Kwanini Wakongo wengi wanapendwa Tanzania na kuaminiwa zaidi ya majirani wote

Kwanini Wakongo wengi wanapendwa Tanzania na kuaminiwa zaidi ya majirani wote

Watusi na wahutu walipendwa Sana hapo awali na ndio maana hapa Bongo wengi waliingia Kati kazi nyeti nyingi, na kusomeshwa. Tatizo watusi wengi wali Rudi kwao baada ya PK kuchukua nchi na hii ikatokea Kwa UG pia. Kwa Bahutu wengi wao ni ujambazi ktk mapori ya Kigoma, Shinyanga na Kagera.
Bacongo wenyewe hawa shida na MTU wala nchi ta mutu. Wao Muziki, Mpira,kushona nguo, mambo ya kujiweka Safi kimwili na kimavazi , na starehe zingine.
Watutsi TZ ndio kikwazo kwao japokua wamejichomeka sehemu nyingi hapa TZ,ila tulichowapatia 95% mpaka leo wanahesabika wakimbizi huko benaco na kigoma iwapo wangeachiwa free toka walipoanza kuja miaka ya 90 wangeshafanya kama wanachokifanya east congo,babu zao na baba zao waliingia kama wakimbizi miaka hiyo sasa hivi wa wanacomplain ni wacongo sababu walizaliwa east congo kibaya zaidi wanataka hilo lijitenge na congo wawe kivyao
 
Wa Congo hawana makuu,wao no burudani na burudani ni wao.

Muziki,soka na bata.

Wale wengine wanatamani hata kukalia kiti Cha Baba,ukiwakaribisha sebuleni wataingia Hadi chumbani.hawafanyi hivyo kwetu TU,wanafanya hivyo Kookote wanapokaribishwa.

Kibaya zaidi wanathaminiana wenyewe kwa wenyewe TU.
... halafu Bakongomani wananikosha zaidi pale hawadanganyi kwao sijui kuna Barabara za dhahabu na asali na maziwa ... mkongo anakulambia waziwazi " ebana shida ya Kongo ni mbooga, sisi Bakongomani hata kenge tunakulaga!"
😅😅😅
 
Naomba kuwasilisha juu ya namna wacongo wanavyo kula na kunywa Tanzania bila kuhofiwa wala kutiliwa mashaka yoyote.

Yapo yanayosemwa kama wacongo ni ndugu zetu wa damu maana Tangu awali wameishi kwetu na kufanya shughuli zao kwa raha mstarehe.

Naomba kuelimishwa kuhusu majirani wengine wakija kwetu tunawaangali kijicho cha mbuzi, majirani wa kule kwa Paul Kagame hatuwataki kabisa. Wacongo wananini jamani kwa watanzania
ila wakifanikiwa huwa wanaidharau Tanzania, mfano, christian bela na wengine. nilimsikia yule dogo akihojiwa kuwa hapendi kuishi tz wakati muziki wake umepaa akiwa hapa.
 
Naomba kuwasilisha juu ya namna wacongo wanavyo kula na kunywa Tanzania bila kuhofiwa wala kutiliwa mashaka yoyote.

Yapo yanayosemwa kama wacongo ni ndugu zetu wa damu maana Tangu awali wameishi kwetu na kufanya shughuli zao kwa raha mstarehe.

Naomba kuelimishwa kuhusu majirani wengine wakija kwetu tunawaangali kijicho cha mbuzi, majirani wa kule kwa Paul Kagame hatuwataki kabisa. Wacongo wananini jamani kwa watanzania
Hata Watanzania wanapenda Congo kuliko Watusi. Ukienda Congo unapata marafiki wengi sana. Kila mmoja anataka awe rafiki yako. Wanawake wa Kikongo wanapenda wanaume Tanzania. Ukimtongoza Dem piga saundi zile za akija diamond mpaka dema analegea. Mtanzania anaishi Congo kama kwao
 
Back
Top Bottom