Kwanini Wachaga na Wapare wanaogopwa na kubaguliwa?

sidhani kama kuna mchaga halisi yeyote atakubali kuwekwa kundi moja na mpare. jaribu kutafuta kichwa cha habari kingine tafadhali. acha dharau kwa wachaga.n umeona wachaga tupoje hadi utuweke fungu moja na wapare? unatuonaje yaani?
Yaani hata Mimi siungi mkono kwa Hilo. Wachaga sio wabahili Wao wanakula Bata vizuri sana. Mpare anaweza kumiliki nyumba 50 mjini akawa anatembelea baiskeli pia Hali chakula kizuri Wala hapigi pamba Wala halali pazuri.
 
We unaota, hp Arusha wapare wako wapi, ni wa kutafuta kwa tochi. Wachaga wenyewe hawana nguvu yyte. Arusha ni ya Wamasai na Wairaqw hao wengine ni wa kuja tu. Wapare Arusha ni wachache sana na hawana umaarufu wowote Bora ht ungesema warangi
Nimeishi Arusha.

Wenyeji ni waarusha, wameru na wamasai ila hali zao za uchumi zipo chini, wachache kati.

ukichukua watu wa Arusha wanaoishi uchumi wa kati na wa juu, wengi ni wachaga.

Wapare wengi wana hali za kawaida.

Warangi, wanyaturu, Wairaq na wanyiramba wamehamia Arusha lakini hali zao za uchumi wengi wao zipo chini wamejazana Unga limited, Ngara mtoni, Ngarenaro, n.k. ila kitu ambacho nawasifia wana pisi kali.
 
tukipewa kitengo kikubwa mahali, tunachukua kijiji kizima tunakiingiza kwenye mfumo. Kuna kipindi bandari ya dsm ilikuwa na mabos wachaga, bandari ikawa kama moshi vile
Kwa kweli asingekuwa Magufuri akaisafisha bandari mlikuwa kama mmeinunua!
Deal la vyeti feki lilifanywa na afisa utumishi mmoja Mchaga anaitwa (jina kapuni)! Waliofukuzwa kwa vyeti feki walikuwemo wachaga.
 

Wanaogopwa na nani?
Tembea mji wowote tanzania hata kule pembezoni kabisa tafuta hayo makabila utawakuta huko....
Haya makabila mengine wamejikusanya mikoa miwili au mitatu tu
 
Wanachukiwa kwa sababu hawendekezi ujamaaa, ie wakishafanikiwa kuna wavivu hutaka watoe jasho Lao wawasaidie was kwa kigezo cha ujamaa, utu au ubinadamu, utasikia wachaga Havana utu.
 
Nimeishi Arusha.

Wenyeji ni waarusha, wameru na wamasai ila hali zao za uchumi zipo chini, wachache kati.
Mkuu, Hakuna kabila linaitwa waarusha, wale ni wamasai waliokulia mjini.
ukichukua watu wa Arusha wanaoishi uchumi wa kati na wa juu, wengi ni wachaga.
Boss, Hizi takwimu ni za kihisia tu sababu huna nyenzo za kutengeneza sample ya kutoa hili hitimisho zaidi ya hisia.

Mfano nikuulize, Idadi ya wakazi wa Arusha ni wangapi? Wangapi wana kipato cha juu, kati na chini?
Warangi, wanyaturu, Wairaq na wanyiramba wamehamia Arusha lakini hali zao za uchumi wengi wao zipo chini wamejazana Unga limited, Ngara mtoni, Ngarenaro, n.k. ila kitu ambacho nawasifia wana pisi kali.
Mkuu, utakuwa unapajua Arusha mjini hiyo mitaa uliyoitaja.

Mashamba makubwa, ngo'mbe, mbuzi, vinamilikiwa na wazee wa kiiraq, masai, mang'ati n.k

Ukiona magari makubwa yanaingia Arusha kutoka Nairobi ujue kuna wazee/vijana matajiri wa hilo jiji wamevuna tani kwa tani.

Jeshi linalishwa nyama na ng'ombe za mang'ati na Masai. Tembelea monduli kidogo.

Wachaga wana utajiri wa biashara zinazo shout, maduka, fuso, mabasi, guest house, bar n.k

NB: NIMEFANYA SANA KAZI ARUSHA, TOFAUTI NA DAR UTAJIRI WA ARUSHA HAUPO HAPO MJINI KWENYE MABAR, UPO MASHAMBANI.
 
Ubaguzi na ubinafsi wa wachanga ndo umetufikisha hapa. we angalia Kimei amekaa CRDB Bank, ss hv bank imejaa wachaga kila kona unadhani ni bank ya familia, na wengine uwezo wao ni mdogo sana ila walijazwa tuu hapo. tatizo kubwa la wachaga ni wabinafsi kupitiliza, mm mwenyewe ni wa humohumo ila ukweli lazima tuseme.
 
Kuchukiwa ni baraka, usiogope wala kukata tamaa fuatilia Kwa makini maisha ya watu wakibagazwa na kubezwa mwisho wake yanakuwaje. Tatizo ninaloliona siyo kubaguliwa au kutengea na wengine ila ni yule anayetengwa kutokuwa na nidhamu juu ya mambo yake.

Sijafanya utafiti wa kutosha juu ya hili ingawa lina ukweli Kwa sababu Lina mpaka msemo kwenye lugha ya Kiswahili. " Ugumu wa maisha ndiyo kipimo cha akili" Mtu anapopitia magumu ikiwepo kutengwa huimarika sana kiakili kwa sababu huwa tunaelewa vizuri sana tunapojifunza kupitia changamoto.
Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni- Kutengwa na kubagazwa ni kama kuni zinazowasha moto.
 
Mademu wa kichaga wanajionaga wana akili mno.. wakati wana viguu vyembamba na maziwa makubwa km wana tenda ya kunyonyesha wato yatima..
 
sidhani kama kuna mchaga halisi yeyote atakubali kuwekwa kundi moja na mpare. jaribu kutafuta kichwa cha habari kingine tafadhali. acha dharau kwa wachaga.n umeona wachaga tupoje hadi utuweke fungu moja na wapare? unatuonaje yaani?
Hahah jamaa ameng’ang’ania ujombani.
 
Hakuna haja ya kuogopa wachaga mimi ni mchaga. Wachaga tumebadilika sana na tumeanza kuwa na tabia za kizaramo. Tembea uone kuna vijana wa kichaga wengi wanaishi makwao. Kuna wachaga wengi wana nyumba ndogo.Kuna wachaga wengi wanaendekeza umalaya. Miaka ya 90 kurudi nyuma hivi vitu vilikuwa havipo. Ndani ya miaka ishirini ijayo wachaga watakuwa kama wengine take it from me.
 
Kibaya zaidi hata CHADEMA waliifanya kuwa mali ya kabila Asante Lisu kwa kumfurumusha makengeza..
 
Hilo ndo linawaponza ,They don't like other tribes to succeed!
Wana roho mbaya mpaka kila mtu anawajua!
 
Yaani hata Mimi siungi mkono kwa Hilo. Wachaga sio wabahili Wao wanakula Bata vizuri sana. Mpare anaweza kumiliki nyumba 50 mjini akawa anatembelea baiskeli pia Hali chakula kizuri Wala hapigi pamba Wala halali pazuri.

Sijui wana matatizo gani aisee.
Sijui ni inherite spirit ?
Au ni laana Fulani ya ukoo ??.
Yaani mtu unakuwa mbahili hadi wa nafsi yako mwenyewe ?!
Sasa unatafuta vya nini ?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…