Akikujibu swali namba 4 ..nijuze1: tupe uthibitisho
2: sio kila ibada ni ya kujionyesha ili tujue we ni wa kuabudu.
3: unajua maana ya mtu kuwa mkristo au kisa tu tajiri ana jina la kizungu eti ndio mkristo
4: Wanaabudu nini haswa?
wereIbada huwezi kujificha aisee. Hata Kiongozi Daniel alikuwa PM wa Serikali ya Dario watu wote walijua ni mcha Mungu na yuko sirias na ibada zake hadi wakamuhujumu.
Hata kama za wale zinamashaka ila ile devotion yao ni tofauti na matajiri wengi wa kikristo.
Waislamu akisha fanya ufisadi serikali na kuwa na utajiri hua wanajiona watukufu watakatifu wachamunguSiku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.
Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.
Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.
Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?
Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc
Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.
Ni hayo tu
Mtumishi
Matunduizi.
Kwa hiyo mkuu na kanisa linaingizwa kwenye hizo schemeIpo siri ya utakatishaji wa pesa siamini eti ni sadaka tu
Mungu ameahidi kuwapa nguvu ya utajiri watu wake. Torati 8:18Kwanza mtu wa dini na utajiri havina mahusiano.
Nyumba za ibada ni matendo yako n asiyo una nini?
Ule uninga wa kuwawekea mahali pa kukaa na viti vyao, na wanasiasa siku hizi wakienda lazima waende mbele wapewe MIC wazungumze. Ni uhuni tu kama uhuni mwingine.
Ndio maana kwa wakristo mifano ya matajiri iko mingi. Mtu aliytoa BUKU kwenye utajiri wake wa buku jero, ametoa sadaka kubwa kuliko tajiri aliyetoa milioni 200 kwenye utajiri wake wa bilioni 900
Mkalapa ni kijiji ambacho babu yangu ametokea....au wewe ni ndugu yanguKwanza hakuna bilionea mkristu hapa bongo
Utajiri ni mtazamo tu.Mungu ameahidi kuwapa nguvu ya utajiri watu wake. Torati 8:18
Ahadi za kuwa mtii wa maagizo yake ni utajiri wa kutupwa. Torati 28.
Mungu ni tajiri, na mkristo ni mtoto wa Mungu kwa hiyo kuwa tajiri wa mali za dunia lilipaswa liwe jambo la kawaida kabisa. Ndio maana Yesu alipozaliwa aliletewa zawadi za madini ya thamani.
Ila Mungu anawapokea wote masikini na matajiri wa mali. Maana hampangii mtoto wake maisha ya kuchagua kikubwa atoboe tu mwisho wa yote.
Nimetoa kwenye Biblia.Weka mifano ya hao uliowataja
Kwa kuzingatia huohuo mtazamo. Katika kila level kuna anayezidi wahusika. Hata kama ni kijijini. Kwa jamii yetu katika level ya mtaa hadi taifa kuna mtu ataheshimiwa kama tajiri kwa matokeo anayoonyesha. Hii ndio scope ya ninachosema. Kama ni dunia utawalinganisha wakina Gates na Azim Premji au angalau Dangote.Utajiri ni mtazamo tu.
Bakheresa na Bill Gate, nani tajiri na nani masikini.
Chief Godlove na Lugumi nani tajiri na nani masikini?
P
Masai mwenye ng'ombe 600 na Hadzabe nani masikini na nani tajiri?
Wapo matajiri wengi tu wanaomtolea Mungu, wengi wamejenga hata makanisa, sema hawataki kutajwaNimetoa kwenye Biblia.
Jamaa walikuwa wafia Mungu na walikuwa matajiri Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Nikodemu, Yusuph wa Armathaya etc.
Kwa sasa tajiri anayeongoza kwa networth ndani ya kanisa kwa asilimia kubwa huwezi kumkuta ni mfia dini mwenye consistency ya kiibada kuzidi masikini kuliko upande wa pili. Labda kwa sababu wao ni nguzo (Swala 5) na sisi ibada inaweza kufanywa siri au hadharani.
Utajiri ni kulingana na mazingira. Maana hakuna mali nyingi mpaka uwe na kilinganishio chenye uwiiano unaoendana. Mfano tajiri mkubwa kuliko waumini wote au nchi nzima au mkoa mzima.Ili uitwe tajiri, unatakiwa uwe na Bei Gani bank?
Na sijui kwa nini hayalipi kodi na nchi bado ni changa inahitaji kujengwa🤔Kwa hiyo mkuu na kanisa linaingizwa kwenye hizo scheme
Kwa nini kwenye mavuguvugu ya kufunga, kukesha kukomaa sana na mambo ya dini hawamo kama wale wa upande mwingine. Prayer warriers au wafia dini wengi masikiniWapo matajiri wengi tu wanaomtolea Mungu, wengi wamejenga hata makanisa, sema hawataki kutajwa
Basi kwenye nyumba za ibada jakunaga tajiri, watu wote wanafanana.Kwa kuzingatia huohuo mtazamo. Katika kila level kuna anayezidi wahusika. Hata kama ni kijijini. Kwa jamii yetu katika level ya mtaa hadi taifa kuna mtu ataheshimiwa kama tajiri kwa matokeo anayoonyesha. Hii ndio scope ya ninachosema. Kama ni dunia utawalinganisha wakina Gates na Azim Premji au angalau Dangote.
Chief ni masikini maana hata hatujui analipa kodi sh Ngapi, sio sawa kumlinganisha na Lugumi😁😁
Yeye sio mfano mzuri maana alikuwa muajiriwa. Alafu alikuwa anaingia pande zote.Magufuri alikuwa anashinda kwenye nyumba za Ibada..
Mimi naweza sema Makanisa ni mengi, kuna Kijiji nilitembelea nikakuta kina wakristo 256 na waislamu 301 Ila Msikiti ulikuwa mmoja ambapo waislamu wote wanasali, lakini makanisa yalikuwa zaidi ya Tisa na wengine wana mpango wa kufunguwa mengineUkihesabu maknisa na misikiti ipo Ina idadi kubwa ?
kawaulizeSiku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.
Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.
Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.
Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?
Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc
Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.
Ni hayo tu
Mtumishi
Matunduizi.