Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Wapi?Mkuu ulisema mgao hauwezi kuisha sababu wanauza majenereta. Je una maoni Gani kwa Sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi?Mkuu ulisema mgao hauwezi kuisha sababu wanauza majenereta. Je una maoni Gani kwa Sasa
Kwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
Kwambaali naskia mtu anasema walimfanyaMlimfanya nini Rais wetu?
Siumeachia uhuru wa Vyombo vya Habari kinacho kuwasha Nini hasa? Tubishane kwa hoja.Kwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
😅😅we jamaa acha uchocheziSukuma gang hawana tofauti na Mungiki, Janjaweed, Al Shabab, Mujaharoun group, n.k. Watafutwe wakamatwe wote.
PinnedWapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa
Hawa watu hatari sanaPinned
Kama tungefuata principles za Machivelli, hawa wafuasi koko wa Magufuli wote wangeondoka duniani.Kwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
Kuna watu mamluki ndani ya CCM hawataki kukubali Samia ndio Rais sasa na mgombea wetu 2025Haipo CCM ya Samia Wala CCM ya MAGUFULI.
CCM ni Moja.
Pia Tanzania ni Moja imara, Nchi nzuri.
Aaaamen.
Samia hatujampitisha kuwa mgombea hiyo 2025Kuna watu mamluki ndani ya CCM hawataki kukubali Samia ndio Rais sasa na mgombea wetu 2025
Katiba na utamaduni wa CCM huo, mgombea urais anapewa vipindi viwiliSamia hatujampitisha kuwa mgombea hiyo 2025
Waliaminishwa Jiwe akifa hakuna wa kumaliza miradi, Sasa Samia anamaliza na anaongeza mingineKwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
Huna akili, just simply like that.Kwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
WAFUASI WA MAGUFULI NI VICHAA kwa SASAKwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
Unasemaje wewe mjane?najua ukabila na udini utakuwa unakusumbua
Mmoja wa maadui hao huyu hapa!Wewe huiungi mkono ccm bali unamuunga mkono Samia muislamu mwenzio
Yaani kila nikiona hii picha nashindwa kujizuia kucheka!