Kwanini Wakongo wengi wanapendwa Tanzania na kuaminiwa zaidi ya majirani wote

Watutsi TZ ndio kikwazo kwao japokua wamejichomeka sehemu nyingi hapa TZ,ila tulichowapatia 95% mpaka leo wanahesabika wakimbizi huko benaco na kigoma iwapo wangeachiwa free toka walipoanza kuja miaka ya 90 wangeshafanya kama wanachokifanya east congo,babu zao na baba zao waliingia kama wakimbizi miaka hiyo sasa hivi wa wanacomplain ni wacongo sababu walizaliwa east congo kibaya zaidi wanataka hilo lijitenge na congo wawe kivyao
 
... halafu Bakongomani wananikosha zaidi pale hawadanganyi kwao sijui kuna Barabara za dhahabu na asali na maziwa ... mkongo anakulambia waziwazi " ebana shida ya Kongo ni mbooga, sisi Bakongomani hata kenge tunakulaga!"
😅😅😅
 
ila wakifanikiwa huwa wanaidharau Tanzania, mfano, christian bela na wengine. nilimsikia yule dogo akihojiwa kuwa hapendi kuishi tz wakati muziki wake umepaa akiwa hapa.
 
Hata Watanzania wanapenda Congo kuliko Watusi. Ukienda Congo unapata marafiki wengi sana. Kila mmoja anataka awe rafiki yako. Wanawake wa Kikongo wanapenda wanaume Tanzania. Ukimtongoza Dem piga saundi zile za akija diamond mpaka dema analegea. Mtanzania anaishi Congo kama kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…