Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Wapo waislam wengi tu uchagani ila nimezungumzia mikoa ya Tanga na Kilimanjaro sijazungumzia waislam 😃Kwaio huko uchagani hakuna waislamu[emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo waislam wengi tu uchagani ila nimezungumzia mikoa ya Tanga na Kilimanjaro sijazungumzia waislam 😃Kwaio huko uchagani hakuna waislamu[emoji849]
Wapo kuna akina Kasimu Mboro, na Mohamed Masawe,Kwaio huko uchagani hakuna waislamu[emoji849]
Wala sio jina bovu kama hilo,Pombe
Hayo majina yenu Yana controversial eti mboro kwani hamna majina mengine?Wapo kuna akina Kasimu Mboro, na Mohamed Masawe,
Njoo Machame na Kibosho utawakuta wengi tu,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
wewe ni mkirito wa mkoa gani?Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
ww huna jina la ukooo usiwasemee watu pumbafuHakuna mchaga anayekosa jina la ukoo
Ndugu zetu waislam njooni hapa mjibu?
Waarabu na wazungu walitufanyia kitu mbaya sana, watu wamekua wajinga kupita kiasi kwa kuiga kila kilichokuja na wale BabelUtakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Shida nini mzee mbona povuww huna jina la ukooo usiwasemee watu pumbafu
Unamhukumu kwa kosa ambalo hakulifanya!mwenye mijicho kama gong'ole.
Aah, nmeandika maneno mengi nmeona nifute tu yote, naona ata hakuna haja ya kuongea chochote, nyi endeleeni na chuki zenu tu.Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Wanapenda uarabuUtakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Mnaraumu wazungu bure kwa kila kitu..Waarabu na wazungu walitufanyia kitu mbaya sana, watu wamekua wajinga kupita kiasi kwa kuiga kila kilichokuja na wale Babel