Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Hoja upingwa Kwa Hoja.Hapa umeleta kioja badala ya hojaHapa ndio akili zenu zilipoishia, sishangai kesi ya daimond kufyatua video kanisani mkamlaumu yeye na kuwaacha waliomruhusu
Siyo kweliNi kweli aisee
Tajiri hata urithi ufalme wa mbinguni.Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.
Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.
Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.
Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.
Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.
Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?
Ni wapi wanapokosea?
Kwasababu hawafugi Majini na hawafanyi Makafara, ila Wamebarikiwa Utajiri mkubwa wa Akili ( Fikra ) Mwenyezi Mungu ndiyo maana 98% ya Waislamu wengi Wamesoma katika Shule, Taasisi na Vyuo Vikuu vya Wakristo hasa wa Roman Catholic.Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.
Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.
Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.
Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.
Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.
Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?
Ni wapi wanapokosea?
Mimi ni muislamu lakini sikubaliani na wewe.Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.
Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.
Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.
Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.
Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.
Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?
Ni wapi wanapokosea?
Kwani Ukristo ni dini?Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.
Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.
Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.
Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.
Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.
Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?
Ni wapi wanapokosea?
Usitishe watu. Unaweza kua Tajiri na bado mbinguni ukatoboa na unaweza kua masikini na mbinguni usitoboe. Kua Masikini au Tajiri sio kigezo cha kukutobolesha Mbinguni. Tena masikini ana nafasi finyu ya kutoboa kwa Mungu. Akiri ya masikini walio wengi ni Chuki, Nyongo, Fitina, Uongo, roho mbaya, uchawi na roho ya kisirani.Wala isikufikirishe bro,ukifikia kuitwa tajiri jua wewe na pepo (kama unaamini ktk Mungu bila kujali dini yako)ni mbalimbali
Yatafakari maisha hivi;usiku wa leo dinner utayokula may be ni ya 100K bank account yako mpaka muda huu inasoma 5bil halafu yupo jirani yako analalia maji wote usiku huu mkafa unadhani ugeni wako utafikia wapi?5bil zitakusaidia nini?Mungu anampa mtu utajiri au kipato (maana tusije kusema siwezi kusaidia mtu kwa sababu bado sijawa tajiri) ili kupitia yeye awape wenzake na hii ni ili ku-balance dunia iende vizuri ila wengi walopewa nafasi hizi wamepora kile ilibidi wawape wanadamu wenzao wakaenda kujengea maghorofa,kula anasa au kuzijaza kwenye accounts.
Binafsi mimi bado ni maskini ila najitahidi sana ku-balance hili,kama unapata mahitaji yako muhimu unakula milo mitatu kwa uhakika watoto wanaenda shule familia inafurahia maisha una pakulaza ubavu the rest ni kujichosha tu haya mambo ya kukusanya hela anakufata mtu hotelini wewe unakula wali samaki wa kuoka wa 12K anakuomba umnunulie wali maharage wa 2K unasema huna hela hayafai hata kidogo.
In short hapo ulipo kama mfukoni una hela na mahitaji yako ya siku umeyamaliza vizuri hiyo change iliyobaki siyo yako kuna mtu ilitakiwa ukampe maana dk mbili zinazokuja mbele hujui utakuwa ktk hali na haitakusaidia chochote.
Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.
Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.
Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.
Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.
Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.
Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?
Ni wapi wanapokosea?
π€£π€£π€£π€£π€£ππππ kweli kabisaaaaUsitishe watu. Unaweza kua Tajiri na bado mbinguni ukatoboa na unaweza kua masikini na mbinguni usitoboe. Kua Masikini au Tajiri sio kigezo cha kukutobolesha Mbinguni. Tena masikini ana nafasi finyu ya kutoboa kwa Mungu. Akiri ya masikini walio wengi ni Chuki, Nyongo, Fitina, Uongo, roho mbaya, uchawi na roho ya kisirani.
Nini kitampelekea mwanadamu kuiona pepo?Kwani Ukristo ni dini?
Kwamba Simiyu na Katavi kuna waislam wengi?Umesahau na SIMIYU na KATAVI !!!
Kwasababu wanatoa misaada kwa wahitaji kama ilivyo agizwa na Biblia.Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.
Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.
Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.
Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.
Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.
Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?
Ni wapi wanapokosea?