Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tume inapata maelekezo toka kwa PolepoleMnauliza Mafanikio wakati mna tumeccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume inapata maelekezo toka kwa PolepoleMnauliza Mafanikio wakati mna tumeccm
Wewe ni wa kupuuzwa tuNimefuatilia orodha ya wagombea waliofungiwa kufanya mikutano ya kampeni na kamati za maadili kwa kukiuka maadili ya uchaguzi na nimekuta wagombea wa Chadema ndio wengi.
Lakini pia wagombea wa CCM wanaongoza kwa kuzingatia sheria na maadili ya uchaguzi.
Nabaki najiuliza Chadema wanafeli wapi na ni nini siri ya mafanikio ya CCM?
Je, ni malezi ndani ya vyama?
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Umenikumbusha takukuru waliambiwa Chama dola wanapeana rushwa wakati wa kugombea nafasi za ubunge jibu lao ni "mambo ya chama tawala watamalizana wenyewe"Wanaongoza kukiuka sheria na kanuni za uchaguzi kwasababu wamewekewa kanuni,lakini upande wapili wapo salama kwasababu hamna sheria wala kanuni inayowaongoza wakitaka kutokana wanawake sawa,wakitaka kuongea kisukuma sawa na hata rushwa wanatoa maana sheria hakuna
Iyo sabato unayotutakia ikipokelewa labda uyo yesu anaishi LUMUMBA floor ya 1Nimefuatilia orodha ya wagombea waliofungiwa kufanya mikutano ya kampeni na kamati za maadili kwa kukiuka maadili ya uchaguzi na nimekuta wagombea wa Chadema ndio wengi.
Lakini pia wagombea wa CCM wanaongoza kwa kuzingatia sheria na maadili ya uchaguzi.
Nabaki najiuliza Chadema wanafeli wapi na ni nini siri ya mafanikio ya CCM?
Je, ni malezi ndani ya vyama?
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!