Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
- Thread starter
-
- #21
Kidini imekaaje mbna wazung huolewa na niggers kibao tu?Akili za mtu mweusi zipo kuhisi kuonewa tu. Mtu umepauka lakini unataka eti kuoa mtoto wa mtu ambaye hata shida hazijui kisa dini? Mwanamke kwa mujibu wa dini ya Kiislam anahitaji kupewa ulinzi, makazi, chakula na mavazi, Sasa ndugu zetu nyinyi hamtaki kutafuta hela ila mnalazimisha kuoa kwa waarabu eti kisingizio ni dini. Wapo watu wameoa waarabu tena bila shida.
Ukitaka waarabu tu nenda hata Palestine, Syria wapo, ila kama unataka Bakhersa na wa aina yake wakuozeshe wewe kapuku unakosea, Hata kina Kikwete, Kimei, Mwinyi, Makame, Mengi hawawezi kukupa watoto wao kama wewe ni hohehahe
Sasa si uoe hao dada zako? Wewe ndio unawashobokea ndio maana unahoji kwanini hawakutaki. Kama wangekuona wa maana wangekufata tu ila huna hiyo hadhi yao acha kujipendekeza watakufanya kitu mbayakwahyo wake zetu wabongo hawal pia hutembea uchi,acha shobo na warabu we mwenyw wana kubagua bado
Habari za majukumu wakuuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?
Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?
Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.
Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?
Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?
Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.
Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani[emoji120]
Kwani waarabu huwa wanakatazwa kuoa wabongo?Mbona wao hawalilii kuoa kwenu? Acha kujidhalilisha na kujishusha hivyo, hata wewe ni binadamu kama wengine una mama na baba!
Tukubal sasa wao si mfano wa kuigwa katka diniSasa si uoe hao dada zako? Wewe ndio unawashobokea ndio maana unahoji kwanini hawakutaki. Kama wangekuona wa maana wangekufata tu ila huna hiyo hadhi yao acha kujipendekeza watakufanya kitu mbaya
Unafikiri dini inaangalia kufanana kwenu kiimani, Dini nayo imezungumza uwezo pia wa kiuchumi, nasaba na uwezo pia wa kula hiyo kitu. Sasa wewe hilo la nasaba unalijua?Kidini imekaaje mbna wazung huolewa na niggers kibao tu?
Kwenya dini ya Kiislamu kuna miongozo ambayo na Quran na Sunna na sio watu, unataka kuiga nini kutoka kwa Waarabu?? Quran na Sunna havikotoshi? Na kuoa si katika jambo la kulazimisha ila ni jambo la makubaliano baiana ya watu wawili kwa kufata taratibu zote za kidini, Sasa niambie ni kipengele gani cha dini kimekiukwa kwa muarabu kukataa kuolewa na mmatumbi? Wakati dini imekumbia oa/olewa na unayempenda, mweny uwezo wa kulisha/ kukulisha, nasaba yake.Tukubal sasa wao si mfano wa kuigwa katka dini
Yaan kama mbwa anavyompenda mwajiri wake. Lakini mwajiri Hana muda na mbwa waketWaarabu ni wabaguzi wakubwa sana. Mbaya zaidi wameteka akili za baadhi yetu kwa kuwapa tende, halua na futari wakati wa mfungo badala ya kuwapa elimu
Championship ...Kuna binti wa kiarabu nakaribia kumuoa. Siku si nyingi namuoa binti mwenye asili ya Kiarabu kutoka Tanga, amekubali kubadilisha dini
Nani kasema kuwa wao ni mfano wa kuigwa katika dini?Tukubal sasa wao si mfano wa kuigwa katka dini
Jamaa kwenda world cup qatar imekuuma sana. Umasikini unasababisha makasiriko.Championship ...
Mzee wa multiple IDs.
Jana ulivuliwa nguo hadharani, badala ya kuchutama umekomaa kukaza misuli ya shingo!Jamaa kwenda world cup qatar imekuuma sana. Umasikini unasababisha makasiriko.
kama dini imeweka kizuiz basi dini hyo itakuwa batili[emoji120]Unafikiri dini inaangalia kufanana kwenu kiimani, Dini nayo imezungumza uwezo pia wa kiuchumi, nasaba na uwezo pia wa kula hiyo kitu. Sasa wewe hilo la nasaba unalijua?
SawasawaMbona wao hawalilii kuoa kwenu? Acha kujidhalilisha na kujishusha hivyo, hata wewe ni binadamu kama wengine una mama na baba!
Pesa tu, ukiwa nayo unaoa sana hao..Unajidhalilisha kulialia kuoa sehemu hutakiwi....anyway nimeishi na izo race sana na kweny contacts zangu za simu wapo ila naona kawaida wanajali sana pesa wapo kibao choka mbaya wameolewa na jamaa kadhaa.
Si kweli Nchi hii na Hata bara la Africa na watu weusi kwa Ujumla wameoa waarabu wengi tu.Habari za majukumu wakuuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?
Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?
Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.
Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?
Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?
Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.
Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani[emoji120]
Ni dhahiri hili jambo una manufaa nalo ndio maana umelileta tena hapa. Mimi nipo hapa ununio dar es salaam.Jana ulivuliwa nguo hadharani, badala ya kuchutama umekomaa kukaza misuli ya shingo!
Kila mtu aje na the same argument kuhusu wewe, wote wanakuonea wivu? Who the fuc*k are you kila mtu akusingizie...
weny kutuletea din sisi wamanyema na wa matumbi hawana point ya kutushawishi kwa kigezo hicho acha tuoe wazungu tu wao wametukubal na umatumbi wetu[emoji120]Kwenya dini ya Kiislamu kuna miongozo ambayo na Quran na Sunna na sio watu, unataka kuiga nini kutoka kwa Waarabu?? Quran na Sunna havikotoshi? Na kuoa si katika jambo la kulazimisha ila ni jambo la makubaliano baiana ya watu wawili kwa kufata taratibu zote za kidini, Sasa niambie ni kipengele gani cha dini kimekiukwa kwa muarabu kukataa kuolewa na mmatumbi? Wakati dini imekumbia oa/olewa na unayempenda, mweny uwezo wa kulisha/ kukulisha, nasaba yake.