third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
Dini ni soko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann hakuna hata dhehebu moja la ukristo limeanzia Jerusalem?we unakipimo cha kujua wazungu walio jipenyeza israel
Na nyie watu weusi mnaojiita waarabu hiyo n nn?? ubazwazwa au ubwatalaa
sasa ukristo umeanzia wap??Kwann hakuna hata dhehebu moja la ukristo limeanzia Jerusalem?
Ni andiko au maoni tu ya kwako?Ukristo ulianzia israel
Wewe uliyepost huo ujinga. Na uache kuhadaa watu. Kama umechagua kuwa mpagani Baki huko huko usubiri adhabu yako. Maana huna namna ya kuiepuka hukumu itakayotolewa na Yesu unayemkana hapa duniani.Mjinga ni nani hapo?
Huu ndio ujinga ...Alikuja kwa walio wake wala walio wake hawakumtambua
mungu wa israel ni mungu kama miungu mingine. Muuaji, mfitini na asiye na huruma.
Mungu muumbaji anawapenda wote aliowumba.
Ila tambua kuwa Warumi walivamia Jerusalem 70 AD wakauwa wasomi wote waliohifadhi mandiko ya Mungu Kisha wakachukua vitabu vyote vya manabii wakaenda navyo Roma wakavifungia miaka 300Mtiririko wa ujumbe wa biblia kwa ujumla Ni wakina sana na umekamilika kujibu maswali yote ambayo mwanadamu anaweza kujiuliza kuhusu maisha na chanzo chake. Biblia imefaulu kwa msingi wake wa imani kutibu fikra dhaifu kuwa zenye nguvu. Binafsi Kuna wakati nilianza kuwaaminisha watu kwamba tatizo la kifo litatatuliwa na mwanadamu mwenyewe kwakutoa hoja na mifano thabiti. Lkn kumbe nilikuwa mjinga Mimi, kwakuwa sikuwa nimeisoma biblia vizuri. Nilichukua hatua kuichimba vizuri nakubaini ukweli. Kilichfata Ni toba kwakupotosha wengi. Hata Hawa ambao wanapinga kuhusu yesu na biblia, wengi wao hawaijui kabisa Wala hawajui maudhui yaliyomo. Hawajui kwakina Ni namna gani yesu aliukomboa ulimwengu. Hawajitambui pia, Wala hawazihurumii nafsi zao. Kama wameshindwa kuzihurumia nafsi zao, wanawezaje kumuhurumia yesu kwakazi nzito yakuutoa uhai wake kwaajili ya nafsi zao? Ni wachache sana wanaoijua njia maana mwili huu uko connected na dhambi ilivyo ngumu kuishi kinyume na takwa la mwili. Neema ndio jibu. Tukisema wayahudi wote hawamjui yesu Ni uongo. Kwani neno la injili lilitoka wapi? Ni kwa baadhi yao waliobahatika kuijua kweli.
kwani hata makazini si mna maboss zenu mnatakiwa kuwanyenyekea kikazi!!!hilo halipindui kwamba boss pia ana wajibu juu yako.Ni kwasababu ushakuwa indoctrinated toka utotoni.
Mtoa mada inawezekana akawa ni mtu mzima mwenye familia yake. Lakini fikiria hii tu kuwa babu yake enzi za utotoni mwake naye alikuwa akifundishwa kuwa Yesu anarudi.
Babu yake akaja ku pass hayo mafundisho kwa baba yake na mtoa mada kuwa Yesu anarudi.
Baba yake na mtoa mada naye akamzaa huyu mtoa mada kaja kumrithisha mafundisho hayo hayo kuwa Yesu anarudi.
Na huyu mtoa mada pengine tayari kasha warithisha wanae au anatarajia akipata watoto aje kuwaambia kuwa Yesu anarudi.
Umeona mlolongo ulivyokuwa mrefu huo?
Infact ni kitu ambacho sio rahisi kuweza kukiepuka kwasababu kinakufanya uwe emotional zaidi kuliko realistic.
Mfano wa mtu aliyekua affected na indoctrinations hata akipewa hoja bilion zenye logic ili kum-shape arudi kwenye njia sahihi atakupinga tu kwa maneno machache tu kuwa "biblia imeandika hivyo na haiwezi kupotosha"
Kitabu chochote ambacho kimeandika kuwa mtumwa anapaswa kumsujudia slave master je hiyo katika perception ya kawaida haikupi mwangaza kuwa kitabu hicho kimeandikwa na slave master?
Hata kama utakuwa umempa ushahidi kuonesha Biblia imeandikwa na hao waliojipakulia minyama, bado hiyo haitatosha kumuondoa gizani huyo mtu kwasababu ya toxic aliyoipandikizwa tangu akiwa mtoto.
Umeona jinsi unavyojitangizia mpira mbele?kwamtazamo wayeyote mwenye akili lazima atakubali kwamba kulingana na dunia ilivyo Ni lazima yupo au alikuwepo
Unapojadili ujinga huwezi kumuacha kumjadili muathirika wa ujinga, kufanya hivyo itakuwa ni ujinga zaidi.Wewe jibu mada, wachana na ujinga wa kumjadili mleta mada.
Sijaelewakwani hata makazini si mna maboss zenu mnatakiwa kuwanyenyekea kikazi!!!hilo halipindui kwamba boss pia ana wajibu juu yako.
Wewe ni kondoo au siyo?Unapojadili ujinga huwezi kumuacha kumjadili muathirika wa ujinga, kufanya hivyo itakuwa ni ujinga zaidi.
Utam-shape vipi kumuweka kwenye njia au kufanya wengine wasiingie kwenye hilo shimo kama utakuwa unaweka hoja ambazo zitakuwa zinam exclude victim wa ujinga?
Wasingeweza andika ujumbe mzito vile. Kusanya watu jamii forum ambao unaamini Ni vichwa then muanzishe upagani wenu tuone Kama mtaweza. Hatufuati neno la Mungu eti kwakuwa yameandikwa hasha! Tunafuata kwa sababu Kuna evidence kuwa neno linaishi. Imeandikwa kwamba ukimkiri yesu nakufuata maagizo yake atajidhihirisha kwako. Sasa Mimi nimefuata agizo lake na kweli kajidhihirisha, bado tu niwe kiburi? Au unataka kuniambia Ni mzimu wa constantino ndio uliojidhihirisha kwangu? Wanapofeli wanaopinga Ni kwamba pindi wanapotoa povu zao kwetu ndivyo Mungu anavyozidi kajidhihirisha, vinginevyo tungeshakuwa wapagani kitambo Kama wao.Ila tambua kuwa Warumi walivamia Jerusalem 70 AD wakauwa wasomi wote waliohifadhi mandiko ya Mungu Kisha wakachukua vitabu vyote vya manabii wakaenda navyo Roma wakavifungia miaka 300
Utawala wa Constantino ndio ukaandika upya hayo maandiko na hatimaye hapo ndio ikazaliwa bibilia na ukristo
Hiyo bibilia kutoka Roma na huo Ukristo ulipopelekwa Israel wayahudi wakavikataa vyote
Wewe ukisoma bibilia unadhani unasoma maandiko ya Mungu kumbe Warumi walisha yachakachua
Wewe nani alikuambia Jumapili ni siku ya ibada kama sio Mfalume Constantino?
Hujui kiswahili vizuri au kipo au kilikuwepo inamaana ya kitu Fulani but yupo inamaana ya mwenye uhai. Sio Jambo lakujadili hili au pointi zimekata mzee!Umeona jinsi unavyojitangizia mpira mbele?
Umefikiaje conclusion ya kujua chanzo ni lazima kiwe na identity inayopimika kwa yupo au alikuwepo?
Kwanini isiwe kipo au kilikuwepo?
Test imani yako!Wewe ni kondoo au siyo?
Katika research ya jambo usilolifahamu huwezi kuanza na start point yenye bias.Hujui kiswahili vizuri au kipo au kilikuwepo inamaana ya kitu Fulani but yupo inamaana ya mwenye uhai. Sio Jambo lakujadili hili au pointi zimekata mzee!