dafram power
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 434
- 660
mababu zenu wajinga waliokuwa wanateswa? halafu uje urithi jina lake?unaakili kweli wewe au umejaza matope?
Basi usiseme urisi jina tuu inatakiwa urisi na matendo yao sawa wee chizi? utembee kwa mguu Safari ndefu usipige mswaki kwa dawa,ukekete watoto wakike,usisome,yaani kiujumla uishi Kama wao walivyo ishi utaweza wee kenge?
halafu unakuja kusema tunaiga wazungu na waarabu kwanini tusiige mababu zetu🤣wee na huyu muanzisha uzi ni maku.....m...aaaaaa
Basi usiseme urisi jina tuu inatakiwa urisi na matendo yao sawa wee chizi? utembee kwa mguu Safari ndefu usipige mswaki kwa dawa,ukekete watoto wakike,usisome,yaani kiujumla uishi Kama wao walivyo ishi utaweza wee kenge?
halafu unakuja kusema tunaiga wazungu na waarabu kwanini tusiige mababu zetu🤣wee na huyu muanzisha uzi ni maku.....m...aaaaaa
uMaababu zetu walizingua sana kupokea hizi mila za washezi waarabu na wazungu,sasahivi jamii zetu zimechanganyikiwa hadi majina ya wazee wetu tume yaacha.