Kwanini wakinadada wanawapenda sana play boys kuliko wastaarabu

Nakubali[emoji106]
 
Wanawake wasiojielewa. Wanaojielewa wanatakaga wanaume wawe waume zao. Yaani dume lenye heshima na busara zake. Yaani wale ambao utawakuta sehemu za starehe mara chache sana na ukimkuta basi atakuwa na whisky yake na marafiki wawili watatu wanaojielewa na hutawaona hapo muda mrefu.
 
Ukiwa mkubwa utaelewa wanawake wanapenda hela. Hizo za Playboy Ni Mambo ya utoto, na uwanafunzi.

Hicho kitu kilinikuta nikiwa o level advance level. Na chuo nilikuwa nawala ata marafiki na Mimi huwa sidanganyi ukiniuliza nasema kweli nilitembea nae. Chuo nilimaliza Kama nusu. Saivi wakiona umechukua gari mpya ndo utapewa salamu.

Nilikuwa na kula pisi kali kwa kiburi ila mwanamke nilikuwa namtaka wakumuoa Ni simple asiye na makuu na mpenda Sala na awe black tusije zaa albino. Oooh na ujanja wako wote umeoa huyuu Hana ata tako sura ndo hiyoo duh. Unamjibu tu samahani me nilikutamani kwa sababu ya sex na sifa kwamba wanawake wazuri nimewalala.
 
Ustaarabu ni hulka ya kike.
Itakuwa hujui maana ya ustaarabu. Kwa maelezo sahali ustaarabu ni tabia njema, yaani kufanya jambo kwa uzuri. Sasa hapo jihukumu mwenyewe, tena sisi ambao ndiyo tunawasimamia hawa wanawake kwa ujumla ndiyo tunatakiwa haswa tupambike na vazi bora la ustaarabu (Tabia nzuri/njema).
 
Ni sawa sawa leo hii mimi niwapende au nimpende mwanamke kiruka njia.

Hivi hao wanawake wa hivyo huwa mnakutana nao wapi aisee ? Hawa Wanawake wa huku kwetu ni hatari.
 
Ni Jana tu nimefumwa hapa. Anauliza Angel ndo nani?ikawa vuruguuuu,akanuna.Me nikampanua mapaja nikaweka dushe,et haoneshi ushirikiano,weee nikakolezaaa,mwenyewe akaanza kuikatikia huku analalama "na Angel unamfanyaga hivi" me roho inaumaaaa!

Hajajua tu kuwa bad boy mimi ninao 6,wa 7 naona mwenyewe anajileta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…