Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Nilikuwa napenda sana jina la yule mbunge wa Iringa mjini miaka ile ya 95-2000 nipo primary alikiwa akiitwa Mfwalamagoha Ulanzi wa Ng'ombe Kibasa. Spika Msekwa alikuwa akimuita ilikuwa burudani
johnthebaptist unamkumbuka huyo mwalimu aka mh mbunge?
johnthebaptist unamkumbuka huyo mwalimu aka mh mbunge?