Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

umefafanua kitaalam
 
mmhhh. Mkuu I didn't know this before
 
Dam ya muisrael ndio Siri ya german
 
Kuna msemo nimewahi kuusikia unasema "Germany is the World workshop". Inawezekana ni kutokana na ujuzi wao ktk kuunda Magari na Mitambo iliyoenda shule.
 
The masters of quantum physics duniani ni wajerumani, baba yao anaitwa Schrödinger .Hii inakupa jibu kwa nin iwe na teknolojia ya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…