Meanwhile stand ya Moshi 😂Siyo kwamba wengi mnaopiga wachaga vita mnasumbuliwa na inferiority complex? Watu wengi wanadharau wachaga huwa naona wana kitu kimoja common: maumivu ya ndani kwa ndani!
Na kuwa obsessed na hela haina haina maana kuwa una hela!Nakosa cha kukujibu...
Uko obsessed na wachaga....
Na wao wako obsessed na hela tu..
Ndio maana nimeshindwa kukujibu..
Maaana mm ni mchaga na niko obsessed
Na hela tu!
Jengeni yenu kwanza achana na BukobaTunawapa miaka 50 muwe mmejenga stendi ya maana ya mabasi na kufagia uchafu mwingi kwenye mitaa ya Bukoba na mingine 50 ya kuondokana na umaskini uliokithiri.
Thank you, tatizo hilo limefika na litafanyiwa kazi mara moja!Meanwhile stand ya Moshi 😂
Sasa mtu awachukie watu wa Moshi kwa lipi
Katika makibila ya Tanzania kutoa ngozi nyeupe nani anae wagusa wachanga?Kila kabila lina Madon wenye Mkwanja, ila wachaga wamekuwa maarufu kwa Biashara za Maduka ya Rejareja.
WACHAGA WENYE PESA SIO WENGI KAMA UNAVYOFIKIRIA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Wachagga wenye sio washamba wa hela kama yalivyo makabila menginewachaga ambao ni madon kweli wengi wao ni wa kimya na wapo na mambo yao na hawana dharau labda uingie kwenye 18 zao,,,shida ni kwa wale kajambanane ndo dharau kibao na maneno mengi ya kejeli ila ukija kucheki maisha yao ni ya kawaida saaana
Utafti uliufanya wapi mpaka uwe na uhakika wa unachokisema?Katika makibila ya Tanzania kutoa ngozi nyeupe nani anae wagusa wachanga?
Unaposema wa Kaskazini unamaanisha nini ? Kwamba wapare, wasambaa, Wachagga, wamasai, wameru, wairaq, wafyomi wote Wana Hali nzuri kuliko wengine ?Na wewe hamia huko uombe ukabila uwe mchaga au kaolewe huko uzae watoto wenye vinasaba vya kichagga kama unatamani ! !!
Wenzentu wa kaskazini wanajitahidi sana, ukweli usemwe ! Chuki ya nini.? Jitafute na wewe ukijipata jigambe !
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe!
Mi niko Mwanza na Kahama huku sijaona hao Wachaga matajiri wanao wazidi wengine huku! Nitajie wapi huko wachaga wanabiashara kubwa kuzidi wengine? Maana Kariakoo kuna Wakinga,Waha ,Wapemba na Wasukuma wanafanya vizuri kama nyinyi!Mbona kama mnaumia?? Wameshawazidi mbali mkubali tuu...kama hawajajenga kwao wamejenga huko makwenu mi mansion na mabiashara makubwa makubwa ni yao....
Endeleeni na mabishano yenu..am outMi niko Mwanza na Kahama huku sijaona hao Wachaga matajiri wanao wazidi wengine huku! Nitajie wapi huko wachaga wanabiashara kubwa kuzidi wengine? Maana Kariakoo kuna Wakinga,Waha ,Wapemba na Wasukuma wanafanya vizuri kama nyinyi!
Ni inferiority complex zenu tu. Kama kipindi cha Magufuli ndiyo kabisa..Meanwhile stand ya Moshi 😂
Sasa mtu awachukie watu wa Moshi kwa lipi
Kina Dotto Magari na chief godlovewachaga ambao ni madon kweli wengi wao ni wa kimya na wapo na mambo yao na hawana dharau labda uingie kwenye 18 zao,,,shida ni kwa wale kajambanane ndo dharau kibao na maneno mengi ya kejeli ila ukija kucheki maisha yao ni ya kawaida saaana
Nilivyomjibu ndivyo nilivyomwelewa. Sio lazima nielewe kama ulivyoelewa wewe.Hujampata mwandishi kabisaaa. Rudi usome tena
Hivi tofauti ya Mmeru na Muarusha ni nini?Mimi nimefanya Utafiti wa kina
Ukiondoa Kabila la Wakinga ambao wanajitahidi, Aisee Watu wa Kaskazini (Sio Wachaga tu) hata Wameru, Waarusha na Wamasai kwa % kubwa wapo vizuri kimaisha.
Yaani nimepita Ngaramtoni, Sakina, Ilboru, Mianzini, Sekei ndanindani huko juu mpaka Namanga kule mpakani na Kenya Watu wanajenga na kuendeleza kwao
Kusema kwamba Moshi haijaendelea au Wachaga hawana maendeleo ni UONGO na labda una WIVU wa Kike
Uchagani mpaka ndani migombani kuna nyumba nzuri tofauti na vijiji vya makabila mengine luambo makiadi
Kajenge kwenu mkuu acha sifa..cheki Barabara za mitaa huko Moshi...Moshi mji unajichokea nyinyi mko na misifa..Ni inferiority complex zenu tu. Kama kipindi cha Magufuli ndiyo kabisa..
Basi umekosea.Nilivyomjibu ndivyo nilivyomwelewa. Sio lazima nielewe kama ulivyoelewa wewe.