Hii falsafa ilifanya vizuri sana Ulaya waliwaua wachawi waganga washirikina wote Ili wasiharibu jamii zao.Biblia yenywe kuna mahali imesema usimuache mchawi aishi..huyo jamaa either anajifariji au hataki watu wajue kinachoendelea upande wa pili wa shilingi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ni jini, chale ni password chapa ya kuzimuSawa mkuu sijataka kubisha naomba kueleweshwa kitu...
Je unadhani mchawi anatumia dawa tu kufanikisha ulozi? Ziko effective kiasi icho ? Na kwanini mtu akipewa uchawi lazima apewe toolkit mfano mkoba au kibuyu na kwanini wao wanaeza kupandisha majini ? Na unadhani mapepo sio majini na wadhani dawa tu inaweza kumfanya mchawi akapotea kimazingara
Naomba ithibati yake kwamba shetani alikuwa jini..! Then what happened!?[emoji15][emoji848] akabadilika na kuwa nani...?Dah haya buana inachokiongelea mythical story za wagiriki.. Nitakuambia kitu cha mwisho the devil himself was the djinn nakupa homework kasome kwanza pitia na fanya uchunguz wa Kiroho .....
Nimeishia hapo sitaki kufungua milango bila kibali itanigharimu.
Siku yakikukuta,uje utupe mrejesho mkuuUchawi haupo. Achana na mawazo ya kipumbavu.
Mmmh unataka ithibati OK nitakupa ithbati iliyofunzwa kwa njia ya mungu.Naomba ithibati yake kwamba shetani alikuwa jini..! Then what happened!?[emoji15][emoji848] akabadilika na kuwa nani...?
Please no jini ni jini habadiliki na shetani ni shetani habadiliki.. Kama vile wewe usivyoweza kubadilika na kuwa mwingine au paka umgeuze kuwa mbwa
Nakupa homework kupitia verse ya mmoja wa vitabu vya mungu. Quran 7:12 inayosema hivi....Mmmh unataka ithibati OK nitakupa ithbati iliyofunzwa kwa njia ya mungu.
first of all naamini dini zote lengo ni kumuabudu muumba wa ardhi na mbingu sio madhebu wa kiislamu au madhehebu ya kikiristo.
Nakupa homework kupitia verse ya mmoja wa vitabu vya mungu. Quran 7:12 inayosema hivi....
"[Allah] said, "What prevented you from prostrating when I commanded you?" [Satan] said, "I am better than him. You created me from fire and created him from clay.""
Unadhani kama shetan ni fallen angles kwanini alijinasibu kuwa ameumbwa kwa moto yaani smokeless fire ? Kwanini asingesema nimeumbwa kwa nuru kama malaika wotee....?
Over
NB: nitarudi baada ya kuupata mkate wangu wa leo.
Huwezi kufunga case kati we sio ulieanzishaNakupa homework kupitia verse ya mmoja wa vitabu vya mungu. Quran 7:12 inayosema hivi....
Case closed!
Hii kauli ya "uchawi haupo" ni kauli tata sana.Uchawi haupo. Achana na mawazo ya kipumbavu.
Imani za kichawi zilikuwepo na zipo hadi leo duniani kote na utumwa hawakufanyiwa afrika tu.Kama mwafrika alishindwa kuutumia uchawi asichukuliwe utumwani au asitawaliwe na wakoloni kwake uchawi una faida gani
Kwahiyo uchawi ni issue ya majini tu mwanzo mwisho?Bila jini au majini hakuna uchawi hata mazingaombwe lazima jini awe mshirika hakuna cha mizimu wala mapepo yale ni majini na yana makabila yapo yanaopaa ndio hutumika kama ungo na yapo ya ardhini hutumia kutega uchawi au kuutuma. Wanga wachawi na waganga njia yao ni moja hakuna mganga anaetibu bila ya majini ndio yanayomuambia unasumbuliwa na nini na njia gani atumie.
Pia majini ya makabila na kuna makabila yenye nguvu na yasiyo na nguvu.
NB: Nitakueleza ukweli leo kijana mwenzangu pale unapopewa dawa na mganga aidha ya kuoga au kufukiza hizo ni gesha tu majini anakuwa stand by Kufanya kile anachoambiwa na kiti wake unapotumia dawa hizo anaanza kukufanikishia jambo lako.
Over
Hivi Ibilisi alipoasi akabadilika asili yake ya umalaika aliyoumbwa nayo na kuwa jini au bado hadi leo asili yake ni malaika?Ibilisi alikuwa malaika mkuu kabla ya kuasi na kutupwa jehanum
Majini ni viumbe roho vilivyoumbwa kwa moto na havijawahi kuwa sehemu ya ufalme wa Mungu kama alivyowahi kuwa shetani ibilisi
Kwenye uchawi kuna biashara zao kama mafuta sijui ya watoto wachanga na baadhi ya vitu na waganga huwa ni wateja wao,labda wale wanga wanao rogaroga watu hovyo ndio hawapati faida.Mchawi ndie kiumbe mwenye kiwango cha chini sana cha kufikiri duniani thus ufanya mambo ya kipumbavu yasiyo na faida hata kwake
Mkuu uchawi hautumiki kwenye kuwanga tu usiku, huo uchawi wa kiafrika.True majini ndio waliwafunza uchawi binadamu,lengo kuu ni kuupunguza uwezo wa kufikiri wa mwanadamu aache kutumia akili zake alizopewa na Mwenyezi Mungu na awe tegemezi wa fikra
πππWe ndo mchawi mwenyewe unajaribu kupoteza maboya
Hivi unadhani kwenye kutumia hayo majini wao huwa wanapenda kutumika?Majini ndiyo huwa wana watumia wachawi yaani Wachawi wanawategemea majini katika uchawi wao.
Sina hakikaHivi Ibilisi alipoasi akabadilika asili yake ya umalaika aliyoumbwa nayo na kuwa jini au bado hadi leo asili yake ni malaika?
Sawa asante nakaa pembeni kwakuwa huwezi kunelielimisha kupitia Quran.. Niliposema case closed niliamaanisha kati yangu mimi na wewe.. Kama sentence rahisi kama hii hukuielewa ni wazi kuna vingi huvielewiHuwezi kufunga case kati we sio ulieanzisha
Case is still open ili wanaJF wapate kuelimika kama umeshindwa kaa pembeni
Unataka nitumie vilinge au biblia chagua ww nitakuelimisha ila ukiwa mgumu kuelewa hicho ni kichwa chako sitakuwa na mamlaka juu yake. Kama unataka hata zaburi na torati Niko vizuri....Sawa asante nakaa pembeni kwakuwa huwezi kunelielimisha kupitia Quran.. Niliposema case closed niliamaanisha kati yangu mimi na wewe.. Kama sentence rahisi kama hii hukuielewa ni wazi kuna vingi huvielewi