Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawasawaInaovyoonekena wewe unamwabudu Ibilisi na Shetani. Kwenye dini zote zinaamini uchawi na hata wapagani na dini za asili zinaamini uchawi upo. Ina maana mitume na manabii wote walikuwa hawana akili kusema kwamba uchawi upo? Na baadhi ya mitume na manabii walipambana na huo uchawi moja kwa moja kama tunavyosoma kwenye maandiko matakatifu ya dini. Wewe ni nani hadi upinge wote hao mitume na manabii na hata wapagani? Au wewe ndiye ibilisi na shetani mwenyewe unataka kuendeleza uongo maana shetani ndiye mwasisi na baba wa uongo!
Waliwauwa washitikina wote?...,ilikuwa Karne ya ngapi?Hii falsafa ilifanya vizuri sana Ulaya waliwaua wachawi waganga washirikina wote Ili wasiharibu jamii zao.
Ushirikina upunguza uwezo wa kufikiri.
Jamii zinazoamini ushirikina thinking capacity zao zipo chini sana zaidi ya kuku huku umasikini dhoofu hali ufukara ukitawala.
Yes waliwaua hao wapumbavu ndio wakapa akili mpya ya maendeleo hadi kuja kutawala afrika ilikuwa kabla ya ukoloni.Waliwauwa washitikina wote?...,ilikuwa Karne ya ngapi?
Hivyo ni vitendea Kazi vyao ila still maisha yao ni duni sanaKwenye uchawi kuna biashara zao kama mafuta sijui ya watoto wachanga na baadhi ya vitu na waganga huwa ni wateja wao,labda wale wanga wanao rogaroga watu hovyo ndio hawapati faida.
Tatizo mkuu unawazungumzia wale wanga wanaoenda kuroga nyumba za watu na kuroga watu hovyo ila uchawi ni kitu kipana wengine ni matajiri kabisa ila wanatumia uchawi huo huo kwenye biashara zao. Kuna watu ni washirikina kwenye biashara kama wahindi?Hivyo ni vitendea Kazi vyao ila still maisha yao ni duni sana
Nilijua una details walivyouawa...Yes waliwaua hao wapumbavu ndio wakapa akili mpya ya maendeleo hadi kuja kutawala afrika ilikuwa kabla ya ukoloni.
Wachawi na waganga ndio chanzo cha umasikini wa mwafrika. Bila kuwafanyia action hawa wapumbavu ni ngumu Sana kuendelea maana wameharibu Sana mindset za waafrika wengi wanaamini huwezi fanikiwa bila dawa toka kwa hao wapumbavu.
Sasa mbona unasema Ibilisi alikuwa malaika kwa maana sasa si malaika tena?Sina hakika
Malaika mkuu ni cheo sio kitu cha kuzaliwa nachoSasa mbona unasema Ibilisi alikuwa malaika kwa maana sasa si malaika tena?
Sijaelewa swali lako.Hivi unadhani kwenye kutumia hayo majini wao huwa wanapenda kutumika?
Malaika siyo cheo bali ni jinsia na silika yaani umbile. Kama ilivyo jinsi ya binadamu.Malaika mkuu ni cheo sio kitu cha kuzaliwa nacho
Nimesema malaika mkuu soma gena kwa makiniMalaika siyo cheo bali ni jinsia na silika yaani umbile. Kama ilivyo jinsi ya binadamu.
Mfano wako ni kama useme "Mwanadamu mkuu". Vipi hii kauli inaleta maana ? Msaada tafadhali ?Nimesema malaika mkuu soma gena kwa makini
Hakuna kitu kama hichoMfano wako ni kama useme "Mwanadamu mkuu". Vipi hii kauli inaleta maana ? Msaada tafadhali ?
Sasa imekuwaje ukasema "Malaika Mkuu" ?Hakuna kitu kama hicho
Kulikuwa na malaika MKUU wa malaika wote lakini hakuna kitu kinaitwa mwanadamu mkuuSasa imekuwaje ukasema "Malaika Mkuu" ?
Kingine kwa vipi Ibilisi akawa Malaika ? Achilia mbali ukuu.
Huyo Malaika Mkuu aliitwa nani ?Kulikuwa na malaika MKUU wa malaika wote lakini hakuna kitu kinaitwa mwanadamu mkuu
Sijawahi kusikia wakiingia benki kuchukua fedhakuingia kwenye nyumba bila ufunguo