Kwanini wakristo tunaamini Israel ni taifa la Mungu wetu huku Waisrael hawamuamini Yesu wala dini ya ukristo?

Kwanini wakristo tunaamini Israel ni taifa la Mungu wetu huku Waisrael hawamuamini Yesu wala dini ya ukristo?

Boss ni slave master anayekulipa zaidi tu.
Muajiriwa anaweza kuacha kazi, mtumwa hawezi kwasababu ile kwake sio tu kazi bali amemilikiwa.

Muajiriwa anaweza kufanya kazi tu kwasababu ya passion lakini akawa anakipato kikubwa ambacho anakimiliki kuliko kile anacholipwa.

Hivi mtumwa anaweza kufanya application ya kuomba kazi ya utumwa?

Kuna mchezaji wa mpira anaitwa Faiq Bolkiah huyu aliwahi kucheza pale Chelsea timu ya vijana ila kwa sasa nadhani yupo kwenye ligi za Asia.

Huyu ndio mchezaji mwenye utajiri kuliko wote hata wakijichanga Messi na Ronaldo hawafiki robo ya utajiri wake.

Lakini kwasababu passion yake ni soka basi amejikuta amekuwa muajiriwa kwenye hiyo kazi na mashahara wake ni mdogo tu.

Kwa hiyo sio kweli kuwa muajiriwa ni mtumwa
 
UNABII WA DANIEL 9:27 29 ndyo unaoelezea vizuri wayahudi(israel ) kupokonywa kuwa taifa teule la MUNGU baada ya kumkataa YESU KRISTO na kupewa WATU WA MATAIFA yani kila anayemwani KRISTO NA KUBATIZWA ameokoka.INJILI IPO KWA KILA MTU ila ilipaswa kuhubiriwa israel kwanza kwakuwa wameikataa basi imegeuzwa kwa watu wa mataifa mengine
Hapo kwenye Kumuamini Yesu Kristo na Kubatizwa unakua umeokoka, umeitoa katika Mstari gani?
 
Katika research ya jambo usilolifahamu huwezi kuanza na start point yenye bias.

Neno "kitu" au "nini" ni start point linalokupa uwanja mpana wa kiufumbuzi kuweza kupata majibu sahihi kwasababu hayajifungi kwenye eneo moja.

Baada ya research ndio unaweza kupata data zinazokufikisha kwenye "yupo"

Kupitia "nini" na "kitu" unaweza kupata "nani" kwasababu ni maneno ambayo yame generalize vitu vyote, ila ukitumia nani utaishia ku-stick kwenye sehemu ndogo kwasababu ni neno liko fixed eneo dogo.

Kwa hiyo nikirudi kwenye kauli yako kuwa neno "yupo" ni kauli ya kiswahili inayowakilisha uhai bado nitatia shaka knowledge yako ya kiswahili.

Nikisema Hospitali ya Temeke pale Mochwari yupo marehemu aliyekufa kwa ajali jana. So kwa mujibu wa kiswahili chako ni kuwa hiyo statement itaonesha uhai wa marehemu?

Halafu kitu kingine uhai haupimwi tu kwa watu hata vitu pia vina uhai, miti, mimea navyo pia vina uhai.

Sasa unapotaja miti unaweza kutumia reference ya neno "yupo" kwasababu mti una uhai?
Ok sawa kijana, uko vizuri kwa ujenzi wa hoja, lkn chunga sana maana watu wa fact walimkosa Mungu. Yesu anasema "nakushukuru Mungu kwakuwa neno hili umewafunulia masikini". Kutumia neno YUPO isikutishe sana maana tayari nimeshahakiki kwamba yupo. Alafu akili yangu haipo kuchunguza makosa yauandishi ikiwa nitatambua kwamba msomaji lazima atapata mantiki.kikubwa tujadili hoja husika. Inasikitisha kuona mjenzi mzuri wa hoja Kama wewe kutetea Jambo lisilo na maslahi kwa maisha ya wengi. Hakuna unalopata zaidi yakushusha imani za wengi, heri kufungwa jiwe nakutoswa baharini. Kumbuka bila imani hizi za dini dunia haiwezi kuwa mahala salama pakuishi.
 
Ok sawa kijana, uko vizuri kwa ujenzi wa hoja, lkn chunga sana maana watu wa fact walimkosa Mungu. Yesu anasema "nakushukuru Mungu kwakuwa neno hili umewafunulia masikini". Kutumia neno YUPO isikutishe sana maana tayari nimeshahakiki kwamba yupo. Alafu akili yangu haipo kuchunguza makosa yauandishi ikiwa nitatambua kwamba msomaji lazima atapata mantiki.kikubwa tujadili hoja husika. Inasikitisha kuona mjenzi mzuri wa hoja Kama wewe kutetea Jambo lisilo na maslahi kwa maisha ya wengi. Hakuna unalopata zaidi yakushusha imani za wengi, heri kufungwa jiwe nakutoswa baharini. Kumbuka bila imani hizi za dini dunia haiwezi kuwa mahala salama pakuishi.
Thibitisha Mungu na Yesu wapo

Kwasababu hata mimi naweza kuja na masimulizi ya Unicorn hapa nikayasimulia kama yalivyoaandikwa lakini haina maana kuwa yana uhalisia
 
Mbona mpaka leo hii wa israel kizazi cha leo hawamtambui Yesu wala dini ya ukristo?
Swali gumu kulijibu kwa vile linakinzana na hurka, utashi, mamboleo na mantiki!

Dini aliyoihubiri Yesu na ile inayohubiriwa zama za baada ya kuondoka kwake duniani ni tofauti kama ilivyo usiku na mchana!
 
Thibitisha Mungu na Yesu wapo

Kwasababu hata mimi naweza kuja na masimulizi ya Unicorn hapa nikayasimulia kama yalivyoaandikwa lakini haina maana kuwa yana uhalisia
Kuliishi neno lake na kufata sheria zake Ni uthibitisho tosha kwamba yesu yupo. Kingine labda kufunga na kuomba japo njia hii huwa Mara chache kajidhihirisha. Onyo! Isiwe kwakumjaribu.
 
Yesu kwa kinywa chake kasema hajatumwa ila kwa wana wa Israel waliopote, wengine ni kujipendekeza tu
 
Mimi sipo hapa kutafuta wafuasi wakunifuata kwenye imani yangu kwasababu sipo kwenye kifungo cha imani kama nyinyi.

Ukishakuwa indoctrinated hata upewe hoja nzito hautaijua kwasababu ubongo wako tayari ushakuwa toxic na vitu vya kufikirika.

Mchungaji Mackienz aliuwa watu zaidi ya 20 kwa njaa kwasababu ya imani, na hata wale waliobahatika kuokolewa na serikali walipofikishwa sehemu salama waligoma kula chakula kwa kuendelea kuamini kile walichoambiwa na mchungaji wao.

Mpaka hapo umeona jinsi ilivyokua ngumu kumtoa mtu kwenye kifungo cha imani, then how come ufikiri hoja nzito peke yake zinatosha ku change mindset ya mtu?
indoctrinations inaweza kuondolewa kwa hoja mbadala zenye ushawishi, mashiko na zilizojengwa kwa mantiki.
Vinginevyo unabaki kuwa mateka wa propanga potofu za mamboleo zinazojengwa kwa kuzingatia zaidi maslahi ya kidunia.
 
Kuliishi neno lake na kufata sheria zake Ni uthibitisho tosha kwamba yesu yupo. Kingine labda kufunga na kuomba japo njia hii huwa Mara chache kajidhihirisha. Onyo! Isiwe kwakumjaribu.
Unapataje guts za kudai ni neno lake kwenye jambo ambalo bado hujalifanyia tafiti?

Kufata sheria sio uthibitisho kuwa kitu fulani kipo.

Sheria inaweza kuwepo tu kwasababu mtu fulani mwenye power kataka iwe hivyo.

Kuna jamii ya Aztec ilikuwa ina abudu Mungu wa mvua ambapo kulikuwa na miongozo na sheria za kuzifuata ili kwenda sawa na yeye.

Watu wa jamii hiyo waliamini mafuriko yanatokana kwasababu ya hasira za huyo Mungu wao na namna pekee ya kutuliza hasira yake ni kutoa kafara ya watoto bikra.

Sasa kwasababu kuua watoto wadogo ni sehemu ya sheria ya huyo Mungu, je hiyo inafanya huyo Mungu mvua awepo??
 
indoctrinations inaweza kuondolewa kwa hoja mbadala zenye ushawishi, mashiko na zilizojengwa kwa mantiki.
Vinginevyo unabaki kuwa mateka wa propanga potofu za mamboleo zinazojengwa kwa kuzingatia zaidi maslahi ya kidunia.
Heavily indoctrinated religious people kimsingi ni ngumu sana kudili nao kwasababu ubongo wao unakuwa tayari umebadilika na watafanya kila kitu kutetea irrational beliefs.
 
Unapataje guts za kudai ni neno lake kwenye jambo ambalo bado hujalifanyia tafiti?

Kufata sheria sio uthibitisho kuwa kitu fulani kipo.

Sheria inaweza kuwepo tu kwasababu mtu fulani mwenye power kataka iwe hivyo.

Kuna jamii ya Aztec ilikuwa ina abudu Mungu wa mvua ambapo kulikuwa na miongozo na sheria za kuzifuata ili kwenda sawa na yeye.

Watu wa jamii hiyo waliamini mafuriko yanatokana kwasababu ya hasira za huyo Mungu wao na namna pekee ya kutuliza hasira yake ni kutoa kafara ya watoto bikra.

Sasa kwasababu kuua watoto wadogo ni sehemu ya sheria ya huyo Mungu, je hiyo inafanya huyo Mungu mvua awepo??
Kwahiyo unaamini Kama kuwatoa watoto kafara Ni kosa? Kivipi Ni kosa. Kama mtu Fulani mwenye power aliandika ninachoamini basi anafaa kuzingatiwa sana maana sio wakawaida huyo.
 
Heavily indoctrinated religious people kimsingi ni ngumu sana kudili nao kwasababu ubongo wao unakuwa tayari umebadilika na watafanya kila kitu kutetea irrational beliefs.
Ni stress kudhani hakuna Mungu, sababu amani ya moyo usioamini Mungu inaleta uadui kati ya mtu na nafsi yake.
 
Naamini kuna mungu ila yesu sijui mhamaed wote walikuwa na akili nyingi tu wakati ule kama kina masanja tu tunaowaona leo
 
Kwahiyo unaamini Kama kuwatoa watoto kafara Ni kosa? Kivipi Ni kosa. Kama mtu Fulani mwenye power aliandika ninachoamini basi anafaa kuzingatiwa sana maana sio wakawaida huyo.
Usitoke nje ya key

Thibitisha Mungu na Yesu wapo
 
Usitoke nje ya key

Thibitisha Mungu na Yesu wapo
Unajua ndugu, wewe tayari unafikra tofauti juu ya uthibitisho wa Mungu na yesu hivyo kilichokufanya kutokuamini ndicho kinachokuongoza kwa Sasa. Zaidi tu nikukuhimiza kutafakari kwakina maneno matakatifu huenda ukapata neema. Maana sidhani Kama takuwa na maneno mazuri kuzidi Yale yaliyo ndani ya imani yangu na ambayo yananiongoza Mimi kwa Sasa. Au basi namwomba Mungu aingilie Kati labda kwakukutokea Kama alivyotokewa Paulo mtume. Nakusihi usisubiri Hilo kwani Ni wachache wanaopata neema hiyo.
 
Back
Top Bottom