Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

Kidini imekaaje mbna wazung huolewa na niggers kibao tu?
 

Ndio uelewe mtu kukuletea dini haimaanishi anakupenda saana, ni kwamba dini inatumika kama nyenzo ya kukulainisha ujione mnyonge ili utawalike kwa urahisi.
 
Tukubal sasa wao si mfano wa kuigwa katka dini
Kwenya dini ya Kiislamu kuna miongozo ambayo na Quran na Sunna na sio watu, unataka kuiga nini kutoka kwa Waarabu?? Quran na Sunna havikotoshi? Na kuoa si katika jambo la kulazimisha ila ni jambo la makubaliano baiana ya watu wawili kwa kufata taratibu zote za kidini, Sasa niambie ni kipengele gani cha dini kimekiukwa kwa muarabu kukataa kuolewa na mmatumbi? Wakati dini imekumbia oa/olewa na unayempenda, mweny uwezo wa kulisha/ kukulisha, nasaba yake.
 
Tukubal sasa wao si mfano wa kuigwa katka dini
Nani kasema kuwa wao ni mfano wa kuigwa katika dini?

Quran imeteremshwa kwa lugha ya kiarabu, na Mtume Muhammad -swalla llahu allaihi wa sallam- alikwa mwaarabu, lakini hiyo haina maana kuwa waarabu wote ni waislamu na kila anachokifanya mwaarabu ni uislamu.

Ubaguzi kwa waarabu upo kama vile ulivyokuwepo kwa mataifa mengine, na huo wote Uislamu umeukemea.

Hivyo ukizungumzia ubaguzi wa muarabu basi umzungumzie kama muarabu na hauna mafungamano yoyote na Uislamu.
 
Mbona huku kwetu wapo waarabu wengi wakikirsto na wenyew hawataki tuwaoe,nafikiri liende kimlengo wa Utamaduni wao na Si kidini
 
Jamaa kwenda world cup qatar imekuuma sana. Umasikini unasababisha makasiriko.
Jana ulivuliwa nguo hadharani, badala ya kuchutama umekomaa kukaza misuli ya shingo!

Kila mtu aje na the same argument kuhusu wewe, wote wanakuonea wivu? Who the fuc*k are you kila mtu akusingizie...
 
Unafikiri dini inaangalia kufanana kwenu kiimani, Dini nayo imezungumza uwezo pia wa kiuchumi, nasaba na uwezo pia wa kula hiyo kitu. Sasa wewe hilo la nasaba unalijua?
kama dini imeweka kizuiz basi dini hyo itakuwa batili[emoji120]
 
Unajidhalilisha kulialia kuoa sehemu hutakiwi....anyway nimeishi na izo race sana na kweny contacts zangu za simu wapo ila naona kawaida wanajali sana pesa wapo kibao choka mbaya wameolewa na jamaa kadhaa.
Pesa tu, ukiwa nayo unaoa sana hao..
 
Si kweli Nchi hii na Hata bara la Africa na watu weusi kwa Ujumla wameoa waarabu wengi tu.


Raisi mstaafu mwinyi mke wake bibi siti mwarabu, Karume mke wake Mbulushi/muoman kama sijakosea same kwa watu wengine maarufu kama Wabunge.

UKija Africa babu Alpha Blondy juzi tu kaoa mwarabu hapa


Wakina Mbape hao mama zao waarabu, na kuna list kubwa tu ya wachezaji mpira weusi wenye wake waarabu.

List yoote hiyo niliyotaja ina kitu kimoja in common, wote ni watu wenye pesa na uwezo, wapo waarabu wenye dini wanaweza kukupa mke, kuna imam huku Tanga anasoma Quran vizuri ameozeshwa mke wa kiarabu ila hii ni mara chache sana, most of time inahitajika hela, maana mahari tu kawaida kutajiwa milioni 20.
 
Jana ulivuliwa nguo hadharani, badala ya kuchutama umekomaa kukaza misuli ya shingo!

Kila mtu aje na the same argument kuhusu wewe, wote wanakuonea wivu? Who the fuc*k are you kila mtu akusingizie...
Ni dhahiri hili jambo una manufaa nalo ndio maana umelileta tena hapa. Mimi nipo hapa ununio dar es salaam.

Sijui kwanini waislamu mmeumia sana kwa jamaa champion kwenda world cup Qatar. Ni sehemu tu ya maisha, tukubali kwamba level zinatofautiana maishani.

Labda na wewe nikuombe unipe ushahidi unaokufanya uamini madai yale. Just that simple.
 
weny kutuletea din sisi wamanyema na wa matumbi hawana point ya kutushawishi kwa kigezo hicho acha tuoe wazungu tu wao wametukubal na umatumbi wetu[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…