Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,916
- 2,756
Point of correction:Life is today enjoy as long as it lasts congolese are leaving the true purpose of life on earth
Leaving [×]
Living [✓]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point of correction:Life is today enjoy as long as it lasts congolese are leaving the true purpose of life on earth
Vipi hawakubagui?Nina duka Lubumbashi na nina nyumba mbili. Ngoja niishie hapo
Cjawah kubaguliwa Congo thou cku hiz ckai sana hukoVipi hawakubagui?
Taken thank youPoint of correction:
Leaving [×]
Living [✓]
Mkuu fungukaNina duka Lubumbashi na nina nyumba mbili. Ngoja niishie hapo
Best commentUjinga na inferiority complex ndo tatizo kubwa la wabongo.
Wabongo wanapenda mtu mjinga na mnyonge kuliko wao. Hawapendi mtu anayewapa changamoto. Wacongo wananuka shida na wanapenda bata ndo maana wabongo wanawapenda. Ukiwa unajielewa na unatumia bongo yako automatically wabongo hawakupendi.
Ukiwa mtanzania una akili timamu, unajielewa na una question vitu unaambiwa wewe sio mtanzania. Utanzania umekua synonymous with ujinga na unyonge.
Agree. Wakongo hata kwenye mishe za wizi hawapo sana. Mtanzania ni mshenzi sijapata kuona. Miaka ya nyuma nilimrushia mtu sh milioni 6 kwa awamu. Baada ya muda akaja kunikana sijampa. Tukaenda kunakohusika kuomba rekodi, zikaoneka. Akaniomba msamaha eti alipitiwa. Mtu akupe milioni 5 usahau?Uaminifu ni kitu kikubwa sana
Unaweza kuacha kitu kwa mkongo huko kwao hata baada ya miaka 5 ukakikuta
Mbongo unampa kitu anakuambia sukukumbuki wewe nani
Wabongo miaka ileeeee enzi za mwalimu tulikuwa hivyo hata kulikuwa na makabila ambayo wao hata ukilala na hela atakuchunga usiku kucha
Siku hizi mnauwa kwa simu
mtu ananuka shida ila anakula bata na hana baya na mtu.Ujinga na inferiority complex ndo tatizo kubwa la wabongo.
Wabongo wanapenda mtu mjinga na mnyonge kuliko wao. Hawapendi mtu anayewapa changamoto. Wacongo wananuka shida na wanapenda bata ndo maana wabongo wanawapenda. Ukiwa unajielewa na unatumia bongo yako automatically wabongo hawakupendi.
Ukiwa mtanzania una akili timamu, unajielewa na una question vitu unaambiwa wewe sio mtanzania. Utanzania umekua synonymous with ujinga na unyonge.
Wabongo ni waizi sana mkuuAgree. Wakongo hata kwenye mishe za wizi hawapo sana. Mtanzania ni mshenzi sijapata kuona. Miaka ya nyuma nilimrushia mtu sh milioni 6 kwa awamu. Baada ya muda akaja kunikana sijampa. Tukaenda kunakohusika kuomba rekodi, zikaoneka. Akaniomba msamaha eti alipitiwa. Mtu akupe milioni 5 usahau?
Uko lubumbashi sehemu gani mkuuCjawah kubaguliwa Congo thou cku hiz ckai sana huko
Safi sana..wasalimie kamalondo na Golf.Nina duka Lubumbashi na nina nyumba mbili. Ngoja niishie hapo
Sawa sawaTunawapenda kwa kuwa wanajuwa mengi kuhusu ulimwengu wa roho.
Hizo ni code mkuu. Ndio maana nikasema ngoja niishie hapoUko lubumbashi sehemu gani mkuu
Nimekuelewa ..one day tutakutana huko karibu GolfHizo ni code mkuu. Ndio maana nikasema ngoja niishie hapo