Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aha hii umenifurahisha sana kwamba unajua atokeza mtu wa Amerika tena na rangi tofauti na yako kumbe ni nani vile [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi unakuta Mtu anaitwa Jesse Johnson au Abdulrazak Adnan...akiitwa unadhani anatokea Mzungu au Mwarabu flan kumbe looh anakuja Mkimbu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wee kweli ku..ma.kwahio unazani wana if wote niwasomi?wee nimpumbavu sana hatakama umesoma lakini elimu haija kusaidia.Kwa lugha yako unaonekana mtoto au kiwango chako cha elimu kimeishia degree.Watu wazima na wasomi hawawezi kutumia lugha hiyo mdogo wangu
Mkimbu jamaa yangu. Acha tu...Aha hii umenifurahisha sana kwamba unajua atokeza mtu wa Amerika tena na rangi tofauti na yako kumbe ni nani vile [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sijasema wote, nimesema wengi. Pia jina Bashiru na Zuberi ni ya kiarabubashiri kakurwa? zitto zuberi kabwe?
Wa kutoka Chunya sehemu gani?Mkimbu jamaa yangu. Acha tu...
Mtoto nikimwita tajiri atakuwa tajiri?Unamuita mtoto shida taabu mateso unategemea nini?
Msekwa alikuwa anapozi kwenye kuita majina, utasikia. "Mheshimiwa Teddy Kaselabantu,"Nilikuwa napenda sana jina la yule mbunge wa Iringa mjini miaka ile ya 95-2000 nipo primary alikiwa akiitwa Mfwalamagoha Ulanzi wa Ng'ombe Kibasa. Spika Msekwa alikuwa akimuita ilikuwa burudani
johnthebaptist unamkumbuka huyo mwalimu aka mh mbunge?
Hahahaa...MakongolosiWa kutoka Chunya sehemu gani?
Ndio maana unakua na lugha za matusi mdogo wangu.Ungepata elimu zaidi ungeelimika kimaadili.Matumizi ya lugha chafu ni tatizo la afya ya akili.Waone wataalamu watukasaidia mdogo wangu na inshaalah Allah atakufanyia wepesiwee kweli ku..ma.kwahio unazani wana if wote niwasomi?wee nimpumbavu sana hatakama umesoma lakini elimu haija kusaidia.
unahamisha magoli wee kubwa jinga😃Ndio maana unakua na lugha za matusi mdogo wangu.Ungepata elimu zaidi ungeelimika kimaadili.Matumizi ya lugha chafu ni tatizo la afya ya akili.Waone wataalamu watukasaidia mdogo wangu na inshaalah Allah atakufanyia wepesi
Aijue haki yake na haki ya wengine. Mungu amuongoze aache matusiNdio maana unakua na lugha za matusi mdogo wangu.Ungepata elimu zaidi ungeelimika kimaadili.Matumizi ya lugha chafu ni tatizo la afya ya akili.Waone wataalamu watukasaidia mdogo wangu na inshaalah Allah atakufanyia wepesi
Kwa mada ya Uislamu zidi ya wachaga, aliekuambia hakuna mchaga Mislamu nani, wanaongelea jina la asili siyo ukoo.Hakuna mchaga anayekosa jina la ukoo
Ndugu zetu waislam njooni hapa mjibu?
Hivi mbona kama unachanganya mambo, mwanzo uliandika vizuri majina ya asili, hapa umeandika majina ya kitamaduni.Ni kweli kabisa sijasema hawapo, wala sijasema hamna Waislamu wenye majina ya kitamaduni.
Kati ya watu niliokua na wapa heshima hapa, kutoka na heshima kwenye huu wa jamii kutokana umaarufu wako pamoja na wewe.Hadi raha