Kwani mizigo inaingia na meli au Manuari!? Kama ni meli si bandari ndio mzigo inapokelewa!? Sasa huu uzushi unautoa wapi!?bossi ukiambiwa ukatoe ushahidi utaweza?!, we unafanya biashara gani mkuu?!, kama unasubiri notification ya bank mwisho wa wezi huwezi elewa kero na karaha. wanazopitia. itoshe kusema kuwa mazingira ya kodi yanatakiwa kuwa rafiki kwa mlipaji.
Kwani wao ulipaji wa kodi ni tofauti na wafanyabiashara wengine?inshu sio utaratibu hawataki kutumia EFD,kwani wengi hawapendi kuandika thamani halisi ya mauzo,na ndio maana kariakoo kuna watumishi wa TRA wao ni kufuatilia wateja,wanaokuwa wamenunua bidhaa,na unakuta mtu ana tv ya thamani ya laki 6,ila risiti aliyonayo imeandikwa laki 2!Nadhani malalamiko yao umeyasikiliza vizuri..
Issue siyo kulipa Kodi ni taratibu wanazotimia kukusanya/kupata hizo kodi...
Kulipa si wanalipa miaka yote...Tena kwa Wafanyabiashara wa Kariakoo siyo Issue..
Dah! Unaonesha ulivyojaa chuki dhidi ya kabila ulilolionesha hapo juu.
Kwanin hawako faithful unadhan the only reason ni roho ya kutaka kingi ?Mfanyabiashara anayo haki ya kuclaim Input tax aliyolipia wakati akifanya importation kama amefanya taxable supplies na amesajiliwa VAT. Sheria inatoa haki kwa pande zote mbili.. ila Wafanyabiashara wengi ni wabinafsi wanataka mapato yote yabaki kwao.. Sheria haimkandamizi mfanyabiashara.. inampa uhuru wa kuandaa vitabu vyake mwenyewe na kujikadiria kodi mwenyewe... kufile for VAT mwenyewe ila They are not faithfully.
Jamaa una akili wewe. Ningekua kwenye mamlaka za uteuzi ungeongoza kitengo. Kuna vijamaa vimekariri madesa vinaona wafanyabiashara hawana akiliiiiUpo sawa mkuu mfumo bora unahitajika, mfanyabiashara haiangalii biashara kwa jicho la kiasibu, anaiangalia kwa jicho la kibiashara na hana matumizi na hesabu sababu yeye anatazama faida kwa jicho tofauti na accounting profit ila analazimika kuwa na hesabu sababu ya TRA na Banks.
Wakati mhasibu akiwaza cost of sales, Asset & Liabilities, cashflow and ratios mfanyabiashara yeye anachukua alichoingiza toa alichogharamia kupima iwapo biashara inalipa au la.
Wakati mhasibu akiwaza ROI, SWOT, Projected cashflow and feasibility reports, Mfanyabiashara anafikiria kupeleka pesa bank, kuongeza mzunguko, awe na collateral kisha akopesheke aongeze mzigo maana ameshaona unahitajika na kina nani.
Watu wawili, field moja ila fikra tofauti kabisa. Mara nyingi mfanyabiashara anamuona mhasibu kama mtu anayekula pesa zake bure. Kama sio bank na TRA kuhitaji mahesabu huenda asingemtaka kabisa.
Ukija kwenye Kodi. Kodi ni sheria sio uhasibu mfanyabiashara anahitaji kujua tu sheria inamtaka afanyaje ili aendelee kufanya biashara na hapa ndipo umuhimu wa mfumo bora unapozidi kuonekana. Mfumo ambao utakata kodi halali na TRA na mfanya biashara wasiviziane.
😀 😀 shukran sana mkuu kwa hilo..Jamaa una akili wewe. Ningekua kwenye mamlaka za uteuzi ungeongoza kitengo. Kuna vijamaa vimekariri madesa vinaona wafanyabiashara hawana akiliiii
Hii ni sababu ya msingiWafanyabiashara wengi wanaunga unga mitaji hawawezi kuleta kontena zima.
Wanajiunga kikundi wanamtuma mmoja mzigo unaingia kwa jina moja.
Wakishapeana kila mtu wa kwake wanajikuta hawana risiti mzigo unageuka wa magendo wazalendo uchwara wanawaita wakwepa kodi.
Kwani kuingiza mizigo ya magendo inalazimishwa? Watu wanataka utajiri wa harakaharaka. Siamimi kama wafanyabiashara pamoja na malalamiko yao yooote wao hawana sehemu ya kulaumiwa.Nataman nikutukane pumbavu zako. Wew unadhan watu hawapendi kulipa kodi?
Unadhan watu wanapenda kuingiza mizigo kimagendo?
Mdomo unaokula papuchi una adabu ganiUmeshapata chai? Maana unaugeuza mdomo wako kuwa choo, sijui kama utautumia kunywea chai
Kaka hizi biashara kama kamishna wa TRA na wasaidizi wake wakiazimia kila bidhaa ilipe kodi watu watalipa bila shida. Mim naingiza bidhaa × ila kodi nayolipa hailingani na mtu mwingine alieingiza alike products ,unafikir margin yetu itakua sawa. Unafikir next time nkitak kuingiza mzigo nini ntafanya?Kwani kuingiza mizigo ya magendo inalazimishwa? Watu wanataka utajiri wa harakaharaka. Siamimi kama wafanyabiashara pamoja na malalamiko yao yooote wao hawana sehemu ya kulaumiwa.
Sawa Nchemba. Tatizo hata kodi zikilipwa Mnaishia kuzipiga.. Makodi makubwa af yanaishia kusikojulikana.Wafanyabiashara wengi wanaingiza mizigo kwa njia ya magendo, wanazitunza stoo. Wanaweza kupitishia bandarini, njia zisizo rasmi za mipakani, au kwa majahazi. Hawalipi Kodi.
Sasa serikali imeamua kusajili stoo wanazotunzia ili waweze kujua zilipo, wakague na waonyeshwe risiti za jinsi mzigo ulivyoingia, kama wewe umeingiza mzigo kihalali, kwa nini uone kero Afisa wa serikali kuja kuikagua?
Serikali isirudi nyuma katika hilo. Tunaona wamachinga Wana mzigo wanauza, kumbe wanatoa katika stoo ya tajiri, na tajiri anakuwa kauingiza kimagendo.
Kila mtanzania alipe Kodi, tunataka maendeleo, yatakuja vipi bila Kodi?
Nawashauri TRA hiyo kariakoo waiweke katika maeneo madogo madogo ya kiutawala. Iwe special zone. Wanauza bila risiti, waachwe tu? Hapana.
Huyo kiongozi wao serikali im-pin down kwa uhujumu uchumi, na biashara zake
Hivi haya yote yanafanyika ulinzi na usalama unakuwa umelala.Na kwanini ukuwai kituo cha usalama cha karibu waende kukamata hayo magendo.Wanapitisha mizigo kwa majahazi kutoka Zanzibar wanashushia Bagamoyo na Tanga, Niliwahi kushuhudia Lori limebeba vifaa vya kielekroniki, usiku, wanapita chocho kwa chocho. Wamevitoa Kenya.
Border ya Ngara, mugoma huko, fuso zinashusha bia za Burundi usiku mnene, bodaboda zinapokea na kuingiza mitaani kwenye stoo za wafanya biashara, bado vitenge Kila siku vinakamatwa.
Samia mnamlilia maendeleo, mara miradi inachelewa, kumbe mtu ana stoo ya mabilioni halafu mzigo wote wa magendo.