[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili jibu na lenyewe linahitaji uzi wake tuchngieRais John Pombe Magufuli!
Watu wa kanda ya ziwa ni Masalia ya Wayahudi wa kale waliojenga Ma-pyramids, hivo walitoroka mateso ya Ma-pharaoh! wa Misri, wakakimbia kufuatilizia chanzo cha mto Nile.
Kati hapo wengine wakachepuka kuelekea Ethiopia!, Lugha za kanda ya ziwa nyingi zina endana na Lugha ya Ahmaric za Ethiopia!
Labda kama unazungumzia Nilotes ambao kwa kanda ya ziwa nadhani hawafiki hata 5% the rest waliobaki ni wabantu ambao lugha zao haziifanani na huko Ethiopia wala egypt
Kila kabila wakiulizwa asili yao ni wapi wanasema Ethiopia/Israel sasa sijui Tanganyika ya miaka ya enzi hizo ilikuaga haina watu ni full masokwe tu.Huyu jamaa ni muongo mno. Ati wasukuma na wahaya asili yao ethiopia n misri. Arudi tena shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Akhsante mkuu![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] waliosoma history (peopling of Tz) sidhani yupo hata mmoja anaekubaliana na wewe. Haya, Sukuma na makabila mengi yapatikanayo interlacustrine region ni Bantu speaking. Ethiopia n Egypt hakuna ushahidi wa uwepo wa Bantu people. AKSANTE KWA CHAI CHIEF
Sent using Jamii Forums mobile app
Khoisan walienea kote humu mpaka South Africa, ndiyo wenyeji!Kila kabila wakiulizwa asili yao ni wapi wanasema Ethiopia/Israel sasa sijui Tanganyika ya miaka ya enzi hizo ilikuaga haina watu ni full masokwe tu.
dodge
Oromo walitokea Ethiopia!, kiswahili ni Afro-Asiatic language, kwa nini? Naomba jibu....Ethiopia n Egypt hakuna ushahidi wa uwepo wa Bantu people. AKSANTE KWA CHAI CHIEF
Oromo walitokea Ethiopia!, kiswahili ni Afro-Asiatic language, kwa nini? Naomba jibu....
Haiwezekani kutaja Afro-asiatic entities, ukaziweka kando Ethiopia Egypt na Somalia, Eritrea, Djbout nk.
Hakika zaidi ya nusu ya Ethiopians they are originated from sub- Sahara African, Haprogroup E1b1(E1b1a) ziko kanda ya ziwa nyingi, usibishe bila uthibitisho, Simply do your Homework! kijana!
Hata ukiangalia ushahidi wa mazingira na jeografia rahisi sana ya eneo hili . maingiliano ya mito ya bue Nile na white Nile na Ziwa Victoria. ilikuwa ni rahisi kufuata maji kwa ajili ya shughuli za uvuvi, hata kusaidia wakimbizi wa vita!
Kwa mitindo hii ya wavuvi ilisaidia wao kugundua nchi mpya kirahisi sana! ambazo zilikuwa na watu wachache au hakuna kabisa! hivo walijichanganya na wenyeji!
Wazzigua wa hapo Mbwewe, ukivuka mto Wame tu lugha yao vinarandana na kisomali, na wanaelewana, ...kabila la Wa-ruri kanda ya ziwa kinaendana na Amharas, Tigrinya ya Ethiopia, na kihadjuin cha Sudan Mashariki!
Mila na Desturi zao ni sawa, ufugaji wa mifugo na masharti ya Ukamuaji wa ngo'mbe ni vilevile km mtoto wa baba mmoja...
kuna wilaya ya Bururi nchini Rwanda , accent ni moja na Waruri.walijimega hawa. kunawengine walimezwa na wengi wa huko! chromosomal DNA za Wajita, Achori, nyankole, kipsigis nk zinarandana na wa-cush!
Majina mengi ya kiruri kama maregesi, Nyanjiga,Nyanjara,(kama unakijua ile chakula maarufu cha wa ethiopia Injala vinaendana), Nyamuriro,Wanyonyi,nk yako Kenya kaskazini mpaka central Ethiopia.
Akhsante mkuu!
Elewa kuwa Historia ya Africa imechafuliwa na kugeuzwa geuzwa sana kuliko unavofikiri! ni vema akili ya kusoma changanya na yako then linganisha na source mbali mbali.
Nikuulize makabila km Summerians, Wa-foenike, Aramaic Coptic ambayo yalikuwa kwenye peak kipindi cha Iron era - CE! yalikwenda wapi, Wako wapi leo? na kwa nini? hata hao unao sema ni wanahistoria hawajui. je ni kweli hawajui?
Basi hata fununu tu ya Lugha zilizo tumika unazijua? zimeandikwa? kipindi hiki Kigiriki ilikuwa Lugha rasmi, Duniani pamoja na nilizozitaja, mbona hizo zingine muhimu, zilikufa? kikabaki kigiriki tu mpaka leo?! unajua kwa nini?
Usiamini amini tu kwa sababu mtu kasoma Historia unaweza wewe ukawa unajua zaidi kuliko yeye!, hao Wazungu walio kuandikia Historia wali base upande wao! hata hakuna sehemu moja wapo inayo wataja wazungu ktk Agano la kale, wazungu wako Agano jipya tu!
Darasani Mwalimu wako alikufundisha eti umetokana na Nyani, na Wabantu wote tulitoka kinchi kile cha Cameroon. but, hatumlaumu mwalimu wako sababu hakujua, ila tunakulaumu wewe,
kwa nini hukuchimba zaidi! bado unakumbatia mafunzo hafifu ktk ulimwengu huu wa Electronic Revolution ? hivi unajua kwa nini kiarabu kinafanana na kiswahili tena chenye asili ya full kibantu!
km tumecopy waarabu, Wasotho ni full- wabantu. lkn Waarabu hawakugusa huko!
si unajua ni katika kusfia sehemu anayotoka jiwe ? ogopa sana njaa hasa inapopanda kichwaniKwahiyo ni samaki wa Kanda ya ziwa tu ndo wanaleta akili..?
Kila kabila wakiulizwa asili yao ni wapi wanasema Ethiopia/Israel sasa sijui Tanganyika ya miaka ya enzi hizo ilikuaga haina watu ni full masokwe tu.
dodge
NaamUngesema mikoa ya watu wanaokula ndizi kwa wingi ingekuwa sahihi siyo samaki,rejea mikoa ya pwani na visiwani linganisha na Kilimanjaro,Arusha,Kagera,Mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana uwezo wa kujibuukimaliza utuambie kwanini hiyo kanda ndio inaongoza kwa umaskini kwa mujibu wa NBS
Sent using Jamii Forums mobile app