Kwanini wafanyabiashara wakubwa wakutane na Rais Ikulu badala ya Waziri husika Wizarani?

Watu wengi bado tunaishi maisha ya KIJIMA sana aise; hivi bado kuna mtu hajui faida za wawekezaji katika nchi? Magufuli mwenyewe ali straggle sana kuwapata wawekezaji, sema matendo yake yalikua yanawafukuza; tunajua Dangote alitaka kufunga kiwanda chake, aliitwa na Magufuli Ikulu wakayamaliza but bado ni kama uzalishaji wake ulikua unasua sua, kaongea na watu wa Barrick baada ya yeye mwenyewe kuwachanganya, kina Rostam Aziz hadi waliondoka nao nchini but he called them back, kafanya sana vikao na wafanyabiasha wa ndani na wa nje but huenda wawekezaji/wafanya biashara walikua wanaona maneno yake na matendo yake vilikua vinapingana na waka decide otherwise.
Moja kati ya faida za wawekezaji ni AJIRA kwa Watanzania, tumelalamika ugumu wa ajira kipindi cha mwendazake, unajua sababu kubwa ni nini? Serikali haina uwezo wa kuajiri wataalamu wote, wengine wataajiriwa sekta binafsi, ndio hao wawekezaji au wafanyabiashara.
Faida ya pili ndio hiyo mambo ya kodi na dividends kwenda serikalini, ukiwaondoa wafanyabiashara hayo mengine yatatokea and hence hata hizo kodi tunazo sema zimefikia Tilion zita drop na ujambazi/wizi unaweza kuongeza. Tuache mawazo ya KIJIMA, tufikirie kisasa, duniani kote serikali zinatengeneza mazingira mazuri kwa wafanyabiashara/wawekezaji, halafu sisi na mawazo yetu ya KIJIMA tunawaona kama wanyonyaji, stupid
 
Bado hujaandika kitu. Unaandika mambo ya jumla sana! Hao akina nani? JF ya enzi zetu ilikuwa ya kutoa ushahidi siyo mambo ya kijiweni na majukwaa ya Lissu. Be specific! na huenda utasema Lissu wakati unaelewa Absalom Kibanda alitolewa jicho enzi ya Kikwete, Ulimboka aling'olewa meno enzi ya Kikwete. Tena PM akasema wapigwe tu!

Una matatizo mengi kichwani usiyoweza kuyaeleza kwa ufasaha.
 
Dah! Kwa uandikaji wa aina hii!!! Una elimu gani Boss? Nawe unategemea kufaidika na Dangote?
 
Sisi tunanyamaza maana tukisema tunaitwa sukuma gangkwa sasa praise team wamebaki wa Msoga na ndugu zao Chadema,ndo kutwa na mapambio Daah nchi hii mmmhh
Kwani wewe sio sukuma gang mkuu?
 
Mkuu umeongea. Nililiona hili jambo nalitamani kuliwasilisha in the coming articlea. Me sioni dhana ya Rais kuwa main speaker.. Ila in Africa, Everything is possible
 
Dah! Kwa uandikaji wa aina hii!!! Una elimu gani Boss? Nawe unategemea kufaidika na Dangote?
Nimeishia darasa la hapa na pale but that doesnt mean kwamba sijui faida za uwekezaji. Hivi hujui baada ya Dangote kuanza uzalishaji bei ya cement nchini ilishuka? Dangote aliwapa sana changamoto wazalishaji wengine; ngoja nikupe hi nyingine; Cement ya Tanzania kwa sehemu kubwa iliokua inapatikana sokoni ilikua ile ya class 32.5, Dangote akawa anamwaga mzigo wa class 42.5 kwa bei chee, ndio sasa na kina Simba, Twiga nao ikabidi waji align na soko, zikaanza hizo sijui twiga plus, mara twiga extra nk. Bado utananmbia, Dangote hana faida?
 
Sawa!
Somo la kwanza: Kwani hujui kwamba msimu wa mvua bei ya viazi hupungua? Au, nayo kuna Dangote wa viazi?
 
Hivi wale waliojipanga barabarani na kumlilia Mwenda Zake hata kufikia kuvunja geti ya JKN airoort walikua wanaonyesha picha gani?walikua wanamlikia dikteta,katili,mlafi,mwizi ???NO NO NO tena HAPANA
Walilia wakijua sasa lile JABALI lao limeanguka.
Walilia wakijua sasa ile NGUZO KUU iliyoshikilia nyumba yao Tanzania sasa imeanguka.
Na kilio chao hakitakua bure waka machozi yao hayatakua machozivya samaki.Nitakukumbuka Magufuli Daima maana ulisimama na wanyonge nabkutaka kutuinua.
Ni ajabu sana wapo wanaokubeza na kukushutumu.Waliokua wanatunyonya,waliokua wanapiga dili,wazee wa mikataba feki,walitaka kuona wanyonge wa nchi hii wanatupwa ktk dampo tusahaulike.
Historia itawahukumu.
 
Mfanyabiashara wa chini hukutana na kuzungumza na waliochini, mfanyabiashara mkubwa huzungumza na wakubwa. Hata kanisani muumini maskini akifa huzikwa na mzee wa kanisa au katekista, lakini akifa tajiri huzikwa na askofu au maskofu.
PESA NDO MUNGU WA DUNIA HII, UMASKINI NDIYO DHAMBI KUBWA.
 
Ask the Chinese.
 
Nyie maccm Kama Hamuna akili tuwasaidie vipi?
 
Watanzania wanaamini wafanya biashara ndo watawapeleka uchumi wa kati wa juu ila hawajui mfanyabiashara siku zote anaangalia faida tu si kitu kingine
wafanya biashara ndio injini ya uchumi wao hutoa mazao mashambani na kupeleka sokoni ndani na nje wao ndio wanajenga viwanda vy kusindika mazao ya wakulima,wao ndio huzitoa dola nje na kuzirudisha.Nadhani wewe ni mmoja ya watu wanao wachukia wafanya biashara bila kujua kua mfanyabiashara awe mdogo au mkubwa kitu cha kwanza anaangalia faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…