joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mnyama mkali mwenyewe,admin wa magroup zaidi ya 50 utazani unalipwa.Wewe jamaa na mapenzi wapi na wapi, kacheze masebene ya Wcb
RecommendedZawadi yangu kwa wale wote wasio jua kwanini Bad Boys outscore Nice guys.
The Rationale Male.
kwa herini.
Walaa mimi najua nnachotaka na nilishakubaligi matokeo...hawa wapaka spray bila kuoga sio level zangu
Unaonekana good boy na wanakupigia sanaDaah kweli dada zangu hamjui mnachokitaka,ila mkishazalishwa na kuachwa ndio akili zina wakaa sawa na kugundua mlikuwa mnapoteza mda.
Aiseeeπ€¦π½ββοΈthe name ur using belongs to my ex girl friend please use it wisely
Kupigiwa pie/constant,uwe playboy au mtulivu we cha msingi concentrate na shughuli zako.Unaonekana good boy na wanakupigia sana
kumbe mnapenda kupigwaHuwa tunaogopa huyu mtu mkimya kweli ama ndiyo chini chini mambo yake(dillema).
Ila sijui tu kwa mimi mtu mstaarabu sana aarh anaboa mwisho mnaishiwa stories na anapenda mambo yaende formal formal tu[emoji14] Bad boys bana kwanza ule ukauzu wao habembelezi sana coz ana wengi na ukizingua vibao kidogo huyo ndiyo safi sasa naamini hicho kiwivu ndiyo anakupenda, afu kuna ile kwanini ana wadada wengi ana kitu gani unique ngoja nami nitest[emoji848]
Playboy ndo jina langu naskia umeniitaWastaarabu wengine wanakuwaga wakimya(wapole mpaka wanaboa. Mwanaume hata kama ni mpole mstaarabu ila kwenye hiyo sector inatakiwa uchangamke.
ππ"Siwezi kuwa na mwanaume asiye na hela"
Halafu matokeo yake ananyengwa na bodaboda bishoo
Kenge kama hiyo eti ndo uioe ..ππ
Playboy ni neno jarida lililoanzishwa na jamaa anaitwa Hugh Hufner jamaa alikua na mapesa akaw anakaa amezungukwa na mademu wengi.. Hapo ndio lugha ya kingereza ikajiongezea msamiati wake kutokana na jarida la playboy/Lifestyle ya mmiliki wa jarida hilo. Wakimaanisha kwamba playboy ni mtu mwenye wapenzi wengi tena hadumu nao kwa muda mrefu. Nyie waswahili mkawaita Kiwembe au FatakiNaomba kujua maana ya hilo neno "play boy"
Sawa Asante nimekupata.Playboy ni neno jarida lililoanzishwa na jamaa anaitwa Hugh Hufner jamaa alikua na mapesa akaw anakaa amezungukwa na mademu wengi.. Hapo ndio lugha ya kingereza ikajiongezea msamiati wake kutokana na jarida la playboy/Lifestyle ya mmiliki wa jarida hilo. Wakimaanisha kwamba playboy ni mtu mwenye wapenzi wengi tena hadumu nao kwa muda mrefu. Nyie waswahili mkawaita Kiwembe au Fataki
View attachment 1658222
[emoji16][emoji16][emoji16]uone nnComment nione