Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
- #61
Mkuu moyo uko wapi mpaka iwe tofauti..? ukiwa ndani ya moyo fukara na nje ya mwili wewe ni fukara pia maana moyo upo ndani ya mwili na ndivyo ilivyo imani.. huwezi ukawa fukara moyoni alafu ukafanya matendo ya kimwili katika utajiri.Ufukara wa moyo ni katika imani, na ni tofauti na ufukara wa mwili.
Mfano. Moyo ukihuzunika hata nje ya mwili inajifunua kwamba una hudhuni na wakati mwingine kuugua na kulia kwa uchungu.. na hivyo hivyo ukiwa fukara moyoni hata kimwili utakua fukara na ndiyo itakua umejifunga kiimani