Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Hata wenye certificate bado ni competent kuliko engineers wa bongo,why?elimu sio hojaUjerumani wasomi ni wengi Phd's are everywhere hata fundi gari mwenye garage ana Phd ya magari na yuko competent mbaya,baada ya kushindwa WWII waliwekeza sana kwenye elimu
Nami nilitaka niseme hivyo hivyo.Naona wameiweka akiba wataijaza baadae.Sio Israel tena mlamu!
Wamewekeza ktk kujenga akili sio kazi za mikono.Babu zetu walijua sana kazi za mikono,walisuka kila aina ya ususi lakini walisahau kuwekeza ktk ubongo.duuuh ina maana watu wengi walikuwa wanakimbilia kwenye kazi za mikono (ufundi)?
Kwa nini hao maengineers wa bongo wasiumize kichwa kuwe na standby ili chanzo kimoja kikiungua kingine kiwake?Bado tunarudi kulekule kwamba engineers wa bongo wana uwezo mdogo.Mkuu, siyo kila tatizo/katiko la umeme linalotokea linasababishwa na matatizo ya ma-Engineers. Mfano labda Tanesco kwenye Grid yao wameunganisha vyanzo 6 (my guess) vya kuzalisha umeme. Ambavyo vinakuwa vina-inject 1000MW kwa mfano kwenye Grid yao, bahati mbaya chanzo kimojawapo mfano kule Pangani Falls, Nyani anafanya short kwenye moja kati ya zile machinΔ na kuiondoa kwenye Grid; hapo tayari lazima baadhi ya watu wakose umeme. Kumbuka hapo siyo tatizo la Engineers, ni Nyani hapo ndio wameleta balaa. Halafu kulinganisha Ulaya na Tanzania sidhani kama ni sahihi kwani wale wana vyanzo vingi na vya uhakika pamoja na Nuclear Power Plants. Power Plants zao zingine zinakuwa kwenye spinning mode, yaani ziko standby kama Grid yao inapoteza moja kati ya Generation plant moja basi iliyo standby ina kick in wewe mteja wa kawaida bila hata kujua ni nini kilichotokea.
Pia shangaa na kujiuliza kwanini German is good at Engineering but there are not any German universities in the top 20 World rankings [emoji848]
Aisee these guys Germans are INTELLIGENT and RIGID, that's why so many widely known & esteemed scientists and/or inventors were German historically.
Tunaongelea akina: Einstein, Heisenberg, von Braun, Max Planck, SchrΓΆdinger, Ludwig Prandtl, na wengine kibao tu.
Kwanza unatakiwa kujua German engineering mentality is to really want to know and figure out how it works, on a very deep level. Tofauti na nchi zingine ambazo wao they just want to know how it works on a top level only, but they stress you all the time how (whatever it is) can make money quickly.
And if you canβt answer that question, they just move on (kibongo bongo/kiafrica na kwengineko)
These guys pia love science and technology. It is in their blood. Many engineers in Germany do private engineering projects in their free time. It is their passion. And if you like something you prosper. Sio kama nchi zetu hizi you just study engineering only to make a living. That has deeper roots in the cultural system and values in the society as a whole.
That's all
Naomba WAJUMBE wenzangu waje kuongezea nyama hapa [emoji23][emoji23][emoji23] ila WAJUMBE bwana sio watu aisee kasoro mimi tu[emoji23][emoji23][emoji23]
I am also wondering why Tanzania engineers are of the poorest quality. Look at tanesco engineers. Look at Tanroad engineers. Kukiwa na barabara ya kutengenezwa maengineer wa Tanroad watafuatilizia mule mule ilipo barabara iliyobuniwa na wananchi. Mfano. Mbezi Goba Mbezi beach. Mbezi Maramba majumba sita. Buza kwa Mpalange to Buza kwa lugola.
Nami nilitaka niseme hivyo hivyo.Naona wameiweka akiba wataijaza baadae.
Ukisoma physics ndio utajua wajerumani ni akina nani.
Hawa wazungu ndio wanaamini kuwa ndio binadamu bora tangu kuumbwa kwa dunia,ukiwachunguza unaweza kuwaamini.Walipigwa vita ww2 na kushindwa,wakajipanga wakarudi na kuwa taifa bora kiuchumi na kiteknolojia ulaya.
Luna mahala nilisoma ktk physics kuwa wao somo la quantum physics walilipa kipaumbele wakawekeza facility na sasa matunda yanaonekana.
Gauss Markov ni nyoko aisee.....pia kuna Gottfried Liebniz.Infantry Soldier
Wajerumani siri yao ipo kwenye msingi imara wa elimu.
Unajua watu wengi huku africa elimu ambayo tunayo ni elementary education. Ndio maana manguli tunaowafahamu wanaishia kwa Newton, sasa kitu ambacho wengi hamfahamu kuna kitu kinaitwa higher level of education hapa ndipo utawakuta mastaaa wa kijerumani wakifanya yao. Utakutana na majabali yabhesabu haijapata kutojea kuna manguli kama Gaus,rieman, cantor, ukiachana na hesabu germany wa na philosophy ngumu kupitiliza unakuta jabali, Kant, Schopenhauer, nomer sana
Einstein mwenyewe theory zake kazivisha hesabu za kijerumani schrodinger, scwab, hatari sana
Sio unaona magari unashangaaa kuna mambo mengine deep kabisa hawa jamaa wamefikia, higher education weka mbali na watoto
CaterpillarWakuu zaidi ya magari yao Mercedes Benz,BMW Audi VW ni products zipi za Kijerumani zinatamba duniani? Wengine dunia imetuacha nyuma
Caterpillar
Vyanzo vyetu vya uzalishaji wa umeme ni vichache, hata vile tulivyonavyo ni vidogo, havikidhi mahitaji.Kwa nini hao maengineers wa bongo wasiumize kichwa kuwe na standby ili chanzo kimoja kikiungua kingine kiwake?Bado tunarudi kulekule kwamba engineers wa bongo wana uwezo mdogo.
Vyanzo vyetu vya uzalishaji wa umeme ni vichache, hata vile tulivyonavyo ni vidogo, havikidhi mahitaji.
Mkuu, huwezi tu ukaamua kujenga HydroPower Station Buguruni kwa Kimbengere; lazima upate eneo linalokidhi kuwa na kituo kama hicho; hayo maeneo ndio mtihani sasa kuyapata. Ndio maana Stiegler's Gorge zinajengwa huko kwenye maeneo sahihi, yanayokidhi mahitaji yote ya kuwa na kituo kama hicho.Kwa nini viwe vichache?tuanzie hapo kwanza
Kwa hiyo unataka kusema Tanzania ina uhaba wa maeneo?Kama mapori yamejaa tele,mito imejaa tele,mabwawa yako tele.Mkuu, huwezi tu ukaamua kujenga HydroPower Station Buguruni kwa Kimbengere; lazima upate eneo linalokidhi kuwa na kituo kama hicho; hayo maeneo ndio mtihani sasa kuyapata. Ndio maana Stiegler's Gorge zinajengwa huko kwenye maeneo sahihi, yanayokidhi mahitaji yote ya kuwa na kituo kama hicho.