Kwanini Wachaga na Wapare wanaogopwa na kubaguliwa?

Kwanini Wachaga na Wapare wanaogopwa na kubaguliwa?

sidhani kama kuna mchaga halisi yeyote atakubali kuwekwa kundi moja na mpare. jaribu kutafuta kichwa cha habari kingine tafadhali. acha dharau kwa wachaga.n umeona wachaga tupoje hadi utuweke fungu moja na wapare? unatuonaje yaani?
Yaani hata Mimi siungi mkono kwa Hilo. Wachaga sio wabahili Wao wanakula Bata vizuri sana. Mpare anaweza kumiliki nyumba 50 mjini akawa anatembelea baiskeli pia Hali chakula kizuri Wala hapigi pamba Wala halali pazuri.
 
We unaota, hp Arusha wapare wako wapi, ni wa kutafuta kwa tochi. Wachaga wenyewe hawana nguvu yyte. Arusha ni ya Wamasai na Wairaqw hao wengine ni wa kuja tu. Wapare Arusha ni wachache sana na hawana umaarufu wowote Bora ht ungesema warangi
Nimeishi Arusha.

Wenyeji ni waarusha, wameru na wamasai ila hali zao za uchumi zipo chini, wachache kati.

ukichukua watu wa Arusha wanaoishi uchumi wa kati na wa juu, wengi ni wachaga.

Wapare wengi wana hali za kawaida.

Warangi, wanyaturu, Wairaq na wanyiramba wamehamia Arusha lakini hali zao za uchumi wengi wao zipo chini wamejazana Unga limited, Ngara mtoni, Ngarenaro, n.k. ila kitu ambacho nawasifia wana pisi kali.
 
tukipewa kitengo kikubwa mahali, tunachukua kijiji kizima tunakiingiza kwenye mfumo. Kuna kipindi bandari ya dsm ilikuwa na mabos wachaga, bandari ikawa kama moshi vile
Kwa kweli asingekuwa Magufuri akaisafisha bandari mlikuwa kama mmeinunua!
Deal la vyeti feki lilifanywa na afisa utumishi mmoja Mchaga anaitwa (jina kapuni)! Waliofukuzwa kwa vyeti feki walikuwemo wachaga.
 
Mimi niwe muwazi tu Baba Mpare na Mama Mchaga na nimekulia Arusha hivyo pia ni Chuga boy-tough guys.

Nimefuatilia kwa miaka mingi sasa wachaga na wapare wanaogopwa sana kwenye uongozi. Nakumbuka wakati fulani mtu anakuja na kulalamika kwamba kuna professor wengi wachaga hiyo ilikuwa miaka ya 1990's pale UD.

Wahaya nao walikuwa hivyo lakini baada ya kushuka sana kiuchumi kwao na kwenye biashara sasa wahaya hawaogopwi tena. Yaani kila mali ukienda a una nyumba lakini ni kwasababu nyie ni wachaga.

Hata mimi kuna watu nikikutana nao na uchuga wangu na .5 ya uchaga wanafikiri ni mchaga wanasema umefanya hili au lile kwasababu ni mchaga! nawaambia mimi ni mpare wanasema ni haohao.

Je, niulize ni kitu gani kinafanya sisi kuogopeka kiasi kwamba kuna nafasi wachaga na wapare wananyimwa kwasababu ya makabila yao. Mfano inadaiwa Magufuli alikuwa anabagua waziwazi wizara ya fedha ambayo ilikuwa na wapare wengi na wachaga tena CPA waliletewe mizengwe mpaka wakaondoka

Niongezee tu ni bora wachague wanawake wa kichaga au kipare kuliko wanaume

Maswali

1. Je, sisi ni wezi na mafisadi sana kiasi ambacho tunaogopeka

2. Je, sisi ni wakabila na tunapendeleana sana

3. Je, ni uoga wa kufanikiwa tukipata fursa

4. Je, haya nayosema si kweli na ni fikra potofu

5. Ni 1, 2 na 3

Wanaogopwa na nani?
Tembea mji wowote tanzania hata kule pembezoni kabisa tafuta hayo makabila utawakuta huko....
Haya makabila mengine wamejikusanya mikoa miwili au mitatu tu
 
Wanachukiwa kwa sababu hawendekezi ujamaaa, ie wakishafanikiwa kuna wavivu hutaka watoe jasho Lao wawasaidie was kwa kigezo cha ujamaa, utu au ubinadamu, utasikia wachaga Havana utu.
 
Nimeishi Arusha.

Wenyeji ni waarusha, wameru na wamasai ila hali zao za uchumi zipo chini, wachache kati.
Mkuu, Hakuna kabila linaitwa waarusha, wale ni wamasai waliokulia mjini.
ukichukua watu wa Arusha wanaoishi uchumi wa kati na wa juu, wengi ni wachaga.
Boss, Hizi takwimu ni za kihisia tu sababu huna nyenzo za kutengeneza sample ya kutoa hili hitimisho zaidi ya hisia.

Mfano nikuulize, Idadi ya wakazi wa Arusha ni wangapi? Wangapi wana kipato cha juu, kati na chini?
Warangi, wanyaturu, Wairaq na wanyiramba wamehamia Arusha lakini hali zao za uchumi wengi wao zipo chini wamejazana Unga limited, Ngara mtoni, Ngarenaro, n.k. ila kitu ambacho nawasifia wana pisi kali.
Mkuu, utakuwa unapajua Arusha mjini hiyo mitaa uliyoitaja.

Mashamba makubwa, ngo'mbe, mbuzi, vinamilikiwa na wazee wa kiiraq, masai, mang'ati n.k

Ukiona magari makubwa yanaingia Arusha kutoka Nairobi ujue kuna wazee/vijana matajiri wa hilo jiji wamevuna tani kwa tani.

Jeshi linalishwa nyama na ng'ombe za mang'ati na Masai. Tembelea monduli kidogo.

Wachaga wana utajiri wa biashara zinazo shout, maduka, fuso, mabasi, guest house, bar n.k

NB: NIMEFANYA SANA KAZI ARUSHA, TOFAUTI NA DAR UTAJIRI WA ARUSHA HAUPO HAPO MJINI KWENYE MABAR, UPO MASHAMBANI.
 
Ubaguzi na ubinafsi wa wachanga ndo umetufikisha hapa. we angalia Kimei amekaa CRDB Bank, ss hv bank imejaa wachaga kila kona unadhani ni bank ya familia, na wengine uwezo wao ni mdogo sana ila walijazwa tuu hapo. tatizo kubwa la wachaga ni wabinafsi kupitiliza, mm mwenyewe ni wa humohumo ila ukweli lazima tuseme.
 
Kuchukiwa ni baraka, usiogope wala kukata tamaa fuatilia Kwa makini maisha ya watu wakibagazwa na kubezwa mwisho wake yanakuwaje. Tatizo ninaloliona siyo kubaguliwa au kutengea na wengine ila ni yule anayetengwa kutokuwa na nidhamu juu ya mambo yake.

Sijafanya utafiti wa kutosha juu ya hili ingawa lina ukweli Kwa sababu Lina mpaka msemo kwenye lugha ya Kiswahili. " Ugumu wa maisha ndiyo kipimo cha akili" Mtu anapopitia magumu ikiwepo kutengwa huimarika sana kiakili kwa sababu huwa tunaelewa vizuri sana tunapojifunza kupitia changamoto.
Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni- Kutengwa na kubagazwa ni kama kuni zinazowasha moto.
 
Mademu wa kichaga wanajionaga wana akili mno.. wakati wana viguu vyembamba na maziwa makubwa km wana tenda ya kunyonyesha wato yatima..
 
sidhani kama kuna mchaga halisi yeyote atakubali kuwekwa kundi moja na mpare. jaribu kutafuta kichwa cha habari kingine tafadhali. acha dharau kwa wachaga.n umeona wachaga tupoje hadi utuweke fungu moja na wapare? unatuonaje yaani?
Hahah jamaa ameng’ang’ania ujombani.
 
Hakuna haja ya kuogopa wachaga mimi ni mchaga. Wachaga tumebadilika sana na tumeanza kuwa na tabia za kizaramo. Tembea uone kuna vijana wa kichaga wengi wanaishi makwao. Kuna wachaga wengi wana nyumba ndogo.Kuna wachaga wengi wanaendekeza umalaya. Miaka ya 90 kurudi nyuma hivi vitu vilikuwa havipo. Ndani ya miaka ishirini ijayo wachaga watakuwa kama wengine take it from me.
 
Ubaguzi na ubinafsi wa wachanga ndo umetufikisha hapa. we angalia Kimei amekaa CRDB Bank, ss hv bank imejaa wachaga kila kona unadhani ni bank ya familia, na wengine uwezo wao ni mdogo sana ila walijazwa tuu hapo. tatizo kubwa la wachaga ni wabinafsi kupitiliza, mm mwenyewe ni wa humohumo ila ukweli lazima tuseme.
Kibaya zaidi hata CHADEMA waliifanya kuwa mali ya kabila Asante Lisu kwa kumfurumusha makengeza..
 
Bado mkiwa wenyewe mnabagauana kuwa sie wamachame hatufanani na nyie Mana Kila kitu kilianzia kwetu wengine ni sawa sawa na vyasaka. Wengine wanamaindi kuwa huyu mrombo akawajaza ndugu zake kwenye hii nafasi. Hata mama wa masista ni mpare akipewa hela kujenga shule anajenga kwao na ilhali inatakiwa kuwapenda watu wote Kama Mungu anavyoamuru.


Pia mchaga hawezi nunua duka la mnyamwezi Kama jirani yake hapo hapo na mnyamwezi Kuna duka la mchaga ,yaani siku akijua atajilaumu mno kwa kumpelekea hela mnyamwezi yaani anaweza akarudisha Mali alizonunua ili tu apewe pesa akanunue kwa ndugu yake so ukabila unawatafuna Mana wameathiriwa na wakenya, kumbuka Kenya mtu wa mtwara hawezi fundisha ukerewe Kila kabila kwenu huko huko na wanashindana kikabila.

Kuna mchaga mmoja alikuwa na mgahawa tarime mjini Sasa bana wakurya wao wanakula popote bila kujali kabila siku moja akili ikawaingia kuwa mbona Hawa wachaga wa hapa mjini wanaenda kula kwa mchaga mwenzao hatujawahi kuwakuta kwenye migahawa ya wakurya wenzetu. Wakamlipa sawa sawa na kikombe Chao mbona alihama asubuhi sana.

Mchaga akiona mwingine amepata Mali anaumia sana anajiona ni yeye tu anastahili tu anaweza akapata Mali, Kuna demu mmoja namtongoza ananiambia kuwa ujue nimeshangaa eti famasi Fulani ni ya mkurya na hajamaliza hata la saba , iyo famasi ni kubwa Iko hapo mwenge dar.

Mchaga anapenda hela anaweka utu pembeni ndio mana wachaga masikini hawarudi kwao December na ndugu zao ni sie vyasaka na vishoia.


Wanapenda hela mpaka Kuna mchaga mmoja akawekewa maku huko USA sijui kanada anapiga tu dolari mzee Ile December tu anatuma dolari kuhesabiwa wakati wewe unaenda kuhesabiwa. Kuna wazee wengi huko milimani wanawafukuza vijana kwao ili wasijee wakawatoa kafara,


Kinachomawaliza ni EGO yaani mnajiona wenyewe ndio wajanja kisa kuwahi kusoma, wengine wakipata Mali anaonekana Kama hastahili. Mwingine akipata anaonekana Kama akatumia ndumba mfano mbavyowasakama wakinga kuwa wao wanafanikiwa kwa ndumba tu Ila kwa akili na juhudi zao hawawezi. Kuna msukuma mmoja alinunua nyumba Mwanza mjini kwa bilioni nne mchaga mmoja akaanza kujiliza kuwa sijui wengine wanatoa wapi hela yaani anavyoongea ni Kama alitaka yeye pekee amiliki hela.
Hilo ndo linawaponza ,They don't like other tribes to succeed!
Wana roho mbaya mpaka kila mtu anawajua!
 
Yaani hata Mimi siungi mkono kwa Hilo. Wachaga sio wabahili Wao wanakula Bata vizuri sana. Mpare anaweza kumiliki nyumba 50 mjini akawa anatembelea baiskeli pia Hali chakula kizuri Wala hapigi pamba Wala halali pazuri.

Sijui wana matatizo gani aisee.
Sijui ni inherite spirit ?
Au ni laana Fulani ya ukoo ??.
Yaani mtu unakuwa mbahili hadi wa nafsi yako mwenyewe ?!
Sasa unatafuta vya nini ?!
 
Back
Top Bottom