Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifa sio muislam umekula kwako, kwa hivyo endelea kuuliza maswali huku ukibaki ktk kindi la ujahiliNi kweli ilo kovu jeusi litakuwa Tochi mkishakufa mkiwa kaburini?
Mkuu leo nimekuwahi kukupa like tena kwenye uzi mgumuKama vipi piganeni tuone atakae Ibuka mshindi.
Tafsiri ya sijda kuwa mwanga wa kaburini ni pana sana.Kumbe sigida ni umaskini wa kuswalia kwenye mikeka migumu na si taa ya kaburini tena?
Uzi mwepesi sana huu sema watu tu ndio wanavichwa vigumu mkuu🤣🤣🤣Mkuu leo nimekuwahi kukupa like tena kwenye uzi mgumu
Nyie wabongo hamsujudi bali mnajibamiza chini ili mpate sugu yan ukiwa muislam afrika ukiwa nayo hio sugu hata msikit unakabidhiwaWakiristo kwanini hamna hata kiduchu au mnasujudia kisogo?
Ni kwa sababu hawaswali sana wala kusugua vichwa vyao ili kuwa na sijda kuwakoga wengine wakiamini kuwa itakuwa ni taa peponi. Wao ndiyo waliotunga hizi ngano. Wanazijua na hawaziamini hata kidogo. Tangu lini storyteller au storywriter akahangaishwa na wahusika aliowatengeza mwenyewe?
Hata wakiristo wanajenga makanisa ili wapate misaada ya wazunguNyie wabongo hamsujudi bali mnajibamiza chini ili mpate sugu yan ukiwa muislam afrika ukiwa nayo hio sugu hata msikit unakabidhiwa
Sawa Malaika.Ukifa sio muislam umekula kwako, kwa hivyo endelea kuuliza maswali huku ukibaki ktk kindi la ujahili
Na wewe ukifa sio muislam lazima ukachomwe moto kwa sababu ulikuwa ktk batiliSawa Malaika.
We ukifa lazima uende Kwa wale Mabikira 72 kwakuwa ni mtakatifu sana
Mkiristo gani kichwa maji. Hata kuuliza swali hujui
Uliza hivi. Kwanini waislam ngozi nyeupe kama waarabu , wazungu na wahindi hawa sijda? Lk umekazania waarabu waarabu na unajua kuna waarabu makafiri kuliko wewe
Aisee nyie watu chuki dhidi ya waislamu zinawatesa sana! ... hivi hamuoni kama mnajipa tabu wenyewe?Nikilionaga jitu lina hiyo kitu ,mosi naliona litakuwa linajiona litakatifu,pili neno kafiri liko akilini mwake na laweza kutoka muda wowote,na mwisho naliona ni jitu lilipotea njia kwa kuiacha njia sahihi ya kuelekea uzimani na kushika njia ielekeao upotevuni
Mawaswali yana mpangilio wake,Usitake kuulizwa swali unavyotaka wewe. Muul8za swali ana uhuru wa kuuliza vyovyote vile. Unachotakiwa ni kujibu tu.
Mwanamke haongozi muislam. Ukiona muislam mwanamke anaongoza ujue nchi hio inafata mfumo wa kikiristo yaani dini siasa tofauti
Kwana mwanamke kichaa na mwanaume kichaa wakizaa kikanuni wana zaa kichaa? Tumia akili achakutumia kijambio kufikiri kama ccm ...NYINYI NDIYO YALE MATOTO MAPUMBAVU MNAO SEMA BORA UNITUKANIE BABA YANGU KULIKO MAMA YANGU...VERY FOOLISH PEOPLESasa kama umezaliwa na mtu asiye na akili ww utakuwa na akili ,maana tabia na akili ya mtoto huwa inaasiki ni aina gani ya mzazi aliye naye.
Mawaswali yana mpangilio wake,
Hii inasababishwa na eneo unalosalia, yaani wenzetu misikiti yao inamakapeti ya manyoya kwa hiyo hata asujudu vipi haiwezi kutoka sijda.SIJDA ni neno la kiarabu linalomaanisha kutukuza, kunyenyekea au kusujudu, katika kutohoa unaweza pia kuita SAJADAT yaani wingi wa Sujud au Sajda
Hivyo Binti anayeitwa SAJDA maana yake ni anayesujudu
SIJDA haifanyiki kwa Waislam tu, hata Wakristo wanasujudu...na Wabudha ni zaidi kwa sababu viongozi wa kibudha wanasujudu mara 108 kwa siku kama maagizo katika dini yao
AIDHA, kuna alama inayotokea katika paji la uso kwa yule anayesujudu, hii hutokea si kwa watu wote hata ikiwa wote wanaswali swala 5 za Faradhi (zinazofanywa kila siku)
Swali langu kwa Waislam ni kuwa, Kwanini Waumin wa Kiislam jamii ya wa Waarabu wengi wao hawana SIJDA hata viongozi wa Dini?
SHUKRAAN...
Malaria 2 adriz mjingamimi FaizaFoxy Hance Mtanashati Hammaz