Uchaguzi 2020 Kwanini wagombea wa CHADEMA ndio wanaongoza kwa kukiuka maadili ya uchaguzi? Ni malezi mabovu ndani ya chama au?

Wewe ni wa kupuuzwa tu
 
Umenikumbusha takukuru waliambiwa Chama dola wanapeana rushwa wakati wa kugombea nafasi za ubunge jibu lao ni "mambo ya chama tawala watamalizana wenyewe"
Nchi bhana ina shangaza sana kwenye baadhi ya taasisi ambazo zinatakiwa kutenda haki.
 
Iyo sabato unayotutakia ikipokelewa labda uyo yesu anaishi LUMUMBA floor ya 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…