wameisambaza hata bongo ila waarabu hiyo kitu wanaifanya kuliko hata wazungu ila wakitoka nje wanajifanya wanafuata sana dini.

Mungu anakataza ufiraji, ni dhambi na hakuna mfiraji yeyote atakayeurithi ufalme wa Mungu. hivyo hivyo na kwa wafirwaji. tupa kule uchafu huu.
[emoji1784]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mbna wazungu tunaoa bila hayo mashart yako ya kupauka afu ungetuonesha kwanza wabongo 10 wenye wake warabu

wazngu ni sawa na wanayma pori wanaishi wanavyojiskia tu, Waarabu wanaishi kwa nidhamu na taratibu kwahiyo sio watu wa kukurupuka tu kirahisi.
 
wazngu ni sawa na wanayma pori wanaishi wanavyojiskia tu, Waarabu wanaishi kwa nidhamu na taratibu kwahiyo sio watu wa kukurupuka tu kirahisi.
Basi dini yao walotuletea inatutia mashaka
 
Back
Top Bottom