luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Hawa watu wa kanda ya nyonyo huwa wanachekesha mno hapa wametokwa mate na jinsi kaskazini hasa kilimanjaro walivyo na akili kubwa hasa kivitendoMikoa hiyo ndio iliyopo nyuma zaidi kimaendeleo ikiongozwa na Kagera, Geita na Simiyu. Akili za ushirikina? Jiwe au bashite?
Wangekuwa walevi wangewakimbiza kimaendeleo na kielimu? Ni mkoa upi tz vijijin Kuna maendeleo kuifikia kilimanjaro? Ni mkoa upi tz unaofikia kilimanjaro kielimu?
HahahaNami nauliza.
1. Kwanini wahaya walio wengi wananuka midomo?
2. Kwanini wanawake wa kihaya wanatoaga maji torfauti na makabila mengine? Ni uhayani tu unakokuta magodoro ya gesti yanatolewa nje kuanikwa.
Wewe umelewa rubisi,tuliwadidimiza kivipi? Kwan Kuna rais aliyewah toka mkoa wa kilimanjaro ? Pambanen na umaskini wenu huko katerero msitafute mchawiInferiority complex ndio inakusumbua hapa, watu wanazungumza nini, wewe umekazania ku-derail mada just to get even, kwani hatuwajui hulka zenu za kukwamisha maendeleo ya Mikoa ambayo ilikuwa mbali kielimu, kimaendeleo kabla na baada ya uhuru mpaka mid 1970s - badala ya mikoa iliyokuwa nyuma kimaendeleo na elimu kwenda kujifunza mbinu zinazo tumiwa na Mikoa iliyo fanikiwa nyinyi mkabuni mbinu za kukwamisha Mikoa endelevu mnapo pewa madaraka Serikalini.
Nani ambae hajui kwamba mikakati hii ya siri ya kudidimiza kimakusudi baadhi ya Mikoa hapa Tanzania inatekelezwa mpaka leo, mkavunja vyama vyetu vya Ushirika bila sababu yoyote ya maana, bila aibu wanavunja vyama vya ushirika vilivyo anzishwa kwenye miaka ya 1930s, mkataifisha mali zake pamoja na fedha zilizokuwa benki, fedha hizo hazijarudishwa mpaka leo, fedha hizo ndizo zilikuwa zinatumika kujenga shule, kulipa ada za watoto wa wakulima nchini mpaka Ulaya, kujenga viwanda, Mahoteli, Mashamba ya kisasa nk.
Mnajifanya kusahau ukatiri huo wa kushangaza, badala yake mnaleta ngojera zenu eti "Mikoa ya kanda ya ziwa ndio hiko nyuma sana kimaendeleo,elimu na umaskini!"
Samaki kunaOmega3-6Sababu kubwa inayopelekea ungezeko la akili kwa watu wa kanda ya ziwa ni kutokana na ulaji mwingi wa SAMAKI.
Tuanzie hapa..
KWANINI SAMAKI?
Uchunguzi wa kisayansi uliofanyika unatujuza kuwa, Samaki wana asili ya mafuta (unsaturated fats) kwenye miili yao inayoundwa na kemikali ziitwazo Omega-3.
Kwa kawaida,mwili wa binadamu hauna uwezo wa kutungeneza hizi lakini ni muhimu. Kwahiyo tunahitaji kuzipata kutokea kwenye ulaji wa Samaki.
Sasa unapokula samaki kwa wingi, ni dhahiri kwamba unaongeza kiasi kikubwa cha Omega-3 kwenye mwili.
Tuje sasa kwenye Ubongo wa binadamu.
Ubongo wa binadamu umeundwa na nyaya/mishipa ya fahamu mingi iitawayo Neurone/ Nerve cell. Hizi ndio hutumika katika kusafirisha taarifa zote ndani ya mwili wa binadamu zilizoamuliwa na ubongo.
Katika muundo wa Neurone, kuna mafuta yanayoizunguka na kuilinda hizo mishipa ya fahamu (Myelin Sheeth) lengo ni kusaidia kulinda zisiharibiwe, kuepusha taarifa zisivuje kutoka nje (kupotea kwa taarifa zilizotafsiriwa na ubongo) na hivyo kuongeza speed ya taarifa zilizobebwa na ubongo kwenda sehemu husika.
Kwahiyo tunapoongeza Omega-3 kwenye mwili, inaenda kusaidia kuimarisha ukuaji wa kuta za Myelin Sheeth na hivyo kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zao.
Pia, Omega-3 inachochea ongezeko la mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo jambo linalosaidia ubongo kupata Glucose (sukari) ambayo ni muhimu kama chakula chake na hivyo ubongo huweza kupata afya zaidi.
Kwa hali ya kawaida mtu anapokula vizuri akashiba na akaridhika, tunategemea mtu anawiri, Right?
Sasa ni hivyo hivyo kwa ubongo, inapelekea kuongezeka kwa mwingiliano mzuri wa mishipa ya fahamu (Nerve Cell Networking) ambapo huongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kufikiri na kuvuta picha (Imagination).
Kwa takwimu zilizofanywa na wazungu nchini Tanzania katika miaka 10 iliyopita zinaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wamama wajawazito wanaoishi kwenye ukanda wa Ziwa Victoria ndio wanaongoza kwa ulaji mwingi wa Samaki wa maji baridi hivyo kupelekea watoto wao kufaidika zaidi na virutubisho hivyo na ndio hupelekea kuzaliwa wa watoto wenye upeo mkubwa wa akili.
BADO HUJACHELEWA, ANZA KULA SAMAKI LEO!
Pamoja na hayo yote mhaya Ni mwanafunz wa mchaga ktk nyanja zote sio elimu,sio uchumi,sio maendeleo,sio ujanjaHiv unajua vigezo vya mtu kwenda seminary? Kumbuka kuna mchujo mkubwa kabla ya kwenda seminary.
Ukubali Tu asilimia kubwa ya wahaya Wana akili.
Tazama maTO kila mwaka,mabest students hasa UDSM nk na idadi ya wahaya vyuoni ndo uje uongee hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona mabumbumbu wengi tu na wanashinda na samaki kanda ya ziwaSababu kubwa inayopelekea ungezeko la akili kwa watu wa kanda ya ziwa ni kutokana na ulaji mwingi wa SAMAKI.
Tuanzie hapa..
KWANINI SAMAKI?
Uchunguzi wa kisayansi uliofanyika unatujuza kuwa, Samaki wana asili ya mafuta (unsaturated fats) kwenye miili yao inayoundwa na kemikali ziitwazo Omega-3.
Kwa kawaida,mwili wa binadamu hauna uwezo wa kutungeneza hizi lakini ni muhimu. Kwahiyo tunahitaji kuzipata kutokea kwenye ulaji wa Samaki.
Sasa unapokula samaki kwa wingi, ni dhahiri kwamba unaongeza kiasi kikubwa cha Omega-3 kwenye mwili.
Tuje sasa kwenye Ubongo wa binadamu.
Ubongo wa binadamu umeundwa na nyaya/mishipa ya fahamu mingi iitawayo Neurone/ Nerve cell. Hizi ndio hutumika katika kusafirisha taarifa zote ndani ya mwili wa binadamu zilizoamuliwa na ubongo.
Katika muundo wa Neurone, kuna mafuta yanayoizunguka na kuilinda hizo mishipa ya fahamu (Myelin Sheeth) lengo ni kusaidia kulinda zisiharibiwe, kuepusha taarifa zisivuje kutoka nje (kupotea kwa taarifa zilizotafsiriwa na ubongo) na hivyo kuongeza speed ya taarifa zilizobebwa na ubongo kwenda sehemu husika.
Kwahiyo tunapoongeza Omega-3 kwenye mwili, inaenda kusaidia kuimarisha ukuaji wa kuta za Myelin Sheeth na hivyo kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zao.
Pia, Omega-3 inachochea ongezeko la mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo jambo linalosaidia ubongo kupata Glucose (sukari) ambayo ni muhimu kama chakula chake na hivyo ubongo huweza kupata afya zaidi.
Kwa hali ya kawaida mtu anapokula vizuri akashiba na akaridhika, tunategemea mtu anawiri, Right?
Sasa ni hivyo hivyo kwa ubongo, inapelekea kuongezeka kwa mwingiliano mzuri wa mishipa ya fahamu (Nerve Cell Networking) ambapo huongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kufikiri na kuvuta picha (Imagination).
Kwa takwimu zilizofanywa na wazungu nchini Tanzania katika miaka 10 iliyopita zinaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wamama wajawazito wanaoishi kwenye ukanda wa Ziwa Victoria ndio wanaongoza kwa ulaji mwingi wa Samaki wa maji baridi hivyo kupelekea watoto wao kufaidika zaidi na virutubisho hivyo na ndio hupelekea kuzaliwa wa watoto wenye upeo mkubwa wa akili.
BADO HUJACHELEWA, ANZA KULA SAMAKI LEO!
Waliotoka misri/Israel Ni wachagaLakin ukifuatulia historia ya wahaya na hata ukiwauliza mabibi inasemekana walitoka misri .
Na walifika kagera Kwa kufuata mto Nile kupitia bunyoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hata hufaham maendeleo? Basi Kuna kazi kubwa Sana kukuelimisha hii Ni kutokana na nyie kutopenda shuleMaendeleo kama yapi
Ma T.O WA mwaka huu wa kwanza na wa PILI wote ni wachagaBora ukae kimya maana tukitaja hasa wahaya utakimbia hapa.
Nakupa maTO WA mwaka huu kwenye mitihan tafuta wahaya halafu urudi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mandhari za vijin kilimanjaro hatuna mpinzaniEti ikiongozwa na kagera[emoji1787][emoji1787]
Please niruhusu nilete picha za mandhari za vijiji vya uhayani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangekuwa na akili mkoa wao isingekuwa kwenye orodha ya mikoa maskiniSababu zipi zilizopelekea mpaka ukaona wahaya wanaakili nyingi?
Au tetemeko la ardhi lile?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mila gan za tofauti? Labda Mila ya kurithi wajane maana wahaya hii Mila ipoAsilimia kubwa hawawafahamu wahaya vzr na tamaduni zao.
Ni moja ya makabila yenye Mila taratibu za kitofauti na makabila mengi tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
HaswaaWahaya wana akili mbovu na ovyo kujisifu tu ndo kumewajaa ukifika kwao utachoka
Mkuu hadi leo hujaniletea yale masupermarket yaliyo kijijini kwenu haahahahaKumbe hata hufaham maendeleo? Basi Kuna kazi kubwa Sana kukuelimisha hii Ni kutokana na nyie kutopenda shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilivyofika moshi nilichoka sanaWahaya wana akili mbovu na ovyo kujisifu tu ndo kumewajaa ukifika kwao utachoka
Kweli kwani kila mtu ana haki yake ya kusema na kutoa maoni. Lete mada tuidadavue![emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili jibu na lenyewe linahitaji uzi wake tuchngie
Sent using Jamii Forums mobile app