Kwanini Waislam wengi hawana majina ya kiasili?

Kwanini Waislam wengi hawana majina ya kiasili?

pale muhimbili kuna chuma, daktari bingwa anaitwa Dr. Peter Richard "Kisenge". famasiala nini wewe.
 
1. Brainwashed
2. Colonisation
3. Ignorance
4. Stupidity


  • John Joseph Adrian
  • Said Khatib Ally


 
Rukaiya mohamed ,



Alli mohamedi ,



khasim mohamedi


BOR WAKRISTU WANA YAENZI MAJINA YA KIAFRIKA



JOHN POMBE MAGUFULI

NANDI MFINANGA

BENJAMIN KIBERITI

BENJAMIN MALIMAO



ROBERT RUGALABAMU
 
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?

Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki

Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake

Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Ni kwa sababu walifundishwa kujikana, kujichukia na kuwachukia wasio waislam. Wana majina ya kiarabu kama wasudan kiasi cha kuwafanya waarabu wawashangae kama wao hawana majina. Kwao, wanadhani majina ya kiarabu ndiyo uislam ingawa na wakristo kadhalika wengi wana majina ya kizungu tena mengine matusi kama livingstone, peter na gibbon na mengine mengi.
 
Utumwa na ukoloni kuingia ndiyo chanzo Cha kuiga dini na majina ya kigeni. Wakati huo ukiwa na jina la kizungu au kiarabu ulikuwa unaonekana kama wao mbele ya jamii ya watu weusi. Je kama mungu alikuumba na kukuweka katika ardhi Yako ya asili yenye dini ya asili,majina ya asili halafu ukaacha kufuata vile vya asili na kupokea vya warabu na wazuñgu huko ni kumtukana mungu Kwa kuona alikupa vitu vya asili vya hovyo. Ukiwa na Jina la asili na ukakutana au ukaenda uarabuni au uzunguni, wao hufurahi kuona wamekutana na local people or indigenous people. jiulize
 
Ni kwa sababu walifundishwa kujikana, kujichukia na kuwachukia wasio waislam. Wana majina ya kiarabu kama wasudan kiasi cha kuwafanya waarabu wawashangae kama wao hawana majina. Kwao, wanadhani majina ya kiarabu ndiyo uislam ingawa na wakristo kadhalika wengi wana majina ya kizungu tena mengine matusi kama livingstone, peter na gibbon na mengine mengi.
Kuna majina hata ya Kiswahili mazuri sana. Amani, Furaha, Baraka, Rafiki nk
 
Kati ya watu niliokua na wapa heshima hapa, kutoka na heshima kwenye huu wa jamii kutokana umaarufu wako pamoja na wewe.

Ila leo, namechoka nawe, kumbe ni mmoja ya wana jamii, wanaumwa na udini.
Kuuliza wala sio ujinga, nimeona Waislam wengi wa West Africa wana majina yao ya asili mfano, Aliko Dangote, Ngolo Kante na wengine wengi. Ila huku kwetu mtu hana jina hata moja ya asili, kwanini nisiulize?

Paka aliuliwa na udadisi wake. Naomba kuanzia leo unidharau kabisa kwa kosa la udadisi wangu, ambao wewe una uhisi ni udini.
 
Hadi jakaya mrisho kikwete yote ni ya kiarabu kumbe nilikuwa sjui
 
kama
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?

Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki

Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake

Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Kama sikosei ilitokea wakati wa vita vya kugombea urithi wa Mtume kati ya Mjomba na Mjukuu sijui Kitukuu, wale walioshindwa vita wengi walikimbilia pwani ya Afrika hususan Afrika mashariki na visiwa vya bahari ya Hindi. Hao wakaacha kuutmia majina ya koo zao ili wasijulikane wako upande gani, kwa hiyo ndio kina Aly Juma Aly , Musa Salimu Musa nk. wale walioshinda vita wame-maintain majina yao ndiyo kina Habib Alharamein, Mihamed Komenei, Khalid Alghalib nk. Nawasilisha na nakubali kufahamishwa zaidi kwa wanaojua.
 
Back
Top Bottom