Kwanini Waislam wengi hawana majina ya kiasili?

Kwanini Waislam wengi hawana majina ya kiasili?

mababu zenu wajinga waliokuwa wanateswa? halafu uje urithi jina lake?unaakili kweli wewe au umejaza matope?

Basi usiseme urisi jina tuu inatakiwa urisi na matendo yao sawa wee chizi? utembee kwa mguu Safari ndefu usipige mswaki kwa dawa,ukekete watoto wakike,usisome,yaani kiujumla uishi Kama wao walivyo ishi utaweza wee kenge?

halafu unakuja kusema tunaiga wazungu na waarabu kwanini tusiige mababu zetu🤣wee na huyu muanzisha uzi ni maku.....m...aaaaaa
Maababu zetu walizingua sana kupokea hizi mila za washezi waarabu na wazungu,sasahivi jamii zetu zimechanganyikiwa hadi majina ya wazee wetu tume yaacha.
u
 
Bujibuji mi muislam ila nna Jina la ukoo waso na majina ya ukoo ni wazanzibar ila Kwa bara almost tuna majina ya ukoo na asili
 
Ulichokiandika ni kweli, wengi hatutumii majina ya ukoo,

Hata mimi kwenye vyeti vyangu yapo majina mawili Tu [emoji26]

Ni kosa ambalo sitakuja kulifanya kwa watoto wangu, kwetu tuna jina la ukoo matata Sana, yaani mtu akilisikia kwa mara ya kwanza Tu halisahau tenaa au hata akilisahau kila muda atakuwa analijaribu kulitaja

Nakuwaga maarufu ghafla popote pale ninapotumia jina langu la ukoo
Hii ilimkuta mdogo wangu anajuta hakutumia Jina la ukoo shuleni baasii anatuonea dongee,usichana ulimponza
 
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?

Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki

Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake

Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Wao huamini ni waarabu, wajukuu wa mtume,kumuita Kalimanzira anaoma noma
 
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?

Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki

Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake

Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni

Nina watoto watano, wote wana majina ya asili. Hakuna jina la Kigeni kwangu.

Nimekataa huo utumwa! Nashangaa mtu anampa mwanaye jina eti John Paul Joseph. Ujinga na ufala mtupu. Huwezi kukuta mzungu au mwarabu anampa mtoto jina la kiafrika hata iweje, ila sisi sasa. Dah!
 
Nina watoto watano, wote wana majina ya asili. Hakuna jina la Kigeni kwangu.

Nimekataa huo utumwa! Nashangaa mtu anampa mwanaye jina eti John Paul Joseph. Ujinga na ufala mtupu. Huwezi kukuta mzungu au mwarabu anampa mtoto jina la kiafrika hata iweje, ila sisi sasa. Dah!
Ndekule Mwana wa Mlumbe
 
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?

Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki

Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake

Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni

sababu kabla ya uhuru waislamu tanzania walikuwa wengi saana 95% ni waislamu sasa kizazi cha leo kimepita wababu sita wote majina ya kiislamu utaipata wapi jina ambalo sio la kiislamu
 
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?

Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki

Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake

Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Hao ni waislam wa Zanzibar, Mafia,kilwa ambako uislam upo kwa zaidi ya miaka 900
 
sababu kabla ya uhuru waislamu tanzania walikuwa wengi saana 95% ni waislamu sasa kizazi cha leo kimepita wababu sita wote majina ya kiislamu utaipata wapi jina ambalo sio la kiislamu
A brief and brilliant clarification to this idiotic thread

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
mababu zenu wajinga waliokuwa wanateswa? halafu uje urithi jina lake?unaakili kweli wewe au umejaza matope?

Basi usiseme urisi jina tuu inatakiwa urisi na matendo yao sawa wee chizi? utembee kwa mguu Safari ndefu usipige mswaki kwa dawa,ukekete watoto wakike,usisome,yaani kiujumla uishi Kama wao walivyo ishi utaweza wee kenge?

halafu unakuja kusema tunaiga wazungu na waarabu kwanini tusiige mababu zetu🤣wee na huyu muanzisha uzi ni maku.....m...aaaaaa

u
Mdogo wangu Kwa lugha ya matusi unayotumia kujibu hoja za wengine,nina wasiwasi na afya yako ya akili,na kiwango chako cha elimu.
 
Mimi nnavofafamu mtu hutumia majina matatu, la kwake, la baba yake na kisha la babu yake. Sasa kama katika wote hao hakuna mwenye jina hilo unaloita la ukoo, unataka alitolee wapi?
 
wee nae ndio walewale.umejuaje kwamba Mimi nimdogo kwako?au unaleta hisia zako humu?binti Linda ndoa yako utaachika..
Kwa lugha yako unaonekana mtoto au kiwango chako cha elimu kimeishia degree.Watu wazima na wasomi hawawezi kutumia lugha hiyo mdogo wangu
 
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?

Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki

Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake

Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
bashiri kakurwa? zitto zuberi kabwe?
 
Back
Top Bottom