Kwanini wachawi hutupia watu majini?

Sawasawa
 
Waliwauwa washitikina wote?...,ilikuwa Karne ya ngapi?
 
Waliwauwa washitikina wote?...,ilikuwa Karne ya ngapi?
Yes waliwaua hao wapumbavu ndio wakapa akili mpya ya maendeleo hadi kuja kutawala afrika ilikuwa kabla ya ukoloni.
Wachawi na waganga ndio chanzo cha umasikini wa mwafrika. Bila kuwafanyia action hawa wapumbavu ni ngumu Sana kuendelea maana wameharibu Sana mindset za waafrika wengi wanaamini huwezi fanikiwa bila dawa toka kwa hao wapumbavu.
 
Kwenye uchawi kuna biashara zao kama mafuta sijui ya watoto wachanga na baadhi ya vitu na waganga huwa ni wateja wao,labda wale wanga wanao rogaroga watu hovyo ndio hawapati faida.
Hivyo ni vitendea Kazi vyao ila still maisha yao ni duni sana
 
Hivyo ni vitendea Kazi vyao ila still maisha yao ni duni sana
Tatizo mkuu unawazungumzia wale wanga wanaoenda kuroga nyumba za watu na kuroga watu hovyo ila uchawi ni kitu kipana wengine ni matajiri kabisa ila wanatumia uchawi huo huo kwenye biashara zao. Kuna watu ni washirikina kwenye biashara kama wahindi?
 
Nilijua una details walivyouawa...
 
Kulikuwa na malaika MKUU wa malaika wote lakini hakuna kitu kinaitwa mwanadamu mkuu
Huyo Malaika Mkuu aliitwa nani ?

Adamu je tunamuweka katika kundi gani ? Huu ni mfano tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…