IDFakenyingine
Senior Member
- Sep 28, 2022
- 176
- 441
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sipo hapa kutafuta wafuasi wakunifuata kwenye imani yangu kwasababu sipo kwenye kifungo cha imani kama nyinyi.Kwa hoja zipi? Toa hoja nzito kupinga ili tujue kweli wewe unafact tukufate imani yako. Sasa unajaribu kuhamisha uelewa wa watu wenye akili nyingi kwakutumia hoja dhaifu hivi, si Bora uache tuendelee kukuhubiri tu.
Ukute wewe ni muislam tena swala tanoWaisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?
Aka Jiwe walilolikataa waashi ndio limekuwa jiwe kuu la pembeni. Mbona mambo yapo bayana hayahitaji D mbili.Alikuja kwa walio wake wala walio wake hawakumtambua
Afadhali mchungaji mackienz aliweza kushawishi watu 200 kuliko ushawishi wa hoja zako, huwezi washawishi hata mbumbumbu watatu.Mimi sipo hapa kutafuta wafuasi wakunifuata kwenye imani yangu kwasababu sipo kwenye kifungo cha imani kama nyinyi.
Ukishakuwa indoctrinated hata upewe hoja nzito hautaijua kwasababu ubongo wako tayari ushakuwa toxic na vitu vya kufikirika.
Mchungaji Mackienz aliuwa watu zaidi ya 20 kwa njaa kwasababu ya imani, na hata wale waliobahatika kuokolewa na serikali walipofikishwa sehemu salama waligoma kula chakula kwa kuendelea kuamini kile walichoambiwa na mchungaji wao.
Mpaka hapo umeona jinsi ilivyokua ngumu kumtoa mtu kwenye kifungo cha imani, then how come ufikiri hoja nzito peke yake zinatosha ku change mindset ya mtu?
Ni kwasababu kushawishi mbumbumbu kuna hitaji pia nawe uwe mbumbumbu.Afadhali mchungaji mackienz aliweza kushawishi watu 200 kuliko ushawishi wa hoja zako, huwezi washawishi hata mbumbumbu watatu.
Tambua Jambo moja; sio kwamba watu tunashabikia dini zakuja tu hapana Wala sio kwamba hatutumii akili kung'amua Mambo, hasha! Tumezaliwa tukipelekwa kanisani lakini Kuna pointi inafika Ni lazima kuchunguza Mambo kwaundani wake ili kujua kweli. Ilinibidi kusoma imani zote ili kujua uhalisia wa mambo. Nikapeleleza dunia yote kuona Kama Kuna neno jema ambalo litaakisi hamu yakujua chanzo Cha uhai. Maana haina ubishi kwamba kwamtazamo wayeyote mwenye akili lazima atakubali kwamba kulingana na dunia ilivyo Ni lazima yupo au alikuwepo mwenye akili kufanya mambo kutokea Kama hivi tuonavyo leo. Zipo theory nyingi sana lkn haiwezekani akili iliyoumba utashi wakung'amua haya isijidhihirishe, haiwezekani. Ni lazima itajidhihirisha tu. Sasa unapoona watu wanakomaa na yesu basi jua yupo dhahiri. Ni vile tu huwezi jua na hujataka kujua au tuseme hili limekupitia kushoto. Kingine Ni kwamba; katika ulimwengu huu tunasema lisemwalo lipo. Unapoona neno linatamkwa Kila Leo jua lipo. Ukisikia watu wanasema uchawi, uchawi jua upo kweli vinginevyo lingeshapotea neno Hilo. Walikuwepo wanefili now hawapo imebaki story tu. Unaposikia yesu, yesu Yu hai jua yupo hai kweli ndugu acha ubishiii.Ni kwasababu kushawishi mbumbumbu kuna hitaji pia nawe uwe mbumbumbu.
Ukishakuwa mbumbumbu huwezi hata kuelewa kuwa hoja ulizopewa ni nzito ama la.
Upuuzi mtupu,Tambua Jambo moja; sio kwamba watu tunashabikia dini zakuja tu hapana Wala sio kwamba hatutumii akili kung'amua Mambo, hasha! Tumezaliwa tukipelekwa kanisani lakini Kuna pointi inafika Ni lazima kuchunguza Mambo kwaundani wake ili kujua kweli. Ilinibidi kusoma imani zote ili kujua uhalisia wa mambo. Nikapeleleza dunia yote kuona Kama Kuna neno jema ambalo litaakisi hamu yakujua chanzo Cha uhai. Maana haina ubishi kwamba kwamtazamo wayeyote mwenye akili lazima atakubali kwamba kulingana na dunia ilivyo Ni lazima yupo au alikuwepo mwenye akili kufanya mambo kutokea Kama hivi tuonavyo leo. Zipo theory nyingi sana lkn haiwezekani akili iliyoumba utashi wakung'amua haya isijidhihirishe, haiwezekani. Ni lazima itajidhihirisha tu. Sasa unapoona watu wanakomaa na yesu basi jua yupo dhahiri. Ni vile tu huwezi jua na hujataka kujua au tuseme hili limekupitia kushoto. Kingine Ni kwamba; katika ulimwengu huu tunasema lisemwalo lipo. Unapoona neno linatamkwa Kila Leo jua lipo. Ukisikia watu wanasema uchawi, uchawi jua upo kweli vinginevyo lingeshapotea neno Hilo. Walikuwepo wanefili now hawapo imebaki story tu. Unaposikia yesu, yesu Yu hai jua yupo hai kweli ndugu acha ubishiii.
Kivipi tena mtaalam?Upuuzi mtupu,
Umeshikiwa akili na wajanja
Waisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?
Mbona mpaka leo hii wa israel kizazi cha leo hawamtambui Yesu wala dini ya ukristo?
Wewe jibu mada, wachana na ujinga wa kumjadili mleta mada.Ni kwasababu ushakuwa indoctrinated toka utotoni.
Mtoa mada inawezekana akawa ni mtu mzima mwenye familia yake. Lakini fikiria hii tu kuwa babu yake enzi za utotoni mwake naye alikuwa akifundishwa kuwa Yesu anarudi.
Babu yake akaja ku pass hayo mafundisho kwa baba yake na mtoa mada kuwa Yesu anarudi.
Baba yake na mtoa mada naye akamzaa huyu mtoa mada kaja kumrithisha mafundisho hayo hayo kuwa Yesu anarudi.
Na huyu mtoa mada pengine tayari kasha warithisha wanae au anatarajia akipata watoto aje kuwaambia kuwa Yesu anarudi.
Umeona mlolongo ulivyokuwa mrefu huo?
Infact ni kitu ambacho sio rahisi kuweza kukiepuka kwasababu kinakufanya uwe emotional zaidi kuliko realistic.
Mfano wa mtu aliyekua affected na indoctrinations hata akipewa hoja bilion zenye logic ili kum-shape arudi kwenye njia sahihi atakupinga tu kwa maneno machache tu kuwa "biblia imeandika hivyo na haiwezi kupotosha"
Kitabu chochote ambacho kimeandika kuwa mtumwa anapaswa kumsujudia slave master je hiyo katika perception ya kawaida haikupi mwangaza kuwa kitabu hicho kimeandikwa na slave master?
Hata kama utakuwa umempa ushahidi kuonesha Biblia imeandikwa na hao waliojipakulia minyama, bado hiyo haitatosha kumuondoa gizani huyo mtu kwasababu ya toxic aliyoipandikizwa tangu akiwa mtoto.
Siyo Waisraeli wote!Mbona mpaka leo hii wa israel kizazi cha leo hawamtambui Yesu wala dini ya ukristo?
Yaani umtambue yesu wewe muisrael wa bonyokwa ila yule muisrael halisi wa Jerusalem asintambuwe yesu..?Alikuja kwa walio wake wala walio wake hawakumtambua
Hao ndy wale wazungu waliojipenyeza huko Jerusalem.Siyo Waisraeli wote!
Tuoneshe ushahidi kua Saizi sio taifa teule??Ni wapumbavu tu wanaoamini Israeli taifa la Mungu
Liliwahi kuwa taifa teule lakini wakapoteza hicho kibali baada ya Wayahudi kumkataa na kumuua Yesu
we unakipimo cha kujua wazungu walio jipenyeza israelHao ndy wale wazungu waliojipenyeza huko Jerusalem.
Na sio pure Jews.