Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Wewe ni mbishi by nature kama Matola naona niache hapo.
Binafsi sijali kama mtu ni shoga au la. Hayo ni maisha yake binafsi na hayanihusu mimi.
Sioni ni kivipi watu wazima walioamua kufirana chumbani kunavyonihusu.
Kwa hiyo kwenye hiyo kura mimi sitapiga. Nitabaki neutral.
Ila ambacho sikifagilii ni ukatili dhidi ya hao watu. Kwa vile tu wao ni mashoga basi haina maana si binadamu.
Ni binadamu kama tulivyo binadamu wengine na wanastahili walau ile heshima ya kibinadamu.
Dudu linabaki na kazi ya kutoa kojo tu!Ukiona soseji inasimama,huyo anakuwa JUNIOR MEMBER,hawajamuingizia mara nyingi.Ila kadri wanavyoendelea kumuwekea pipe,nae anaendelea kutoka meno kwenye joka lake.Mwisho wa siku linaacha kung'ata papuchi
kimtaani shoga anayepigwa anayepiga basha
masai dada mi nimeiona yaani nimejiskia vbaya mpaka naogopa ht kua na mtoto wa kiume
mpaka afikie expert tayari soseji inakua imearibika friji alipooz tena
hivi ni kwa nini akishakua shoga asimamish gim the reason behind that saga
Acha wapakatwe tu,kuna siku moja tulikua club moja,akaja shoga.Akaongea na mshikaji wangu.Best yangu akaniomba ushauli ale au asile.Nikamwambia akifanya hivyo urafiki ushie maana ni kitendo cha laana.Rafiki yangu alinijibu namuonea kijicho,nliondoka eneo hilo ila baadae aliacha!
Mi washanichosha tigo yake aliwe mpaka iishe yeye siku akijinyea akashonwe mk............
Acha wapakatwe tu,kuna siku moja tulikua club moja,akaja shoga.Akaongea na mshikaji wangu.Best yangu akaniomba ushauli ale au asile.Nikamwambia akifanya hivyo urafiki ushie maana ni kitendo cha laana.Rafiki yangu alinijibu namuonea kijicho,nliondoka eneo hilo ila baadae aliacha!
Sijajua sababu,may be kuna misuli inaathirika.Nijuavyo jogoo kuwika kuna misuli inafanya kazi hiyo,ndo maana hata wapiga puchu wana tatizo la kutowika vizuri!
Wife anapenda sana kipindi chake. Mi nikifika home natoa tena kama hakuna program nzuri kwingine ni bora niangalie muvi za kihindi
kimtaani shoga anayepigwa anayepiga basha
Yup!
Acha wadinyane tu. I couldn't care less.
aiseee binafsi i had my fundi mmmoja
nikienda kujaribu nguo kwake wala hata asogei
ofcoz ni shoga but huwa hasimamish ndo nilikuwa nawaza why na anavua nguo kwa mbele ya mwanamke
Binafsi sijali kama mtu ni shoga au la. Hayo ni maisha yake binafsi na hayanihusu mimi.
Sioni ni kivipi watu wazima walioamua kufirana chumbani kunavyonihusu.
Kwa hiyo kwenye hiyo kura mimi sitapiga. Nitabaki neutral.
Ila ambacho sikifagilii ni ukatili dhidi ya hao watu. Kwa vile tu wao ni mashoga basi haina maana si binadamu.
Ni binadamu kama tulivyo binadamu wengine na wanastahili walau ile heshima ya kibinadamu.
Siyo wana mitindo tu...hata baadhi ya maHair Dresser wengi wa salon za Ulaya na America wengi wao ni mashoga"hasa wanaume". Hata mimi huwa najiuliza tatizo ni nini?
kwa mfano mwanao akiwa shoga utamkingia kifua
Martin Kadinda naye ni shoga au??
shoga ake wema lol